Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

We hujielewi kwakweli. Kama unayosema niyakweli si kila siku ungesikia ajali na watu wanakufa.

Kabla hujaandika kitu jaribu kuwaza acha kudhihirisha upumbavu wako hapa.
Mkuu matus ya nini tena mbona mwenzako hajatukana
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu

Baada ya kupiga hela za makinikia huku kanda ya ziwa niliamua niende zangu kaskazin nikatulie kidogo huku nikiponda raha, nilikuwa na mtoto mkali sana mrefu mweupe

Safari yangu ilianza nikapanda bombadia ya anko magu had kia, Baada ya kufika kia nilichukua usafir wa moja kwa moja had arusha, baada ya kufika arusha sikuuamin macho yangu




Kimkoa ni kidogo sana na watu wake hawana uelewa kwa baadh ya mambo ingawa wanajifanya ni watu wanaoish maisha ya kuigiza igiza
sijajua unazungumzia uelewa wa mambo gani. Jamii ya Arusha jiji ni jamii yenye uelewa na mambo mengi saana na hii ni kwasababu Arusha ni jiji la kitalii jamii nyingi za kimataifa zinakutana.

Hili halina ubishi sitaki kusema mwanza kuna washamba ila ukiwachukua vijana wa hiyo kanda ukawalinganisha na wa Arusha utaelewa kitu....nimekaa mwanza nawajua vizuri

Unatembea kilomita tano tiar umemaliza mkoa mzima siyo kama mwanza ambayo inabid utembee zaid ya kilomita 50 ndo umalize mji
Kuhusu udogo ni kweli arusha sio kubwa Kama dar au mwanza ila kwa km 5 unadanganya. Kutoka njiro Nane nane hadi Uwanja wa ndege ukisema Hakuna km 5 utakuwa umelewa na hauijui Arusha.

hizo km 5 ni kutoka stand hadi kituo cha Darajani kabla hata haujafika majengo mbele ya sakina.


Kwa kifup arusha inabebwa na promo haina kitu kabisa

Arusha Hakuna cha promo ni jiji la kipekee naongea haya maana nimekaa mikoa karibia yote Tanzania Dar mwanza morogoro Tabora Iringa n.k

Level za arusha ni iringa na moro na dodoma
halafu kingine Arusha ni tofauti na mikoa mingi kwenye lifestyle Arusha Uswahili ni mdogo sana. Nashangaa Dar unaweza kukuta watu wamezunguka tv kwenye kiosk wanaangalia bongo movie ila Arusha mazee watu wapo airee kila mtu na Zake.
Kulinganisha kimkoa cha arusha na jiji kubwa kama mwanza ni kuchuma zambi za bure na ni tiket ya kwenda moton moja kwa moja

Mwanza is the best


NANYUPU
 
Unaijua 50km au unapoyoya tuu.

Kutoka kariakoo mpaka Mbezi mwisho haizidi 30Km na ndio unaiacha Dar ili uingie Pwani baada ya Kibamba.

10Km kwa Makazi ya watu ni eneo kubwa. Usiongee kama mtu aliyevurugwa
 
nazani ulienda kibondo kwa mganga ww hujaenda Arusha


HABARI,
Hongera kwa kubahatika kufika Arusha,Ila nadhani Kama ukipiga pesa zako za makinikia mara nyingine nenda zanzibar.
Hapo arusha wanapiga makinikia kilasiku jamaa yangu nandhani ulikwenda mahali sio.Kwanza umeshakubali ulipata mrembo mrefu mweupe unataka nini sasa hata kwenye gogo unalalanae tu si unahela.
Na promo inayopewa arusha bado hujaiona wewe kama arusha inajulikana kimataifa kaulize wanaijueje.
uzuri haupimwi kwa ukubwa.

LUMUMBA
 
Wengi mnapaniki tu Mwanza ni zaidi ya Arusha,

Ila me sishangai mnavyo panic maana mnapenda sana maisha ya kuigiza hata tunapokutana mikoa mingine,

Nilikuwa mmoja Wa wanaoziamini sifa zilizokuwa zikitolewa kwa Arusha kabla sijafika lakini baada ya kufika nilielewa zooote zilikuwa sofa uchwara ila hali ya hewa tu.

ARUSHA HAIFANANI WALA KUKARIBIANA NA LONDON AU GENEVA KIMUONEKANO BALI HALI YA HEWA TU

MSIJIDANGANYE NYIE WAKUITWA MACHALII
 
Mwanza ipi hiyo ya kutembea KM 50 kumaliza mji? City Center ni ofisi za ccm Mkoa wa mwanza,kwenye mnara wa utumwa, kwa sasa mti ule haupo tena. Kutoka pale hadi Igoma, km 10, ukiongeza 5km za kisesa ambayo ipo Magu.

Ukipanda juu, ni KM 8 kufika airport,mwisho kabisa hapo.

Ukienda Buhongwa, ni KM 15.

Wapi hizo km 50 ulizotembea?
 
Hivi uvisemavyo havihusiani na Arusha kuwa jiji viko nje ya mji kabisa
Hivi kasema jiji au Kimkoa unajua mkoa unaundwa na nini kama sio Wilaya unaposema Mkoa unamaanisha na vilivyomo ndani yake

Hebu msome tena kwa umakini

Kimkoa
 
BAN uliyopigwa naona imekuzuzua...hujaacha kuandika pumba tu mkuu???

