Kwa hiyo Kwanza ndugu zimmerman umekiri kuwepo kwa inayoitwaSukuma gang,kama uwepo wa hiyo gang ni juhudi za kulikwamisha taifa na uongozi wake,hivyo ishauri hiyo Gang kuhamia awamu ya sita.Mi ni miongoni mwa watu waliomkubali sana JPM na bado ninaamini kifo chake ni hasara kwa nchi yetu. Hata hivyo baada ya kifo chake natamani mama Samia urais wake afanikiwe sana maana kufanikiwa kwake ndio mafanikio yetu wote.
Sasa kama uzembe mkubwa na uharibifu utafanyika chini yake wa kulaumiwa hawezi kuwa Sukumagang au mtu mwingine yoyote. Ni yeye nwenyewe tu wa kujilaumu maana kama nyenzo na mamlaka za kufanikiwa anazo.