Mwanza: The Cask yawaka moto

Mwanza: The Cask yawaka moto

Punguza majungu hayatakusaidia,eti muhuni wa kupitiliza.Tafuta pesa uache makasiriko kwa waliokuzidi kipato.

Mkuu aliyekuzidi amekuzidi, sinaga mashindano Kwenye haya maisha, utashindana na wangapi waliokuzidi?
 
Makanyaga wanampa stress sana

Jamaa ni mwamba sana, ameshazoea kashkash

 
Inasemekana ni figisu za kibiashara kati yake na malaika beach jamaa anakula vichwa vya malaika vyote wakaamua kumfanyizia
 
Jamaa ni mwamba sana, ameshazoea kashkash

Fighter sana,kichwani yuko vizuri

Nlipenda hustle zake alupokuwa China

Ova
 
Inasemekana ni figisu za kibiashara kati yake na malaika beach jamaa anakula vichwa vya malaika vyote wakaamua kumfanyizia
Malaika no huwezi fananisha hotel I kubwa kama Malaika na hiyo bar. Malaika haiwezi kushindana na bar. Malaika yenyewe kuingia getini unalipa kiingilio
Mara elfu ungesema villa park
Hizo bar ni sehemu za kwenda kuopoa machangudoa tu ,Malaika hawezi shindana nazo
Sasa hapo Ghand Hall wanapo Paki kwenda hapo Eneo la tukio,mbona pua na.mdomo tu?Maji Ziwa lipo jirani tu pia?

Hawa zima moto wanakuwaga wanambwembwe Sana wanapofanya zile rehearsal zao za kuzima moto.
Kuna siku nilikuwa sehemu kumba siku hiyo walikuwa wanafanya zoezi Lao LA kuzima moto na kuokoa .
Yaani walitustua tukawa tunashangaa kuna tukio gani ,kumbe walikuwa wamefake tukio LA moto.
Jamaa walikuwa wapo faster kupita kiasi Kwenye lile igizo Lao.
Likitokea tukio lakweli la moto majamaa yanaboronga Sana,
Zima moto acheni usanii wenu mnatustua tu bure Kwenye mazoezi yenu ambayo hayasaidii kitu kwani Kwenye matukio ya ukweli ule weledi mnaoonyesha Kwenye mazoezi yenu haupo kabisa
 
Jeshi la Zimamoto limekuwa mzigo mkubwa kwa Taifa nashauri Kamishana wa Zimamoto atoke/ateuliwe kutoka JWTZ.
Naunga Mkono hoja ,JWTZ wamefanya operesheni ya kusambaza vitabu vya shule kuanzia awali mpaka Sekondari Nchi nzima kwa muda wa siku SABA tu ,majuzi hapa na wameweza..Nimeshangaa mno..Tuwape tu hata Nchi watuongoze.
 
Back
Top Bottom