Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Soma tittle vizuri halfu soma maelezo yake ya mwanzo,
Ukiahaelewa endelea na vinavyofuata

(KAMA KICHWA CHA HABARI KINAVYOJIELEZA)
Kichwa cha habari na yaliyomo ndani ni tofauti kabisa.

Kachanganya mambo mara jiji mara kimkoa sijui kasimamia wapi sasa jiji au kimkoa?
 
Kwa kweli Mwanza ipo Juu.

Hizo pesa za madini ya huko ninaamini yatatumika kuendeleza Arusha iwe sehemu ya kuvutia zaidi na watalii waweze kufurahia hata wakipiga picha zao.

Awamu hii itatenda mengi na mtafurahia wananchi.
Asante sana dada
 
kwa miundo mbinu ya arusha dakika mbili unafika unakotaka smooth, wew na ushamba wako wakisukuma utakuwa ulizungushwa round about za sanawari tu na magorofa mengi hapo mbulula ukaambiwa tumeimaliza arusha ukashangilia kama zuzu
Usukuma unaingiaje hapa mkuu
 
Kwa hiyo ubora na uzuri wa sehemu ni ukubwa sio! Ama kweli kua uyaone
 
Upo obsessed sana na Arusha.
Kuwa makini usijepata maradhi kijana.
 
ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi mchunga ngombe wewe..acha kufananisha arusha na mambo yakiseng3 [emoji35] njoo pm nikuonyeshe jinsi jiji lilivyo wewe na uyo malaya wako kwa gharama zangu
 
Sasa niisifie arusha kwa lipi mkuu kimkoa kizima hakuna beach utakuna na mabwawa tu sasa arusha niisifie kwa lip mkuu
punguza kuvuta bangi mbichi wewe, zikaushe kwanza...!
beach itatoka wapi arusha mjini wakati hakuna bahari wala ziwa??
 
Kama alivyo 'baba'yenu mnaropoka hovyo
Unashindwa kutofautisha Arusha mkoa na Arusha jiji
Rudi ukaishi katikati ya mawe kama panya
 
Hujatuelezea ulipita wapi na wapi wenye jiji letu ...ubaya wake nn hasa?Au usukuma unakusumbua?
 
Back
Top Bottom