Jambo Tz
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 670
- 203
Daladala na boda boda zimejazaaanana daladala Zao fupi kama
Hadi inakera ningeshauri waondoe hizo daladala watumie hata Costa itapendeza zaidi
Daladala na boda boda zimejazaaanana daladala Zao fupi kama
kweli kamji kanatia aibuDaladala na boda boda zimejazaaana
Hadi inakera ningeshauri waondoe hizo daladala watumie hata Costa itapendeza zaidi
Kama ninina daladala Zao fupi kama
mwanza bado sana tuwe wakweliLabda ulitegemea sana ndio maana umeshindwa kufurahi tegemea kawaida tu maisha ni yale yale ila mwanza is always the best
kobeKama nini
Bado sana ukilinganisha na wapi?mwanza bado sana tuwe wakweli
na darBado sana ukilinganisha na wapi?
Maana hadi sasa sioni utakacho kitaka ukakosa kirahisi#kitanzania tanzaniamwanza bado sana tuwe wakweli
Sasa kama ni dar pekee mbona huwezi kusema bado sana maana hata wakazi wa mwanza huwa hatuifananishi na dar japo vingi vilivyoko dar na mwanza vipo labda ukiachilia wingi wa klabu za dar vingine sioni tofauti sanana dar
huwa mnaifananisha sana usikatae..mimi mwanza nimekaa sana na kwa nature ya kazi niliyokuwa nafanya nilitembea sana hakuna kitu huko japo mnajitutumua.Sasa kama ni dar pekee mbona huwezi kusema bado sana maana hata wakazi wa mwanza huwa hatuifananishi na dar japo vingi vilivyoko dar na mwanza vipo labda ukiachilia wingi wa klabu za dar vingine sioni tofauti sana
Hata kiswahili chenyewe kinakupiga chini. Pilitoni maana yake nini? Acha na Ar-town jiji LA mageuzi.Arusha haihitaji kuisoma jografia kujua ni kamji kadogo kama pilitoni
Ok basi hakuna shida kwani ungependa nini kiwepo ili iwe kama unavyotaka?huwa mnaifananisha sana usikatae..mimi mwanza nimekaa sana na kwa nature ya kazi niliyokuwa nafanya nilitembea sana hakuna kitu huko japo mnajitutumua.
Kuna siku nilsafr kutoka arusha to mwanza asee from nzega to shinyanga ile barabara ina mashimo adi nilipasua tairi asee ni hatariNimefika mwanza kwa mara nyingine kwaajili ya mapumziko ni meichagua kutokana na sifa ambayo inayo huko nje nikaona si haba kuja kujipatia hivyo visemavyo
Mji wa mwanza umepooza saaaana hauendani na sifa ambayo unao huko nje, nyumba nyingi rangi zimepauka na wala wamiliki hawana mpango wa kuzikarabati
barabara za mjini zimejaa mashimo tena za mjini haswaaa ninge mshauri mh magu amuamishie Paul Makonda aje mwanza awanyooshe manake wasukuma, wakurya na wajaluo wamefanya mwanza kupooza
Asante japo kiduuuchu nimeweza toa dukuduku langu kooni
Aisee mbona uongo wana? Au unaongelea gari la nnndotoni? Sijawahi kuona kitu kama hicho, barabara ni nzuri sana, labda uongelee kutoka shinyanga kuja mwanza.Kuna siku nilsafr kutoka arusha to mwanza asee from nzega to shinyanga ile barabara ina mashimo adi nilipasua tairi asee ni hatari
N real man kutokea apo kwenye roundabout inayoenda shinyang kahama kabla hujafk Shinyanga mjn hatar nilikutana na bonge moja la shimo left tyres zote zili basti.Aisee mbona uongo wana? Au unaongelea gari la nnndotoni? Sijawahi kuona kitu kama hicho, barabara ni nzuri sana, labda uongelee kutoka shinyanga kuja mwanza.
Pole, kikubwa ulitoka salamaN real man kutokea apo kwenye roundabout inayoenda shinyang kahama kabla hujafk Shinyanga mjn hatar nilikutana na bonge moja la shimo left tyres zote zili basti.