Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Wengi wanaolinganisha mwanza na Arusha hawana ufahamu mpana wa hii miji. Mtu kama unahela yako kukuwezesha kutembea na kujionea taswila mbalimbali ya hii miji huwezi kulinganisha mwanza na Arusha. Mwanza ndo jiji la pili baada Dar. Miji iliyobaki Arusha, Tanga, mbea, na juzijuzi Dodoma imepewa hadhi ya kuitwa majiji kwasababu ya kisiasa kama motisha ya kuifanya ikue. Lakini bado sana zinafaa ziitwe manispaa
 
Wengi wanaolinganisha mwanza na Arusha hawana ufahamu mpana wa hii miji. Mtu kama unahela yako kukuwezesha kutembea na kujionea taswila mbalimbali ya hii miji huwezi kulinganisha mwanza na Arusha. Mwanza ndo jiji la pili baada Dar. Miji iliyobaki Arusha, Tanga, mbea, na juzijuzi Dodoma imepewa hadhi ya kuitwa majiji kwasababu ya kisiasa kama motisha ya kuifanya ikue. Lakini bado sana zinafaa ziitwe manispaa
Wasukuma bana...,
 
Naishi Arusha zaidi ya miaka mitatu now. Ila ukweli mwanza ni pazuri na pamejengeka zaidi ya Arusha. Makazi ya Arusha mengi hayajapangwa vizuri jiji limejaa nyumba zilizopangwa hovyo tu vimitaa vyembamba hata gari mbili kupishana shida..barabara mbaya full matope na mawe mvua zikinyesha...Kituo kikuu cha daladala arusha kiko hovyo full mavumbi na kipo katikati ya jiji.....kiukweli Arusha sijui ilikuaje kuwa jiji ni kamji kadogo sana kamejaa mashamba ya migomba.
 
Seriously? Mwanza vs arusha? Ni sawa sawa na kulinganisha mto na ziwa!
 
ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi mchunga ngombe wewe..acha kufananisha arusha na mambo yakiseng3 [emoji35] njoo pm nikuonyeshe jinsi jiji lilivyo wewe na uyo malaya wako kwa gharama zangu
Kwani wewe unapima mji kwa lipi? Ebu anza na mapato kwanza, idadi ya watu, ukubwa wa mji, shughuli za kiuchumi etc
 
Sikuwa na mwenyeji wala nini ila mji wa Arusha niliuzunguka peke yangu bila kupotea labda unaizidi Mwanza kwa pale Shivaz na Mrina maana full time wauzaji wapo tu
 
Kwani kuna lipi Arusha
Mpaka kuidharau Mwanza!?

Arusha hakuna lolote mji wenyewe kilometa 1 za mraba

Mwanza level nyingine bwana

Ukhty unataka kuilinganisha mwanza na Arusha?
Safiri kidogo fika Arusha kisha utajua
 
Ukhty unataka kuilinganisha mwanza na Arusha?
Safiri kidogo fika Arusha kisha utajua
Nilikuja mara ya kwanza Arusha 2010 hadi leo ni miaka 8 naishi Arusha/Moshi.Arusha unaweza ukaizinguka kwa mguu siku moja unaimaliza,Mwz ni mji mkubwa kwa kila kitu unapitwa na Dar peke yake.
 
Nilikuja mara ya kwanza Arusha 2010 hadi leo ni miaka 8 naishi Arusha/Moshi.Arusha unaweza ukaizinguka kwa mguu siku moja unaimaliza,Mwz ni mji mkubwa kwa kila kitu unapitwa na Dar peke yake.
Kama unazungumzia ukubwa wa eneo sawa. Nilifikiri kwa miundombinu
 
hizi mada zinagawa watu kikanda na kikabila, kuna mada nyingine ya moshi vs dodoma, Bukoba vs Moshi n.k, hizi mada zinaanzishwa na watu wa kanda ya ziwa na ni kwa ajili ya kusakama tu kaskazini...upuuzi mtupu
Kweli kabisa, hizi mada za ukanda, ukabila ni nyingi sana.
Alafu haohao hujiona wanatoka kwenye jamii ya wasomi, na waliondelea.
 
Ni kweli lakini hii sio kulinganisha
Tunataka kujua tatizo nini Mwanza
Eti "tunataka kujua" Wewe na nani? Sema unataka kujua. Na ukijua hizo sababu za kudhani kwako kwamba Mwanza inadodora (iwe kweli au isiwe kweli) itakusaidia nini? Hata kama Arusha inapaa kuliko Mwanza (japo hujatoa takwimu wala mifano); wewe binafsi umewekeza nini kama mchango wako was kuipaisha Arusha? Au ni mfurahia vya wenzako tu? (Nyegela sha biye) Uli mbuuli.
 
Eti "tunataka kujua" Wewe na nani? Sema unataka kujua. Na ukijua hizo sababu za kudhani kwako kwamba Mwanza inadodora (iwe kweli au isiwe kweli) itakusaidia nini? Hata kama Arusha inapaa kuliko Mwanza (japo hujatoa takwimu wala mifano); wewe binafsi umewekeza nini kama mchango wako was kuipaisha Arusha? Au ni mfurahia vya wenzako tu? (Nyegela sha biye) Uli mbuuli.
We kama umevurugwa Hayo maswali Yako bakinayo
 
Kichocheo gani..? PSPF wameingia hasara kubwa kupeleka mradi mkubwa wa Mall Mwanza...Mwanza hamna Shoppers...Watu hawajui maana ya kufanya Shopping.....

Nimetoka juzi hapo nikakuta jengo zima ni wapangaji wa tatu tu...Ilikuwa jimamosi lakini hakuna watu ndani ya mall...Kumebaki pakiwa na sehemu ambayo watu wanaenda kupiga picha tuu...

Hivi unaweza fananisha Nakumatt ya Arusha na upuuzi wa hiyo Mall.
?
Na hivi karibuni umeenda?
 
Back
Top Bottom