Mwendelezo wa hujuma dhidi ya Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan

Mi ni miongoni mwa watu waliomkubali sana JPM na bado ninaamini kifo chake ni hasara kwa nchi yetu. Hata hivyo baada ya kifo chake natamani mama Samia urais wake afanikiwe sana maana kufanikiwa kwake ndio mafanikio yetu wote.

Sasa kama uzembe mkubwa na uharibifu utafanyika chini yake wa kulaumiwa hawezi kuwa Sukumagang au mtu mwingine yoyote. Ni yeye nwenyewe tu wa kujilaumu maana kama nyenzo na mamlaka za kufanikiwa anazo.
Kwa hiyo Kwanza ndugu zimmerman umekiri kuwepo kwa inayoitwaSukuma gang,kama uwepo wa hiyo gang ni juhudi za kulikwamisha taifa na uongozi wake,hivyo ishauri hiyo Gang kuhamia awamu ya sita.
 
Kama ni hujuma kweli, basi ina maana hata taasisi nyeti kama TISS ukiondoa viongozi wakubwa serikalini, zinahusika...

Wote tunajua kuwa moja ya jukumu kubwa kabisa la TISS ni KUNUSA na KUTAMBUA na ikibidi KUZUIA aina yoyote ya hujuma dhidi ya nchi yetu...

Kama haya yanatokea halafu "jicho la nchi" yaani TISS halioni mpaka kunatokea madhara KIJAMII na KIUCHUMI nchini, maana yake taasisi hii muhimu inakuwa haina maana yoyote kuwepo....!!
Hao kitengo wanachoweza ni kuisadia CCM kuiba kura tu
 
Wanabodi nawasalimu.

Siku kadhaa zilizopita tumeshuhudia tatizo kubwa la ununuzi wa umeme wa LUKU kwa siku tatu mfululizo. Biashara nyingi zilisimama. Bado hatujaambiwa ni kwa kiasi gani uchumi umetetereka. Lakini hunitaji elimu ya chuo kikuu kujua ni athari gani kiuchumi ilitokea.

Serikali imechukua hatua na uchunguzi unaendelea maana zipo kila aina ya harufu kuwa ilikuwa ni hujuma ya Sukuma Gang. Jaribio hilo limeshindwa.

Habari zilizonifikia ni kwamba sasa wanaenda kutoboa bwawa la Mtera ili hatimaye likauke nchi iingie gizani watu wamlaumu Mama na kumkumbuka Mwendazake. Vyanzo vya umeme ni vingi lakini umeme unaotokana na maji (Mtera) bado ni la msingi.

Nashauri Usalama wa Taifa litupe macho huko Mtera kuzuia hujuma hiyo isitokee. Hatujui Plan C yao ni nini.
#FreedomIsBack
Acha maneno ya kipumbavu ndugu. Sukuma gang ndiyo nini.

wewe sema waliokua wamezoea kupiga toka enzi za nyuma wanajaribu kumbeep Mama waone atafanya nini maana ubaya ktk nchi hii ni wa enzi na enzi,we unataka kusingizia wasio husika

shwain
 
Kwa Hiyo ndo mlichopanga sio!! Mnajidanganya, anayepanga ni Mungu tu acheni kujipa utukufu msiokuwa nao. Hivi hizo chuki kwa wasukuma zilitokana na nn hasa!! Kuwa watu humble busy tu na mambo yao!! Ndo kazi mlizojipa huku luku tu zikiwatoa nishai? Yaani mnaacha kuangalia mambo muhimu ya nchi mnaanza kupick bifu za kipuuzipuuzi tu! Jengeni nchi acheni kuleta visingizio vya ajabu. Ukweli hua mchungu sana lakini chukueni mtashukuru siku nyingine. Au wewe ulichagua uzaliwe kabila lipi? Si ulijikuta tu, sasa tusitafutiane ban kabisa.
Mkuu, take it easy..Haya mambo ya Sukuma Gang ni upuuzi ulioanzishwa na Kigogo ila hapa JF moderator wakashindwa kudhibiti likanea na kulets chukl.
Lakini kitu kimoja ambacho ni certain Magufuli alikuwa aki amplify haya mambo ya makabila kuliko Rais yoyote, ndio Rais aliyekuwa akipiga kampeni kwa kilugha chake na kuongea kwenye Tv kilugha, pia alipenda kutaja sana makabila ya wateule wake kila mara, jambo ambalo halikuwa na afya, sisi wote ni Watanzania
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Si ndo lengo lenu kila kitu kuwatusi?! Sijui sukuma gang sijui nn. Every action has opposite and equal reaction. Wakanyeni wanaotumia hiyo myth ni ya kibaguzi na mnakumbuka hata wasouth hawakuwa na silaha lakini waligombana sana na kaburu na jeshi lake kisa kubaguliwa tu.
Walumu moderator wa JamiiForums Hii nchi ina wajinga wengi na mitandao ndio imrkuwa ikikuza sana huu ujinga.

