Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mkuu wa nchi anatokea ukanda huo na naona inatafutwa excuse ili wakiwa wanapendelewa kwa baadhi ya miradi na huduma tusiulize...

Haiingii akilini Mwanza ilikuwa nyuma ya Arusha kwa ukusanyaji mara 2.3 (yaani mapato ya Mwanza uyazidishe mara 2.3) ndiyo yafikie ya Arusha kwa makusanyo ya mwaka uliopita alafu mwaka huu eti Mwanza imeizidi Arusha.

Labda mjiulize tu hayo makusanyo yamewezaje kuongezeka kwa kasi hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja tu? Kuna nini kipya huko? Au wauza mapanki wamejiandikisha kwa wingi?

Cha pili, mbona hayo mapato yenyewe hatutajiwi ni kiasi gani? Eti vinara alafu hatuambiwi wamekusanya kiasi gani, kingine kwani mwaka wa ukusanyaji mapato umeisha? July kumbe ishafika? Hivi ni kwanini sikuhizi hata TRA hawaweki takwimu za ukusanyaji za kila mwezi kama walivyokuwa wanafanya kipindi cha JK? Kumbe hamuweki ili mje mpike eti Mwanza imekuwa ya pili?

Huyo baba yenu ataendelea kuwabeba lakini wala hatowasaidia bali anawapumbaza tu.. Alilazimisha watu watangaze makusanyo feki kumbe hazina pesa hakuna na sasa analazimisha Mwanza itangazwe ya pili. Alichokosea zaidi huwezi ku sum up Mwanza ya pili wakati kuna April, May na June mapato hayajakusanywa bado..
ila ata akitaka itangazwe ya pili....umuhimu wake ni nini hasa
 
Mkuu wa nchi anatokea ukanda huo na naona inatafutwa excuse ili wakiwa wanapendelewa kwa baadhi ya miradi na huduma tusiulize...

Haiingii akilini Mwanza ilikuwa nyuma ya Arusha kwa ukusanyaji mara 2.3 (yaani mapato ya Mwanza uyazidishe mara 2.3) ndiyo yafikie ya Arusha kwa makusanyo ya mwaka uliopita alafu mwaka huu eti Mwanza imeizidi Arusha.

Labda mjiulize tu hayo makusanyo yamewezaje kuongezeka kwa kasi hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja tu? Kuna nini kipya huko? Au wauza mapanki wamejiandikisha kwa wingi?

Cha pili, mbona hayo mapato yenyewe hatutajiwi ni kiasi gani? Eti vinara alafu hatuambiwi wamekusanya kiasi gani, kingine kwani mwaka wa ukusanyaji mapato umeisha? July kumbe ishafika? Hivi ni kwanini sikuhizi hata TRA hawaweki takwimu za ukusanyaji za kila mwezi kama walivyokuwa wanafanya kipindi cha JK? Kumbe hamuweki ili mje mpike eti Mwanza imekuwa ya pili?

Huyo baba yenu ataendelea kuwabeba lakini wala hatowasaidia bali anawapumbaza tu.. Alilazimisha watu watangaze makusanyo feki kumbe hazina pesa hakuna na sasa analazimisha Mwanza itangazwe ya pili. Alichokosea zaidi huwezi ku sum up Mwanza ya pili wakati kuna April, May na June mapato hayajakusanywa bado..

Mbona povu sana.....nyie ndo mlikuwa mnatoka fake data....ili mjiletee miradi huko.....
 
Sijaziona hizo takwimu za TRA ila kwa upande wa Local Government, Takwimu siku zote Mwanza ipo juu...
Mkuu sijui kama una uelewa wowote kwenye masuala ya ukusanyaji mapato..

Local Government vyanzo vyake vya mapato ni tofauti tofauti na ni vigumu kucompare vyanzo vya local government then useme sehemu fulani hali ya uchumi/biashara iko juu..

