Kulikuwa na rock city marathonHivi kwanza leo pakikuwa event gani, maana nilipita mchana nikakuta pamefungwa boombastic sound ya kufa mtu
Kwani the cask inahusiana nini na kuondolewa wanachinga?SAUTI YA WAMACHINGA INATOSHA AU WAONGEZE ZAIDI
Kuna moja niliikuta inatumika kudeki barabara za mitaa hapo mjini🤣😆😂Hakuna zimamoto kama ilivyo kawaida yetu.
Uko wapi Umepotea sana...Tumekumisije Smart girlTobaaaaa
Bila shaka hawakuwa na maji. Kama walitaarifiwa mapema kwanini wachelewe? Hatuna utaratibu wa kujua tangu walipotaarifiwa iliwachukua muda gani mpaka walipowasili.
Vipi faya hawakuwa na bunduki! Au walikosa risasi?
Kwani fire ndio waliowasha huo Moto?Hivi Tz tunahuduma ya fire kweli!? Moto unawaka karibu saa nzima tena katikati ya mji wa Mwanza (Rock City Mall), hakuna fire Wala Nini, na kila budget ikipitishwa naskia kunabudget ya jeshi la Zima motoView attachment 1985927
Huu ndo ushenzi w serikali hii ya chama cha kijani.Hivi Tz tunahuduma ya fire kweli!? Moto unawaka karibu saa nzima tena katikati ya mji wa Mwanza (Rock City Mall), hakuna fire Wala Nini, na kila budget ikipitishwa naskia kunabudget ya jeshi la Zima motoView attachment 1985927
Tunanunua ndege kwanza tena kwa cashHivi Tz tunahuduma ya fire kweli!? Moto unawaka karibu saa nzima tena katikati ya mji wa Mwanza (Rock City Mall), hakuna fire Wala Nini, na kila budget ikipitishwa naskia kunabudget ya jeshi la Zima motoView attachment 1985927
Lawama watabebeshwa wale machingaBinafsi nimesikitika kiwanja changu pendwa hiki. Bia ya hapa hua tamu
Ngoja nifikirie wa kumpa lawama nitarudi.
Ukihitajika kutoa ushahidi utaweza kuutoa?Huyo mmiliki wa hiyo place atakuwa amechoma hiyo place ili alipwe na bima .
Namjua Sana huyo mjuba since kitambo na rasta zake akiwa anaendesha club pale mwanza hotel.
Ni muhuni aliyepitiliza