Hiyo term ya Sukuma Gang mimi sijawahi kuitumia na naipinga sana.
Japo mimi sikumkubali Magufuli sikuwahi kuhusisha kasoro zake na kabila lake
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Acha maneno ya kipumbavu ndugu. Sukuma gang ndiyo nini.

wewe sema waliokua wamezoea kupiga toka enzi za nyuma wanajaribu kumbeep Mama waone atafanya nini maana ubaya ktk nchi hii ni wa enzi na enzi,we unataka kusingizia wasio husika

shwain
Kwa kawaida aliyependa kweli,chongo ataita kengeza, hivyo katika mazingira fulani ni kujali maslahi ya wengi kuliko yale binafsi.
 
Jpm alitoka jamii kubwa na alifanya mengi makubwa, msipokuwa makini mtafanya bibi yenu augue presha kwa hofu ya kivuli cha jpm. Na hata mseme mte na nguo, aliyoyaacha jpm yanamtetea popote.
Watu wasiojulikana ni jambo kubwa sana, nakiri kweli mama hili la kuwa na makundi ya watu wasiojulikana ili kutesa wanaomkosoa mama haliwezi, yeye anaweza haki tu, utu na maendeleo ya kweli
 
Eti kwa wananchi wa kawaida wamemwona mkombozi? Mkombozi wa nini yule mwendazake?

Waliomwona mkombozi ni sukuma gang ambao walimwona kama mungu wao. Aende zake, Kyle hajatukomboa kwa lolote zaidi ya kutufokea tu.

Nini tulikipata kwake tulichokikosa kwa Jakaya?
Akili hazikutoshi au wewe ni kipofu,mala nyingi watu wa aina yako ni yale mafisadi yaliyo minywa,matajiri makwepa kodi,na vyeti feki....ninyi ndo mmekazana sana kujaribu kuaminisha umma kua JPM alikua hafai,nakuambieni wananchi wengi 85% ama 90% walimuona JPM ni mkombozi na mwana mapinduzi mpigania haki.

Tulikuaga tumechoka na watu mijini wanakwambia tu "ntakufunga mimi" na kweli wanakufunga,bila kosa..wakwepa kodi walishirikiana na maafisa walio ajiliwa kunyonya haki za masikini,maofisini kulikua ni miungu watu,kupata tu hati ya kiwanja ilikua ni kama unatafuta figo lakini Kia JPM yote yaliwezekana,kuheshimiana kukarudi,haki ikaanza kuonekana,afu wewe unakuja kutuambia nini hapa?
 
Samia anajihujumu mwenyewe,nani ana shida ya kumhujumu?
Let me be clear,Samia anatoka Zanzibar jamii ndogo sana ya watanzania na mbaya zaidi ameshika nchi kutoka kwa mtangulizi wake Dkt Magufuli ambaye wananchi wa kawaida ameendelea kuonekana alikuwa mkombozi wao. Ordinary Tanzanian hajui sijui kubinywa uhuru wa habari,anataka huduma za kijamii Elimu,Afya,Umeme, Barabara,n.k vitu ambavyo wananchi walivipata kipindi cha JPM. Leo Samia ameshika nchi hajamaliza miezi 3 shida zimeanza kama awamu ya 4. Samia ajiandae kisaikolojia.
Wapinzani na wanaharakati anaowafurahisha hawatampigia kura na hawatakiunga mkono chama chake cha CCM. Tuombe uzima ili tushuhudie hiyo 2025 laana ya kumuondoa JIWE

Alikua Mkombozi kwa kuwafanya kuwa Masikini zaidi, hakuna lolote
 
Akili hazikutoshi au wewe ni kipofu,mala nyingi watu wa aina yako ni yale mafisadi yaliyo minywa,matajiri makwepa kodi,na vyeti feki....ninyi ndo mmekazana sana kujaribu kuaminisha umma kua JPM alikua hafai,nakuambieni wananchi wengi 85% ama 90% walimuona JPM ni mkombozi na mwana mapinduzi mpigania haki.

