Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Uwezi.....fananisha R.chugger na eneo LA wavuvi, Chezea R.chugger weeeeye!!, Muji wama Raha AR
 
Komaeni kutoshana sisi as singida tunajenga singida nasisi baadae tuje na mada kama hii
 
mnakoelekea siyo pazuri bora kila mtu asifie miliki zake na si jiji atakalo.
 
Juzkat nilkuwa mwanza for the first time for sure pameendelea more than arusha..although mie ni borntown arusha og yan i appreciate that mwnz n next level..ina deserve kwakwel bgup rockcity.
Wewe unatafuta ugomvi na watu wa Arusha.
 
Kwangu mie naona Kigoma na Sumbawanga ndoo zaidi kwa sababu hakuna squarters kama ilivyo kqa Mwanza na Arusha
 
Ni kweli lakini hii sio kulinganisha
Tunataka kujua tatizo nini Mwanza
Tatizo ni wahamiaji, tena sio wa mbali bali ni wa visiwa vya ziwa victoria na wakurya. Hawa ndio wanarudisha mambo nyuma na tabia zao za ajabu ajabu.
 
Nimefika mwanza kwa mara nyingine kwaajili ya mapumziko ni meichagua kutokana na sifa ambayo inayo huko nje nikaona si haba kuja kujipatia hivyo visemavyo
Mji wa mwanza umepooza saaaana hauendani na sifa ambayo unao huko nje, nyumba nyingi rangi zimepauka na wala wamiliki hawana mpango wa kuzikarabati



barabara za mjini zimejaa mashimo tena za mjini haswaaa ninge mshauri mh magu amuamishie Paul Makonda aje mwanza awanyooshe manake wasukuma, wakurya na wajaluo wamefanya mwanza kupooza
Asante japo kiduuuchu nimeweza toa dukuduku langu kooni
 
Labda ulitegemea sana ndio maana umeshindwa kufurahi tegemea kawaida tu maisha ni yale yale ila mwanza is always the best
 
Back
Top Bottom