Nilishakutaarifu kitambo ubadilike, lakini hukunielewa... Acha fix zako hapa na story zako za kutunga hapa...unakuta hata Arusha hujafika halafu unasema eti nimetembea Kilometer 5 mji umeisha

Kawadanganye wakoromije wenzako!!
Dah! Leo umegomba mkuu? For the very first time haha
 
Umeelewa kweli maada inazungumuzia nini au umekurupuka tu mimi naongelee mji na jiji kwa ujumla wewe nawe unaleta habar za mbunga za wanyama
Kimkoa cha Arusha unaelewa maana ya mkoa hayo yote nliyokutajia yapo ndani ya mkoa wa Arusha

Wewe umesema kimkoa cha Arusha ni kidogo au ulikua unaamanisha kimkoa ndo jiji au mji

Hebu soma bandiko lako tena
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu

Baada ya kupiga hela za makinikia huku kanda ya ziwa niliamua niende zangu kaskazin nikatulie kidogo huku nikiponda raha, nilikuwa na mtoto mkali sana mrefu mweupe

Safari yangu ilianza nikapanda bombadia ya anko magu had kia, Baada ya kufika kia nilichukua usafir wa moja kwa moja had arusha, baada ya kufika arusha sikuuamin macho yangu

Kimkoa ni kidogo sana na watu wake hawana uelewa kwa baadh ya mambo ingawa wanajifanya ni watu wanaoish maisha ya kuigiza igiza

Unatembea kilomita tano tiar umemaliza mkoa mzima siyo kama mwanza ambayo inabid utembee zaid ya kilomita 50 ndo umalize mji

Kwa kifup arusha inabebwa na promo haina kitu kabisa

Level za arusha ni iringa na moro na dodoma

Kulinganisha kimkoa cha arusha na jiji kubwa kama mwanza ni kuchuma zambi za bure na ni tiket ya kwenda moton moja kwa moja

Mwanza is the best


NANYUPU
914fe63f4bc12cced2f285fda719cf1b.jpg
 
  • Thanks
Reactions: ywf
HUJAELEWA POINT NA BANDIKO LA JAMAA.
....
Amezungumzia mji/jiji siyo mkoa kwa ujumla.
Alafu kuitwa jina (mfano Ronaldo) siyo 'eti' unakuwa kama yeye, (HAIWEZEKANI)
....
hivo bac kuitwa African Geneva siyo 'eti' ndiyo iwe bora au imekaribia kufanana na Geneva ya UKWELI (HAIWEZEKANI)
...
Kiuhalisia (mtu yeyote) kama umetembea mikoa mingine kuna kitu unaweza kujifunza, WHY?
....
Mkoa wa Arusha sawa una vivutio ILA haupo kimpangilio na mengine ni sawa na haliyoandika kijana wangu Beira Baby Boy
We ndio ujaelewa kasema Arusha kama mkoa ndio ndogo kuliko mwanza.
 
Kimkoa cha Arusha unaelewa maana ya mkoa hayo yote nliyokutajia yapo ndani ya mkoa wa Arusha

Wewe umesema kimkoa cha Arusha ni kidogo au ulikua unaamanisha kimkoa ndo jiji au mji

Hebu soma bandiko lako tena
Kulinganisha kimkoa cha Arusha na jiji wewe mwenyewe unalinganisha kata na tarafa,mtaa na kitongoji.

Mwenyewe haijulikani unataka nini
 
Hivi kasema jiji au Kimkoa unajua mkoa unaundwa na nini kama sio Wilaya unaposema Mkoa unamaanisha na vilivyomo ndani yake

Hebu msome tena kwa umakini

Kimkoa
Soma tittle vizuri halfu soma maelezo yake ya mwanzo,
Ukiahaelewa endelea na vinavyofuata

(KAMA KICHWA CHA HABARI KINAVYOJIELEZA)
Hivi kasema jiji au Kimkoa unajua mkoa unaundwa na nini kama sio Wilaya unaposema Mkoa unamaanisha na vilivyomo ndani yake

Hebu msome tena kwa umakini

Kimkoa
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu

Baada ya kupiga hela za makinikia huku kanda ya ziwa niliamua niende zangu kaskazin nikatulie kidogo huku nikiponda raha, nilikuwa na mtoto mkali sana mrefu mweupe

Safari yangu ilianza nikapanda bombadia ya anko magu had kia, Baada ya kufika kia nilichukua usafir wa moja kwa moja had arusha, baada ya kufika arusha sikuuamin macho yangu

Kimkoa ni kidogo sana na watu wake hawana uelewa kwa baadh ya mambo ingawa wanajifanya ni watu wanaoish maisha ya kuigiza igiza

Unatembea kilomita tano tiar umemaliza mkoa mzima siyo kama mwanza ambayo inabid utembee zaid ya kilomita 50 ndo umalize mji

Kwa kifup arusha inabebwa na promo haina kitu kabisa

Level za arusha ni iringa na moro na dodoma

Kulinganisha kimkoa cha arusha na jiji kubwa kama mwanza ni kuchuma zambi za bure na ni tiket ya kwenda moton moja kwa moja

Mwanza is the best


NANYUPU
83da11416d529709002a123c3ca72e74.jpg
bbf2ea63a52290b49b78cc729c01494b.jpg
40f771fa92a066136b7e50d73449acaa.jpg
 
Back
Top Bottom