Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Hizi picha wenzako walishazi-post sana page za nyuma ila wakaangukia pua...Sijui kwann unarudia matapishi ya wenzako .

Kwa Skyscraper Mwanza mtasubiri sana kwa Arusha.....
Kwa skyscraper, mwanza ipo juu kiongozi sema project ya NHC ikikamillika itaongeza value kwa arusha. Ila kwa wakati huu hata kesho bado mwanza itabaki kuwa juu labda baadaye sana.
 
Nipo na watu wa arusha apa wamekuja kufanya biashara mwanza , kila nae piga nae story naskia "isee mwanza ni jiji Arusha amna kitu chalii angu kwann sjui skuja mapema ,kule ni wizi tu chalii angu mji wenyewe mdogo kinyama yan we acha tu "
 
Ukubwa Wa Jiji Unapimwa Kwa Population, Mapato, Miundo Mbimu Na Ukubwa Wa Eneo. Nyie Mnaobishana Mtupe Maelezo Ya Hivi Karibuni Kutoka Vyanzo Vya Kueleweka
 
17191404_1370905792960846_3388946099668754369_n.jpg


17191353_1370769022974523_3734690908964012342_n.jpg


Naona safari city imebuma....NHC wametilia shaka uwezo wa watu wa Arusha kuparchase nyumba, sasa ni mwendo wa nyumba za bei nafuu Otorong'ong'o uko wapi
 
Nimeona anasema imekuwa ya pili nyuma ya Dar es salaam...
Mwanza yapongezwa kukusanya kodi kwa wingi
FisadiKuu , Mkuu wa chuo, Chong chung, Mchomi Jr, Jason
Mkuu wa nchi anatokea ukanda huo na naona inatafutwa excuse ili wakiwa wanapendelewa kwa baadhi ya miradi na huduma tusiulize...

Haiingii akilini Mwanza ilikuwa nyuma ya Arusha kwa ukusanyaji mara 2.3 (yaani mapato ya Mwanza uyazidishe mara 2.3) ndiyo yafikie ya Arusha kwa makusanyo ya mwaka uliopita alafu mwaka huu eti Mwanza imeizidi Arusha.

Labda mjiulize tu hayo makusanyo yamewezaje kuongezeka kwa kasi hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja tu? Kuna nini kipya huko? Au wauza mapanki wamejiandikisha kwa wingi?

Cha pili, mbona hayo mapato yenyewe hatutajiwi ni kiasi gani? Eti vinara alafu hatuambiwi wamekusanya kiasi gani, kingine kwani mwaka wa ukusanyaji mapato umeisha? July kumbe ishafika? Hivi ni kwanini sikuhizi hata TRA hawaweki takwimu za ukusanyaji za kila mwezi kama walivyokuwa wanafanya kipindi cha JK? Kumbe hamuweki ili mje mpike eti Mwanza imekuwa ya pili?

Huyo baba yenu ataendelea kuwabeba lakini wala hatowasaidia bali anawapumbaza tu.. Alilazimisha watu watangaze makusanyo feki kumbe hazina pesa hakuna na sasa analazimisha Mwanza itangazwe ya pili. Alichokosea zaidi huwezi ku sum up Mwanza ya pili wakati kuna April, May na June mapato hayajakusanywa bado..
 
17191404_1370905792960846_3388946099668754369_n.jpg


17191353_1370769022974523_3734690908964012342_n.jpg


Naona safari city imebuma....NHC wametilia shaka uwezo wa watu wa Arusha kuparchase nyumba, sasa ni mwendo wa nyumba za bei nafuu Otorong'ong'o uko wapi
Bahati nzuri walisema kutakuwa na nyumba za hali ya juu, kati na chini... Kitu kizuri ni kwamba mradi umeanza wakati nyie mlipiga kelele hakutajengwa kitu.. Sasa hii ni aibu yenu..
 
