share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,062
- 10,461
Mwezi mmoja umekatika tangu kampeni za Uchaguzi Mkuu zianze. Hali halisi inaonesha dhahiri Taifa lilivyobugikwa na umaskini uliozalishwa ndani ya miaka 5 ya utawala huu wa awamu ya tano.
Taifa limeshuhudia wagombea urais kushindwa kufanya kampeni kwa kukosa fedha, kushindwa kuandaa mabango kwa kukosa fedha, kushindwa kutumia media kwa kukosa fedha, na kadhalika.
Nchi nzima anayetamba kwa mabango na media ni Magufuli tu kwa kutumia mali ya umma ikiwemo TBC. Wananchi wanahoji iwapo hata hayo magari ya kifahari yaitwayo maV8 ya kijani kama kweli si ya serikali.
Kwa kifupi, kampeni zinaendeshwa kwa ugumu na umaskini huku CCM pekee ikitanua. Tujitafakari. Hili nalo ni JAMBO LETU.
Taifa limeshuhudia wagombea urais kushindwa kufanya kampeni kwa kukosa fedha, kushindwa kuandaa mabango kwa kukosa fedha, kushindwa kutumia media kwa kukosa fedha, na kadhalika.
Nchi nzima anayetamba kwa mabango na media ni Magufuli tu kwa kutumia mali ya umma ikiwemo TBC. Wananchi wanahoji iwapo hata hayo magari ya kifahari yaitwayo maV8 ya kijani kama kweli si ya serikali.
Kwa kifupi, kampeni zinaendeshwa kwa ugumu na umaskini huku CCM pekee ikitanua. Tujitafakari. Hili nalo ni JAMBO LETU.