Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Rais wao ni Lema, unategemea nini?
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu

Baada ya kupiga hela za makinikia huku kanda ya ziwa niliamua niende zangu kaskazin nikatulie kidogo huku nikiponda raha, nilikuwa na mtoto mkali sana mrefu mweupe

Safari yangu ilianza nikapanda bombadia ya anko magu had kia, Baada ya kufika kia nilichukua usafir wa moja kwa moja had arusha, baada ya kufika arusha sikuuamin macho yangu

Kimkoa ni kidogo sana na watu wake hawana uelewa kwa baadh ya mambo ingawa wanajifanya ni watu wanaoish maisha ya kuigiza igiza

Unatembea kilomita tano tiar umemaliza mkoa mzima siyo kama mwanza ambayo inabid utembee zaid ya kilomita 50 ndo umalize mji

Kwa kifup arusha inabebwa na promo haina kitu kabisa

Level za arusha ni iringa na moro na dodoma

Kulinganisha kimkoa cha arusha na jiji kubwa kama mwanza ni kuchuma zambi za bure na ni tiket ya kwenda moton moja kwa moja

Mwanza is the best


NANYUPU
 
Naona hii Changamsha kijiwe tu

Ref Geneva of Afrika ni wapi?

Maajabu ya dunia Ngorongoro Crater

Shifting sand/sand dunes

Nyayo za mtu wa kale.

Arusha National park

Tarangire nationa park

Ngorongoro conservation Area

Hot Springs

Super highway

Umetoka Arusha mjini mpaka Ngorongoro wewe

Umetoka Arusha mjini mpaka Monduli

Umetoka Arusha mjini mpaka kwa Mrombo

Ila wote sisi Watanzania na mwl Nyerere alisema tuwaogope sana watu wanaotaka kutugawa kwa vigezo vya makabila,kimkoa...nk
Umeelewa kweli maada inazungumuzia nini au umekurupuka tu mimi naongelee mji na jiji kwa ujumla wewe nawe unaleta habar za mbunga za wanyama
 
Bora umewambia kaka utawakuta wanajisifu arusha kubwa kuliko mwanza kumbe ni hovyoooo tu jiji lenyewe chafu kama umefka kibiti
Mkuu jiji ni chafu sana na ni dogo sana lakin jinsi wanavyolipa masifa sasa

Mbeya ni kubwa kuliko arusha mkuu nimeshangaa sana
 
HUJAELEWA POINT NA BANDIKO LA JAMAA.
....
Amezungumzia mji/jiji siyo mkoa kwa ujumla.
Alafu kuitwa jina (mfano Ronaldo) siyo 'eti' unakuwa kama yeye, (HAIWEZEKANI)
....
hivo bac kuitwa African Geneva siyo 'eti' ndiyo iwe bora au imekaribia kufanana na Geneva ya UKWELI (HAIWEZEKANI)
...
Kiuhalisia (mtu yeyote) kama umetembea mikoa mingine kuna kitu unaweza kujifunza, WHY?
....
Mkoa wa Arusha sawa una vivutio ILA haupo kimpangilio na mengine ni sawa na haliyoandika kijana wangu Beira Baby Boy
Asante kwa kunielewa ndugu yangu unajua huyu jamaa kakurupuka hajaielewa maada inataka kuchangia kitu gan
 
Hizo hela zako chenji maiti zitakuwa zilikufikisha Cheka Ung'twe.

Kama ungekuwa na hela ungekuja na uzi wa kuisifia Arusha.

Tatizo sio wewe, tatizo ni mfuko wako umekuponza.

Pambana na hali yako. Ila ujue hakuna mahali kama Arusha asee. Usifananishe Arusha na vimikoa vyakipuuzi
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu

Baada ya kupiga hela za makinikia huku kanda ya ziwa niliamua niende zangu kaskazin nikatulie kidogo huku nikiponda raha, nilikuwa na mtoto mkali sana mrefu mweupe

Safari yangu ilianza nikapanda bombadia ya anko magu had kia, Baada ya kufika kia nilichukua usafir wa moja kwa moja had arusha, baada ya kufika arusha sikuuamin macho yangu

Kimkoa ni kidogo sana na watu wake hawana uelewa kwa baadh ya mambo ingawa wanajifanya ni watu wanaoish maisha ya kuigiza igiza