Bahati nzuri walisema kutakuwa na nyumba za hali ya juu, kati na chini... Kitu kizuri ni kwamba mradi umeanza wakati nyie mlipiga kelele hakutajengwa kitu.. Sasa hii ni aibu yenu..
Hii kali
ila huo mradi nikama umebuma
mpaka sasa nyumba 8!!
kwa Magu jana kazindua Mojengo 20 tena ya maana miezi chini ya 8!!
 
Mkuu wa nchi anatokea ukanda huo na naona inatafutwa excuse ili wakiwa wanapendelewa kwa baadhi ya miradi na huduma tusiulize...

Haiingii akilini Mwanza ilikuwa nyuma ya Arusha kwa ukusanyaji mara 2.3 (yaani mapato ya Mwanza uyazidishe mara 2.3) ndiyo yafikie ya Arusha kwa makusanyo ya mwaka uliopita alafu mwaka huu eti Mwanza imeizidi Arusha.

Labda mjiulize tu hayo makusanyo yamewezaje kuongezeka kwa kasi hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja tu? Kuna nini kipya huko? Au wauza mapanki wamejiandikisha kwa wingi?

Cha pili, mbona hayo mapato yenyewe hatutajiwi ni kiasi gani? Eti vinara alafu hatuambiwi wamekusanya kiasi gani, kingine kwani mwaka wa ukusanyaji mapato umeisha? July kumbe ishafika? Hivi ni kwanini sikuhizi hata TRA hawaweki takwimu za ukusanyaji za kila mwezi kama walivyokuwa wanafanya kipindi cha JK? Kumbe hamuweki ili mje mpike eti Mwanza imekuwa ya pili?

Huyo baba yenu ataendelea kuwabeba lakini wala hatowasaidia bali anawapumbaza tu.. Alilazimisha watu watangaze makusanyo feki kumbe hazina pesa hakuna na sasa analazimisha Mwanza itangazwe ya pili. Alichokosea zaidi huwezi ku sum up Mwanza ya pili wakati kuna April, May na June mapato hayajakusanywa bado..
Arusha hakuna kitu ni kijijini
 
Mkuu wa nchi anatokea ukanda huo na naona inatafutwa excuse ili wakiwa wanapendelewa kwa baadhi ya miradi na huduma tusiulize...

Haiingii akilini Mwanza ilikuwa nyuma ya Arusha kwa ukusanyaji mara 2.3 (yaani mapato ya Mwanza uyazidishe mara 2.3) ndiyo yafikie ya Arusha kwa makusanyo ya mwaka uliopita alafu mwaka huu eti Mwanza imeizidi Arusha.

Labda mjiulize tu hayo makusanyo yamewezaje kuongezeka kwa kasi hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja tu? Kuna nini kipya huko? Au wauza mapanki wamejiandikisha kwa wingi?

Cha pili, mbona hayo mapato yenyewe hatutajiwi ni kiasi gani? Eti vinara alafu hatuambiwi wamekusanya kiasi gani, kingine kwani mwaka wa ukusanyaji mapato umeisha? July kumbe ishafika? Hivi ni kwanini sikuhizi hata TRA hawaweki takwimu za ukusanyaji za kila mwezi kama walivyokuwa wanafanya kipindi cha JK? Kumbe hamuweki ili mje mpike eti Mwanza imekuwa ya pili?

Huyo baba yenu ataendelea kuwabeba lakini wala hatowasaidia bali anawapumbaza tu.. Alilazimisha watu watangaze makusanyo feki kumbe hazina pesa hakuna na sasa analazimisha Mwanza itangazwe ya pili. Alichokosea zaidi huwezi ku sum up Mwanza ya pili wakati kuna April, May na June mapato hayajakusanywa bado..
Sijaziona hizo takwimu za TRA ila kwa upande wa Local Government, Takwimu siku zote Mwanza ipo juu...
 
Back
Top Bottom