Nikupe mfano mdogo tu, population ya Mwanza ni kubwa kuliko Arusha na malipo mfano ya leseni za biashara ni fixed kwa kila manispaa/jiji. Kwahiyo Arusha yaweza kuwa na biashara 3 zinazolipa 150,000/- kwa Jiji jumla ya kiasi cha 450,000/- na Mwanza ikawa na biashara 10 zinazolipa 150,000/- kwa Jiji jumla ya 1,500,000/- lakini biashara hizo 3 za Arusha zikalipa kodi TRA kiasi cha Billion 1 wakati biashara 10 za Mwanza zikalipa Million 500. Hiyo ndiyo tofauti iliyopo..

Mwanza kwa population yake kuwa kubwa sishangai kama inaizidi Arusha kwenye makusanyo ya Local Government..
 
Mbona povu sana.....nyie ndo mlikuwa mnatoka fake data....ili mjiletee miradi huko.....
Ebu nieletee basi wewe data sio maneno maneno...

Mwanza imekusanya kiasi gani na Arusha wamekusanya kiasi gani?

Yaani huu ujinga mnaoshabikia na sawa na timu kujitangazia ushindi wakati ndio kwanza wako dakika za 60.. Tena ushindi wenyewe ni kamisaa anayeipenda timu mojawapo kuamuru refa apulize filimbi na atangaze mshindi..
 
Wewe mtoa mada inaonekana umeingia leo mwanza yaani mwanza ya miaka ile 2002 ulinganishe na mwanza ya 2016 acha utani mwanza imepiga hatua sana ninachokushauri nenda kwenu kigoma mkajenge dubai mliyoahidiwa na jk mwanza yetu tuachie wenyewe
Safi mkuu
 
*****
acha wivu / wivu ukizidi hugeuka uchawi.
Arusha ikiongeza bidii kidogo yaweza kuwa kama NAIROBI.
N.B.
USHINDANI NI KITU CHEMA KATI YA MIJI NA MIJI MAANA HATIMAYE MALENGO HUFIKIWA.
BIGUP A-TOWN.
Sio kwa mahaba hayo mkuu naishi arusha,, arusha pakawaida sana,,,daladala mwisho saa tatu ndo unaweza ita jiji??
 
Arusha ndo home lakini bado sana kwa mwanza,
eneo la ukubwa wa mji ni mdogo sana,
Na hata hako kaeneo kadogo bado vijumba vidogo vidogo vya uswahilini vimejaa mno.
Jiji gani halina double road?
Arusha ingekuwa sawa na Mwanza endapo eneo la mji lingeanzia kimandolu mpaka kisongo na kote kuwe na maghorofa na miundombinu ya uhakika na hapo ni kwa urefu na kwa upana utoke ngaramtoni hadi kwa mrombo na njiro.
Ukuaji wa Arusha umedumaa sana.
Uko sahihi mkuu angalau jwa mrefu kimandolu bado padogo
 
Sio kwa mahaba hayo mkuu naishi arusha,, arusha pakawaida sana,,,daladala mwisho saa tatu ndo unaweza ita jiji??
Kuna tuma jenge Tuchache tunawafanya wajione Jiji
Wajaribu kuitembelea Mwanza
 
Sijaziona hizo takwimu za TRA ila kwa upande wa Local Government, Takwimu siku zote Mwanza ipo juu...
TRA.png

Chanzo: Ripoti ya TRA 2016/17 kwa robo mbili za mwanzo.

The wonders of Mtwara ni kwamba mwezi Novemba na Desemba 2016 idara ya forodha imekusanya sana, nadhani ni kupitia bandari maana Dangote alishusha magari 600 mwezi Desemba, na kabla ya hapo alipitisha pia makaa ya mawe. Upelekaji wa korosho ghafi nje ya nchi umechangia kwa kuwa shughuli huwa inaanza Oktoba. Kama utakumbuka kuwa Waziri Mkuu aliamrisha korosho kusafirishwa kwa bandari ya Mtwara pekee. Kwa miezi miwili tu wamekusanya milioni 68,208.69. Pia kuna idara ya Walipakodi Wakubwa (LTD) imekusanya milioni 2,756,417. Wengi wao wapo DSM, kwa hiyo ukipenda hiyo figure ijumlishe kwa DSM.

NB: Ni muhimu kuangalia na mapato mengine zaidi ya kodi.
 
Back
Top Bottom