Unatembea kilomita tano tiar umemaliza mkoa mzima siyo kama mwanza ambayo inabid utembee zaid ya kilomita 50 ndo umalize mji

Kwa kifup arusha inabebwa na promo haina kitu kabisa

Level za arusha ni iringa na moro na dodoma

Kulinganisha kimkoa cha arusha na jiji kubwa kama mwanza ni kuchuma zambi za bure na ni tiket ya kwenda moton moja kwa moja

Mwanza is the best


NANYUPU
[emoji817] [emoji818] [emoji818] [emoji818] [emoji818] [emoji818] [emoji818] [emoji818]

Umekaona kastand kao? [emoji51] [emoji51] [emoji51]
Arusha hata mwenyewe nimepashangaa ukilinganisha na hizo kelele zao za kimasai...
Watu wake hovyoo kabisa, hawana hata kaustaarab, ni kimasai masai tuuuuu...
Ingia barabarani sasa, hawana sheria ya barabara na ukienda kwenye mataa hakuna anayejali taa ya Kijani wala nyekundu....
Hiyo barabara mpya walopewa sasa, kwenye zebra ndio sehemu za kuvukia bodaboda na hawana utaratibu wa barabara mbili kwamba hii inakwenda na hii unarudi, no!.. Wao yoyote Ile wanaingia....
Kamji kao ni kadoooogo, ukianzia kwa Mrombo, unaenda huo Ngaramtoni ya juu, sakina, sanawari, sekei, kwa mrefu, tengeru, USA, na urudie Moshono unamalizia mjini Kati yao Ngarenaro kwa dogo janja [emoji16] [emoji16] [emoji16] bhaaassss!.... Hamna kitu babu....!
 
HUYU JAMAA KUNA POINTI ANAYO ANASHINDWA TU JINSI YA KUIWEKA HAPA.NAONA ANAONGELEA UKUBWA WA ENEO KWANI NINGEMUULIZA ANAWEZA AKANITAJIA ALIENDA WAPI NA WAPI, PILI NYUMBA NZURI ARUSHA ZIPO WAPI, ZA USWAHILINI ZIPO WAPI, MJI MPYA UNAPANUKIA UPANDE GANI, MATAJIRI WANAKAA WAPI, SEHEMU NZURI ZA STAREHE ZIPO WAPI, ZA USWAZI WAPI.KWANI UNAWEZA UKAWA UMEPITA UHURU ROAD TU UKAFIKIRI UMEMALIZA ARUSHA
 
[emoji817] [emoji818] [emoji818] [emoji818] [emoji818] [emoji818] [emoji818] [emoji818]

Umekaona kastand kao? [emoji51] [emoji51] [emoji51]
Arusha hata mwenyewe nimepashangaa ukilinganisha na hizo kelele zao za kimasai...
Watu wake hovyoo kabisa, hawana hata kaustaarab, ni kimasai masai tuuuuu...
Ingia barabarani sasa, hawana sheria ya barabara na ukienda kwenye mataa hakuna anayejali taa ya Kijani wala nyekundu....
Hiyo barabara mpya walopewa sasa, kwenye zebra ndio sehemu za kuvukia bodaboda na hawana utaratibu wa barabara mbili kwamba hii inakwenda na hii unarudi, no!.. Wao yoyote Ile wanaingia....
Kamji kao ni kadoooogo, ukianzia kwa Mrombo, unaenda huo Ngaramtoni ya juu, sakina, sanawari, sekei, kwa mrefu, tengeru, USA, na urudie Moshono unamalizia mjini Kati yao Ngarenaro kwa dogo janja [emoji16] [emoji16] [emoji16] bhaaassss!.... Hamna kitu babu....!
We hujielewi kwakweli. Kama unayosema niyakweli si kila siku ungesikia ajali na watu wanakufa.

Kabla hujaandika kitu jaribu kuwaza acha kudhihirisha upumbavu wako hapa.
 
Hivii hako kautafiti chako mchwara umefanya kwa muda ganii..
Kifupi ukija naakili zako za Usukumanii..kamwe maisha yako hadi ufe utokaa kuuwelewa Jiji La Arusha..

Japo naheshimu mawazo yako..but Ukiwa kama mwanaume acha kuchenjua hoja kama bint wa chuo..
Tatizo wengi mna onekana kupanic badala ya kuchangia hoja kwa utulivu ukweli utabak kuwa ukwel arusha bado sana kulinganisha na mwanza
 
Back
Top Bottom