ANAUPIGA MWINGI
JF-Expert Member
- Apr 14, 2022
- 388
- 757
Una ujinga mwingi sana, Arusha hapa kuna.mikate inauzwa hadi 7000 unaweza nunua? Yaani ule ujinga wa kwenye siasa huwa tuna uhamishia kwenye vitu vya msingiUkiona hivyo ujue asilimia kubwa ya watu wako healthy hawana haja ya kucontrol sugar wanayokula as brown bread ni kwa ajili ya special diet ila kula kawaida ule mkate hapana kwakweli mana hauna tofauti na pumba za kuku ladha yake!
Hebu tutolee ushamba wako,so unaona wewe ndiyo mjanja sana,si ajabu umeijua Capuccino baada ya kuwa mpagazi wa mizigo ya watalii wanaopanda mlima Kilimanjaro?Origin sio original yake. Arusha na dar ni vitu vya kawaida hawajaanza kutumia baada ya kfc kuja. Mwanza ndio wanadhani ni maajabu mpaka uende rock city mall. [emoji1787]
Wewe anza kwanza na elimu ya kuandika,kisha tutakupeleka kwa Proffesional dietician na Mwanza wapo wa kutosha tu.Sasa wewe hata kuandika tu ni mtihani ndiyo utueleweshe maswala ya ulaji salama [emoji1][emoji1]Elulimu inakusmbua sana mimi.mfano siumwi ila sinywi Soda, situmii.mikate meupe wala product yoyote ya ngano nyeupe, wali mweupe labda nikiwa safarini, Sukari nisha sahau kabisa, Elimu za afya ni shida weww ngojea uandikiwe
Hebu toa kwanza ujinga kwa kujifunza kuandika hata kabla hatujaja kwa mada husika [emoji1][emoji1]Una ujinga mwingi sana, Arusha hapa kuna.mikate inauzwa hadi 7000 unaweza nunua? Yaani ule ujinga wa kwenye siasa huwa tuna uhamishia kwenye vitu vya msingi
Akale watoto wakinyaturu watamuMbona mnaendekeza kula sana [emoji276]yaani unaharibu siku nzima kutafuta mkate?ungekula mihogo ungepoteza nini?,anyway karibu Singida
Ukileta mambo ya majiji ya kisasa kwa tanzania hakuna weka kichwani hilo, majiji ya kisasa yapo wewe tembea ughaibuni usifike nenda tu south ushuudie majiji yalivyo utasema kumbe majiji yetu ni uchafu mtupu[emoji1787]Ukiongelea miji ya kisasa huwezi kuitaja mwanza. Mwanza inabebwa na population ila ukisasa, kama modern city huwezi kufananisha na Arusha. Arusha jiji proper ni kubwa kuliko mwanza jiji/ilemela. Watu hawaelewi. Arusha ni mji upo exposed kimataifa. Huwa nachekaga sana watu wa mwanza wakishindana na Arusha. Majiji ya kisasa ni mawili tu Tanzania. Arusha na Dar es Salaam.
Hiko kijiji wanakula sana ManumbuJuzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.
Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.
Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.
Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.
Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Mshamba mimi? 🤣 Samahani sana sijatokea Mwanza. Washamba mpo kwa kiwango cha juu huko. Yani what is Mwanza? Kuna vibe gani! Labda?Hebu tutolee ushamba wako,so unaona wewe ndiyo mjanja sana,si ajabu umeijua Capuccino baada ya kuwa mpagazi wa mizigo ya watalii wanaopanda mlima Kilimanjaro?
Mwanza sio jiji. Ni mji mkubwa tu.Ukileta mambo ya majiji ya kisasa kwa tanzania hakuna weka kichwani hilo, majiji ya kisasa yapo wewe tembea ughaibuni usifike nenda tu south ushuudie majiji yalivyo utasema kumbe majiji yetu ni uchafu mtupu[emoji1787]
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ukija usukumani kama huku uwe unajitahidi kutafuta connection kwanza, lasivyo watu wakisha kula ugali wa udaga wamesahau kilakitu. Piga simu next time uandaliwe. Tumesha zoea tunafanya yetu wenyewe. Next time ukija niwhatsapp nikupe mtu wa kukutengenezea chap!!Juzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.
Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.
Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.
Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.
Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Kwani Arusha wanataka Ziwa Au Idadi ya Watu? Viko vitu vya msingiEndelea kujitekenya na kujifariji lakini ukweli mchungu ni kwamba Arusha mpaka Yesu anarudi haitakuja kuifikia Mwanza kamwe. Pole sana mwenye meno ya rangi kama kashata.
Tunaita mikate ya kikingaHUU MKATE UNAWAFAA WENYE KISUKARI IRINGA IPO SANA SUPERMARKETS
Eti kuna vibe gani? Si ndiyo ushamba wenyewe sasa huo.Watu wanaangalia mzunguko wa uchumi wewe unakuja na ujanja wako wa Form Six wa kuulizia vibe gani? [emoji3][emoji3][emoji3]Mshamba mimi? [emoji1787] Samahani sana sijatokea Mwanza. Washamba mpo kwa kiwango cha juu huko. Yani what is Mwanza? Kuna vibe gani! Labda?
Mkuu Mwanza kuna ukubwa gani?Mimi ni mchaga biashara zangu nafanyia mwanza kusema ukweli hii bidhaa hipo tena ni nyingi tu na auwezi linganisha mwanza na arusha hata kidogo mwanza ni baada ya dar, wingi wa watu, ukubwa wa city centre, mzunguko wa hela nk.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Acha kuishi kwenye ujingaHuko watu wengi sana kula vitu asili,wewe umeenda huko na vyakula vyako vya DSM
Huko ulizia natural good kama mihogo ya kuchemsha,maboga,viazi,magimbi,karabga na njugu mawe ndio watu wanatumia kama vifungua kinywa.
Pizeria mikata yao 90% ni brown! Jirani na Mwanza hotel kama unaelekea mataa.
Tatizo watu wa Dar wana mentality flani kwamba wakitoka nje ya Dar hawawezi kupata kabisa huduma flani mikoani.