Tulikuaga tumechoka na watu mijini wanakwambia tu "ntakufunga mimi" na kweli wanakufunga,bila kosa..wakwepa kodi walishirikiana na maafisa walio ajiliwa kunyonya haki za masikini,maofisini kulikua ni miungu watu,kupata tu hati ya kiwanja ilikua ni kama unatafuta figo lakini Kia JPM yote yaliwezekana,kuheshimiana kukarudi,haki ikaanza kuonekana,afu wewe unakuja kutuambia nini hapa?

Hafai hata kaburini
 
Kwa hiyo Kwanza ndugu zimmerman umekiri kuwepo kwa inayoitwaSukuma gang,kama uwepo wa hiyo gang ni juhudi za kulikwamisha taifa na uongozi wake,hivyo ishauri hiyo Gang kuhamia awamu ya sita.
Binafsi siamini kama kuna watu wanamfanyia hujuma mama. Ila ninachokitathmini ni kwamba kuna watu walibanwa sana enzi za JPM na kifo chake ni afueni kwao kuanza kuitafuna nchi. Hao watafunaji ndio mnawaita Sukumagang?
 
Wanabodi nawasalimu.

Siku kadhaa zilizopita tumeshuhudia tatizo kubwa la ununuzi wa umeme wa LUKU kwa siku tatu mfululizo. Biashara nyingi zilisimama. Bado hatujaambiwa ni kwa kiasi gani uchumi umetetereka. Lakini hunitaji elimu ya chuo kikuu kujua ni athari gani kiuchumi ilitokea.

Serikali imechukua hatua na uchunguzi unaendelea maana zipo kila aina ya harufu kuwa ilikuwa ni hujuma ya Sukuma Gang. Jaribio hilo limeshindwa.

Habari zilizonifikia ni kwamba sasa wanaenda kutoboa bwawa la Mtera ili hatimaye likauke nchi iingie gizani watu wamlaumu Mama na kumkumbuka Mwendazake. Vyanzo vya umeme ni vingi lakini umeme unaotokana na maji (Mtera) bado ni la msingi.

Nashauri Usalama wa Taifa litupe macho huko Mtera kuzuia hujuma hiyo isitokee. Hatujui Plan C yao ni nini.
#FreedomIsBack
Kazi ipo, nashauri kuanzishwe vituo cha jeshi kwenye mabwawa yote kama ilivyo Kidatu
 
Hivi unajua mwaka 2012 wasukuma walikua milioni 17 Kati ya watanzania milioni 45 kwa mujibu wa sensa ya serikali? Projection mpaka sasa wasukuma wanaround 50% ya raia. Anayewapotosha anawaponza sana.
Mmehama kwenye utanzania mnakwenda kwenye ukabila
 
Kama ni hujuma kweli, basi ina maana hata taasisi nyeti kama TISS ukiondoa viongozi wakubwa serikalini, zinahusika...

Wote tunajua kuwa moja ya jukumu kubwa kabisa la TISS ni KUNUSA na KUTAMBUA na ikibidi KUZUIA aina yoyote ya hujuma dhidi ya nchi yetu...

Kama haya yanatokea halafu "jicho la nchi" yaani TISS halioni mpaka kunatokea madhara KIJAMII na KIUCHUMI nchini, maana yake taasisi hii muhimu inakuwa haina maana yoyote kuwepo....!!
Sio TISS CCM
 
Duuu wapinzani wako pembeni wanawaangalia tu mnavyohangaishana, mwishowe mtakuwa kama wake intarahamwe wa Burundi. Ccm bana
 
Tutampa mitano tena... atake asitake...

Atakayeumia na uamuzi wetu akamate kitanzi ajinyonge amfuate bwana yule
Blaza nchi ina furaha sana toka liondoke lile Nyangumi..
Nafanya mpango kutafuta mjiwe mkubwa kama ya pale mtoni UASHI na kulisafirisha mpaka kule ulikokuwa mji pendwa na kwenda kuliweka juu ya kaburi lake ili hata akitaka kufufuka iwe shida yaani.
 
Eti kwa wananchi wa kawaida wamemwona mkombozi? Mkombozi wa nini yule mwendazake?

Waliomwona mkombozi ni sukuma gang ambao walimwona kama mungu wao. Aende zake, Kyle hajatukomboa kwa lolote zaidi ya kutufokea tu.

Nini tulikipata kwake tulichokikosa kwa Jakaya?
Hakuna tulichokipata kwake yule jamaa zaidi ya hofu ya kutekwa na kupigwa risasi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom