Mwanza: The Cask yawaka moto

Mwanza: The Cask yawaka moto

Wewe ndio mgeni wa mji,joe alianza n kiwanda cha vitu vya plastic..kaka yke alifungua bar hapo jirani na bonasera..
Haya bana...ila unaforce kujifanya unajua...kiwanda cha nyakato kisha sasa nyamhongolo ni matunda ya hustle za awali kabisa...wewe unaona matunda ila hujui nyuma yake kuna msoto wa trials na errors kibao...sasa ichukue hiyo ya club (feat jamaa flani jina kapuni) pia kuna hustle ya duka hapo salma cone na umachinga mwingine kibao
 
Haya bana...ila unaforce kujifanya unajua...kiwanda cha nyakato kisha sasa nyamhongolo ni matunda ya hustle za awali kabisa...wewe unaona matunda ila hujui nyuma yake kuna msoto wa trials na errors kibao...sasa ichukue hiyo ya club (feat jamaa flani jina kapuni) pia kuna hustle ya duka hapo salma cone na umachinga mwingine kibao
Wewe ndio humjui joe unakija na uwongo kua alimiliki club mwanza hotel,mara alikua na rasta...tunamjua joe toka kwao sengerema yeye na kaka yake,wewe unamjua joe rasta
 
Wewe ndio humjui joe unakija na uwongo kua alimiliki club mwanza hotel,mara alikua na rasta...tunamjua joe toka kwao sengerema yeye na kaka yake,wewe unamjua joe rasta
Haya mzee...isiwe kesi yote usemayo ni kweli. You happy now?
 
Mwanza huijui 2008 kulikua na stone club ikimilikiwa na jack masamaki,ikafa 2011 ikafunguliwa club ingine ikimilikiwa na watu watatu

Ni hivi na yeye alikuwa mmoja wa wamiliki wa stone club .
Mimi nilikuwa mpenzi wa bakulutu hapo hapo mwanza hotel kulikuwa na sehemu wanapiga miziki ya dansi Mara chache Sana nilikuwa naingia stone club yao.
Huyo jamaa alikuwa na rasta kipindi hicho na hizo rasta alinyolewa Polisi alikamatwaga.
Kwa taarifa yako Mimi nilihamia mwanza mwaka 2007 oktober
Huyo jamaa kijiwe chake kikubwa kilikuwa pale pizeria
 
Joe anarasta?ilikua mwaka gani
Ningeweza upload picha hapa akiwa na rasi...tokea akiwa saitama japan, ila inaweza reveal identity yangu kwa aliye familiar na nyakati hizo. So kaa humohumo hakuwa na rasta, hajawahi kuwa na club ila kaka yake tu (Jimmy) club ya rock n roll na nini tena? Kiwanda cha plastiki tu au sio?
 
Ningeweza upload picha hapa akiwa na rasi...tokea akiwa saitama japan, ila inaweza reveal identity yangu kwa aliye familiar na nyakati hizo. So kaa humohumo hakuwa na rasta, hajawahi kuwa na club ila kaka yake tu (Jimmy) club ya rock n roll na nini tena? Kiwanda cha plastiki tu au sio?

Achana na huyo mshamba hamfahamu vizuri atakuwa ndio hawa machawa wa kipindi hiki.
Joe namfahamu kabisa akiwa na rasta zake hapo mwanza
 
Organised crime at the peak, karibia jengo zima la Rocky city mail kwa nje Lina fire gate valves means incase Kuna dharura mambo yanakuwa mswani ni kuunga pipes tu, pia Kuna fire gate valve kti barabara pale daraja la kuvuka kwa waenda kwa miguu, Ghana, mission kifupi Mza city centre zipo mingi there is something wrong or some predicate offences concern the incident surely
 
Back
Top Bottom