Eti unakana nini?Mkuu,mimi si CHADEMA...
Mtu kama Dr Mashinji anafaa kwenye nafasi za ushauri, au tehnical positions, ila hawezi kuwa mtendaji mkuu. kuvaa viatu vya dr slaa ni kazi kama kumrithi Sir Alex FergusonHuyo katibu mkuu naye yupo yupo tu. Hivi huwa hata anaongea?
Wameshaanza.Sijui kama makamanda watakuvumilia....
kama mmefungwa mikono na miguu ile mikwara ya kuandamna na tambo kibao mlizitoa wapi?Nyani Ngabu unakuwa kama sio great thinker, unaona kabisa mtu kafungwa mikono na miguu ulingoni bado unalaumu eti hatupi ngumi, pathetic.
Hapa CDM waliingia chaka. Sioni anachokifanya huyu jamaa.Huyo katibu mkuu naye yupo yupo tu. Hivi huwa hata anaongea?
Kama mlikuwa mnatii agizo mbona mliweka mikwara ya kusema lazima muandamane tarehe 1 october?Hivi kumbe ni kweli ktk wa tz4 mmoja ni chizi. Mtoa mada mi nakushauri anzisha chama chako ambacho bwana ******************* atakuruhusu kufanya mikutano, maandamano na ubunifu huo.
Kwa mpiganaji wa kweli hata akifungwa mikono na miguu kama anachokipigania kina mashiko bado ataendelea na kupigana tu hata kwa kung'ata na meno na kupiga vichwa.Nyani Ngabu unakuwa kama sio great thinker, unaona kabisa mtu kafungwa mikono na miguu ulingoni bado unalaumu eti hatupi ngumi, pathetic.
mkuu umenichekesha sana daaaa ...siamini macho yanguMkuu,mimi si CHADEMA. Nimechangia kama mtanzania
Mkuu,usilazimishe hoja yako. Inawezekanaje usiwe na chama halafu ishindikane kwangu? Nashangaa kuwaona watu maarufu humu kama wewe,Mzee Mwanakijiji na Lizaboni mmekuwa wa ajabu na vimada vya ajabuMmoja mmoja mtaanza kuikana CHADEMA hadharani maana si watu wengi wenye kujipenda kujihusisha na kitu kilichofeli au kinachofeli.
Kabisa aisee. Kapooza mno.Hapa CDM waliingia chaka. Sioni anachokifanya huyu jamaa.
Usiumize kichwa watu wapo kimkakati.Nyani Ngabu unakuwa kama sio great thinker, unaona kabisa mtu kafungwa mikono na miguu ulingoni bado unalaumu eti hatupi ngumi, pathetic.
Mkuu,usilazimishe hoja yako. Inawezekanaje usiwe na chama halafu ishindikane kwangu? Nashangaa kuwaona watu maarufu humu kama wewe,Mzee Mwanakijiji na Lizaboni mmekuwa wa ajabu na vimada vya ajabu
Au labda kwa kuwa mengi walikuwa wakiyaibulia bungeni, tunashindwa kuyasikia kwakuwa bunge limepigwa pini??
Ok, kama ni hivyo ulimpongeza Lema alivyomgomea Gambo juzi?Kwa mpiganaji wa kweli hata akifungwa mikono na miguu kama anachokipigania kina mashiko bado ataendelea na kupigana tu hata kwa kung'ata na meno na kupiga vichwa.
Kupigana si ngumi na mateke tu.
Kumbe unajua Chadema kinamipango mizuri halafu unasema viongozi hawana weredi ndo mana nkakwambia anzisha chama chako weka ubunifu huo umtaarifu na dicteta uchwara kuwa unafanya mikutano na maandamano.Kama mlikuwa mnatii agizo mbona mliweka mikwara ya kusema lazima muandamane tarehe 1 october?