Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,157
- 137,185
- Thread starter
- #41
Kusema kweli Lema alikuwa na hoja ya msingi kabisa ijapokuwa sikupenda alivo create scene pale.Ok, kama ni hivyo ulimpongeza Lema alivyomgomea Gambo juzi?
Ila nilimuelewa sana na nakubalianaa naye 100%.