Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,029
- 173,692
Usipolipa kodi si ni jela tuNa Magufuli akishinda, sehemu ambazo wabunge wa upinzani watakuwa wameshinda, hakuna kulipa Kodi.
Maana hata mkilipa, hamtaletewa maendeleo.
Kodi zote kuanzia mwaka huu, zitalipwa kwenye majimbo yenye CCM ili wapelekewe maendeleo kwa Kodi zao, siyo wapelekewe maendeleo kwa Kodi za waote huku wengine wakibaguliwa, wakati Kodi tunalipa wote.