Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Naona hii Changamsha kijiwe tu

Ref Geneva of Afrika ni wapi?

Maajabu ya dunia Ngorongoro Crater

Shifting sand/sand dunes

Nyayo za mtu wa kale.

Arusha National park

Tarangire nationa park

Ngorongoro conservation Area

Hot Springs

Super highway

Umetoka Arusha mjini mpaka Ngorongoro wewe

Umetoka Arusha mjini mpaka Monduli

Umetoka Arusha mjini mpaka kwa Mrombo

Ila wote sisi Watanzania na mwl Nyerere alisema tuwaogope sana watu wanaotaka kutugawa kwa vigezo vya makabila,kimkoa...nk
Hivi uvisemavyo havihusiani na Arusha kuwa jiji viko nje ya mji kabisa
 
Hapo kwenye bold.....Ningeshanga kama hii mada isingeletwa na mnya ziwani...

Arusha, Arusha Baby, Half London of Tz, R moko, Geneva of Afrika inawapa kiwewe sana nyie mnakunya ziwani
Hahaaaaa umepanic kaka ngoja twende pole pole utaelewa tu arusha level zake ni dodoma mkuu
 
Sijamzoea joseverest mwenye povu ,, I guess identity imeihackiwa.
[emoji3] hahaha hamna mkuu...huyu dogo anachosha na fix zake kila kukicha... Sasa wewe kwa mfano ni wapi Arusha unatembea kilometa 5 umeshamaliza mji?? Hili suala linaingia akilini?
 
Kwa kweli Mwanza ipo Juu.

Hizo pesa za madini ya huko ninaamini yatatumika kuendeleza Arusha iwe sehemu ya kuvutia zaidi na watalii waweze kufurahia hata wakipiga picha zao.

Awamu hii itatenda mengi na mtafurahia wananchi.
 
kwa miundo mbinu ya arusha dakika mbili unafika unakotaka smooth, wew na ushamba wako wakisukuma utakuwa ulizungushwa round about za sanawari tu na magorofa mengi hapo mbulula ukaambiwa tumeimaliza arusha ukashangilia kama zuzu
 
Huyu atakuwa alielekea simanjiro na siyo Arusha
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu

Baada ya kupiga hela za makinikia huku kanda ya ziwa niliamua niende zangu kaskazin nikatulie kidogo huku nikiponda raha, nilikuwa na mtoto mkali sana mrefu mweupe

Safari yangu ilianza nikapanda bombadia ya anko magu had kia, Baada ya kufika kia nilichukua usafir wa moja kwa moja had arusha, baada ya kufika arusha sikuuamin macho yangu

Kimkoa ni kidogo sana na watu wake hawana uelewa kwa baadh ya mambo ingawa wanajifanya ni watu wanaoish maisha ya kuigiza igiza

Unatembea kilomita tano tiar umemaliza mkoa mzima siyo kama mwanza ambayo inabid utembee zaid ya kilomita 50 ndo umalize mji

Kwa kifup arusha inabebwa na promo haina kitu kabisa

Level za arusha ni iringa na moro na dodoma

Kulinganisha kimkoa cha arusha na jiji kubwa kama mwanza ni kuchuma zambi za bure na ni tiket ya kwenda moton moja kwa moja

Mwanza is the best


NANYUPU
Mtoa Uzi Unaposema kilometa "TANO"
Kilometa unaijua lakini?
Ina maana mji wa Arusha unaingia mara tatu na theluthi mbili kwa umbali toka wilaya ya HAI(kwa sadala) mpaka wilaya ya MOSHI(moshi mjini).
[emoji28]
 
Huyu boy sijui lini atabalehe? Kila Siku analeta mambo ya kufikirika na uongo uongo!!

Alianzisha uzi kuwaponda watu wa dar leo anawaponda watu wa Arusha..

Yaani we msukuma unawaaibisha wasukuma wenzio!!!

Umekaa kuponda miji ya wenzio Kwan hiyo we mwanza ndio unapaona PA kijanja?
 
Acha zako hizo mji wa Mwz sehemu kubwa imezungukwa na mawe upande mwingine ziwa. Utalinganisha na Ar wewe?

Wewe umekuja kwa usafiri wa lori la ng'ombe kupitia Shinyanga, Meatu kisha Karatu. Ulipomaliza biashara yako ya ng'ombe pale Karatu ukaamua kupumzika pale kwa kuwahofia machalii wa A town. Nasikia hata ulipokuwa unaoga koti lako lenye mihela ya ng'ombe uliingia nalo bafuni. Unajipaka sabuni jicho moja wazi kwenye koti duu Msukuma wee ni shida. Fika A town uone mambo hakuna shombo la samaki kama pale Ngosha Pub wewe.
 
Hizo hela zako chenji maiti zitakuwa zilikufikisha Cheka Ung'twe.

Kama ungekuwa na hela ungekuja na uzi wa kuisifia Arusha.

Tatizo sio wewe, tatizo ni mfuko wako umekuponza.

Pambana na hali yako. Ila ujue hakuna mahali kama Arusha asee. Usifananishe Arusha na vimikoa vyakipuuzi
Sasa niisifie arusha kwa lipi mkuu kimkoa kizima hakuna beach utakuna na mabwawa tu sasa arusha niisifie kwa lip mkuu
 
tuachane na ukubwa au upana, twende kwa tija na biashara..nenda Arusha kuna mitaa inaitwa kariakoo, hiyo tu inabeba biashara za Mwanza mji mzima..alafu tembea tembea ufuatilie madili yaliyoko Arusha mitaa tofauti ndo utajijibu uko Nairobi, Dar, au Arusha..
Mwanza dili ni samaki tu, ukitoka apo uwe machinga na mjasiriamali wa kawaida ila nenda Arusha kama ni mtu wa mishe lazma utoke
 
[emoji817] [emoji818] [emoji818] [emoji818] [emoji818] [emoji818] [emoji818] [emoji818]

Umekaona kastand kao? [emoji51] [emoji51] [emoji51]
Arusha hata mwenyewe nimepashangaa ukilinganisha na hizo kelele zao za kimasai...
Watu wake hovyoo kabisa, hawana hata kaustaarab, ni kimasai masai tuuuuu...
Ingia barabarani sasa, hawana sheria ya barabara na ukienda kwenye mataa hakuna anayejali taa ya Kijani wala nyekundu....
Hiyo barabara mpya walopewa sasa, kwenye zebra ndio sehemu za kuvukia bodaboda na hawana utaratibu wa barabara mbili kwamba hii inakwenda na hii unarudi, no!.. Wao yoyote Ile wanaingia....
Kamji kao ni kadoooogo, ukianzia kwa Mrombo, unaenda huo Ngaramtoni ya juu, sakina, sanawari, sekei, kwa mrefu, tengeru, USA, na urudie Moshono unamalizia mjini Kati yao Ngarenaro kwa dogo janja [emoji16] [emoji16] [emoji16] bhaaassss!.... Hamna kitu babu....!
Umeoma mkuu

Sijui hata walitumia vigezo gan kukaita hako kamkoa et nako ni jiji
 
Back
Top Bottom