Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
vipi wewe bado mkuu wangu 😀😀😀 ebu tujuane aseeeMkuu kale ka chaga kumbe na wewe umeshatafuna.....
vipi wewe bado mkuu wangu 😀😀😀 ebu tujuane aseeeMkuu kale ka chaga kumbe na wewe umeshatafuna.....
Aisee kumbe tupo wengivipi wewe bado mkuu wanguebu tujuane aseee
haina makombo mkuu 😎😎😎kila mtu alipangiwa mda wake tu ukimaliza inaoshwaaa kazi iendeleeAisee kumbe tupo wengi
Kalikuwa na yule rafiki yake Mage kama unamfahamu, nae pia nilimkosa kidogo sana, tatizo yeye alikuwa waluwalu sanahaina makombo mkuukila mtu alipangiwa mda wake tu ukimaliza inaoshwaaa kazi iendelee
Namjua vizuri tu si ni company moja na Naomi pia 😀😀😀 walisoma pamojaKalikuwa na yule rafiki yake Mage kama unamfahamu, nae pia nilimkosa kidogo sana, tatizo yeye alikuwa waluwalu sana
Namjua vizuri tu si ni company moja na Naomi piawalisoma pamoja




.......we mwamba ni mwenyeji aiseeKalikuwa na yule rafiki yake Mage kama unamfahamu, nae pia nilimkosa kidogo sana, tatizo yeye alikuwa waluwalu sana
🤣🤣🤣 na hiyo umeiraruwa ila ni Dude la ukweliDiamond napamudu vyema. kati ya moja ya sehemu ambayo nikifika watoto wote macho kwangu ni pamoja na hapo 😀😀😃 hata Muncy nilipenyeaga hapo
Kapeee kanelezu....ndo faida ya kula bia KAUNTAMkuu kale ka chaga kumbe na wewe umeshatafuna.....
Kama Picnic Arusha....hahahavijana kuweni makini na hawa wahudumu wa bar huwa hawakataagi mtu mradi usiwe na mkono wa birika.
Mimi vinaniuzigi vinajifanya vinakunywaga vinywaji expensive wakati havina hela
inawachanganya watu brand tu, hakuna maajabua yoyote mle 😀😀😀 sema anajiposition vizuri na kujitangaza vyema🤣🤣🤣 na hiyo umeiraruwa ila ni Dude la ukweli
Wanaumeee ndio zetuuuuu ndio zetuuuuu 😀😀😀😀😀😀.......we mwamba ni mwenyeji aisee
Na sie mkuu hatutaki kukataliwa mkuu, waendelee tu kutukubalia aseee. ila kwenye hela ni kupambana pima thamani kabla pocket haijaguswaaavijana kuweni makini na hawa wahudumu wa bar huwa hawakataagi mtu mradi usiwe na mkono wa birika.
Mimi vinaniuzigi vinajifanya vinakunywaga vinywaji expensive wakati havina hela
Hata huyo Marry, ni nadra sana kukuta anakunywa haya mateka wima yetu (localvijana kuweni makini na hawa wahudumu wa bar huwa hawakataagi mtu mradi usiwe na mkono wa birika.
Mimi vinaniuzigi vinajifanya vinakunywaga vinywaji expensive wakati havina hela
), anakwambia yeye anakunywa zilizopanda ndege 


Ningeweza upload picha hapa akiwa na rasi...tokea akiwa saitama japan, ila inaweza reveal identity yangu kwa aliye familiar na nyakati hizo. So kaa humohumo hakuwa na rasta, hajawahi kuwa na club ila kaka yake tu (Jimmy) club ya rock n roll na nini tena? Kiwanda cha plastiki tu au sio?
Hatareee na robo tatu.....
Hahaha Kazi iendelee...haina makombo mkuu 😎😎😎kila mtu alipangiwa mda wake tu ukimaliza inaoshwaaa kazi iendelee
Sawa,stone club ilikua mali ya nani?Alikuwa nazo kweli...
Jimmy alikua n bar hapo jengo la katarama na mkewe mchina,kama sikosei yeye ndio alikua na rastaAnachokisema ni kweli alikuwa na rasta unamuongelea kaka yake Jimmy...