Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,522
- 5,576
Hahaaaaaa hii comment imenikumbusha Jana nilikuwa nasoma makala ya Habib Hanga kuhusu "Corporate espionage".Villa inarudi sokon Cask inaungua, biashara hizi zinachangamoto. Pole kwake bwana Makanyaga