Mwanza: The Cask yawaka moto

Mwanza: The Cask yawaka moto

Washamba hao mi namjua jamaa kitambo na alikuwa anaendesha club pale mwanza new hotel. wakati ikimilikiwa na gachuma.
Alikuwa na rasta huyo jamaa halafu alikuwa mtata Sana.
Kwani Gachuma sio mmiliki Tena wa Mwanza hotel?
 
Ningeweza upload picha hapa akiwa na rasi...tokea akiwa saitama japan, ila inaweza reveal identity yangu kwa aliye familiar na nyakati hizo. So kaa humohumo hakuwa na rasta, hajawahi kuwa na club ila kaka yake tu (Jimmy) club ya rock n roll na nini tena? Kiwanda cha plastiki tu au sio?

Ndio ameoa mchina pia?
 
Sema wadau zake muhimu lazima atawadai
Ila ss wapita njia ndy hvyo 😂😂😂
Kufa kufaana hyo
Ila Pole muhimu

Ova
Wapita njia anawaamini vipi? Au ulikuwa una kidemu hapo mkuu kinakuamini?
 
Back
Top Bottom