Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,816
Mzalendo mwenye mahaba na Chadema,hakuna hata post yako moja inayoonyesha memam ya serikali ya CCM,wewe kila kukicha kazi ni kukosoa tu ,hatujaona unapotoa ufumbuzi,lakini wanapokosea Chadema wewe unasifia ,hata siku moja hujawahi kuikosoa Chadema kwanini tusikuite mwana CHADEMA?
hanaga akili huyo, ni wa kudharauliwa tu