chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,692
- 45,963
Hahaha kama kawaida yao wanazani huku ni mabatiniHappy Easter.......Napitia comment naona mmeanza kuharisha
Hahaha kama kawaida yao wanazani huku ni mabatiniHappy Easter.......Napitia comment naona mmeanza kuharisha
arsenal chama kubwa lile,ngoja tumalize mgomo wa kumforce yule mzee aondoke then turudi kwenye tabia yetu ya ushindi
Hahaha kama kawaida yao wanazani huku ni mabatini
Elewa kwanza kabla ya.....
Unorganized Homes za unga limited ni Sawa na nyumba za kapri point na bwiruila pale unga kuna slums hatarii...usiponyanyua kichwa kuangalia juu walau uone vighorofa vya PPF, Unaweza kudhani upo mahali fulani umasaini
hahahah,,,,nakusubiri kwa hamu sana next month pale emirates na ww nikupe kichapo.Ha ha haa...raha sana..sa hvi nimemaliza kumwadhibu yule mbuzi wa blue...
Alafu we chongchung Acha kulinganisha uchafu wa unga limited na makazi ya watu wazito....Unorganized Homes za unga limited ni Sawa na nyumba za kapri point na bwiru
Leta valid information sio mazungumzo ya magazetini tunataka confidential TRA chart report sio sogaMwanza yapongezwa kukusanya kodi kwa wingi
Kuchapa
![]()
Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa TRA, Richard Kayombo
0 Comments
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeupongeza Mkoa wa Mwanza kwa kuwa moja ya vinara wa ukusanyaji wa mapato nchini, kwani takwimu zilizopo zinaonesha kwamba Mwanza ni ya pili nyuma ya Dar es Salaam.
Pongezi hizo zimetolewa kwenye Jukwaa la Biashara na Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa TRA, Richard Kayombo.
Pamoja na pongezi hizo, Kayombo alisistiza umuhimu wa wafanyabiashara kulipa kodi kwani ndio msingi wa serikali kutoa huduma bora kwa wananchi.
Kayombo amewatadharisha wafanyabiashara nchini kuepuka vishoka wanaodai fedha kwa ajili ya kupewa namba ya mlipakodi (TIN).
“Mamlaka yetu yanatoa TIN bure kabisa. Kumekuwa na tatizo la vishoka wanadai pesa kwa wateja wetu ili wapate TIN kwa haraka jambo ambalo ni kinyume na maadili,’’ alisema Kayombo.
Meneja wa Mamlaka ya Elimu (TRA), Diana Masala amewaomba wadau mbalimbali wajitahidi kuwafichua watu wasiolipa kodi ili wachukuliwe hatua za kisheria.
Masala alisema TRA itaendelea kutoa elimu kuhusiana na masuala ya kodi kwa majukwaa kama la Mwanza ili wananchi wapate elimu sahihi juu ya kodi.
“Natoa tahadhari kwa wafanyabiashara wote wanaotumia vibaya mashine za kielektroniki (EFD) kwa kughushi risiti za mashine hizo, tutwachukulia hatua za kisheria,” alisema Masala.
Halikadhalika aliwataka wote wanaouza vyombo vya moto kuhakikisha wanabadilisha umiliki wa vyombo hivyo ili kuepuka tatizo la kuendelea kudaiwa wao kodi kodi.
Mwanza yapongezwa kukusanya kodi kwa wingi
Watu wa chuga makabrasha yenu yanaonyesha Mwanza imezidiwa na iringa, inabidi muyaelewe kwanza kabla ya kuanza kushout, mpaka sasa Mwanza ipo only Behind DSM...
Ndio maana nilishangaa.. Mwaka jana tuliwapita kwa 2.3 na mwaka huu naona mpaka December 2016 tumewapiga kwa 3 times.. Hizi data wanazipika sababu labda yule aliyeka magogoni amewaambia kufanya hivyo.View attachment 496974 haya nitafsirie hii report ya TRA Mtwara wameshawapita Arusha tumewapita almost 3 times yet mnajilinganisha na sisi
Ndio maana nilishangaa.. Mwaka jana tuliwapita kwa 2.3 na mwaka huu naona mpaka December 2016 tumewapiga kwa 3 times.. Hizi data wanazipika sababu labda yule aliyeka magogoni amewaambia kufanya hivyo.
Haiwezekani useme eti wamevunja record wakati hata hayo makusanyo huyatangazi.. Hawa watu ni wa ajabu ajabu kweli..
Mkuu kwenye vyanzo vya Jiji/Manispaa siwezi kubisha huko sababu kila Manispaa ina vyake.. Ila kwa makusanyo makubwa kama ya TRA Mwanza haiwezi kuizidi Arusha hata kidogo pamoja na jitihada zao za kutaka kuhamisha TANAPA kuipeleka Serengeti ni chuki binafsi tu za hao walioko magogoni wakidhani wakihamisha wataikomoa Arusha, wakati almost 99% ya Tours Company ziko Arusha na Moshi..View attachment 497098 View attachment 497099
Kutoka TRA
Inawezekana wana vyanzo vingi vya mapato zaidi ya kodi. Zikipatikana data za halmashauri!
Tafuta thread moja humu inaitwa Arusha ndo ujue unaongelea nini. Sio kuleta ubashite hapaKwani kuna lipi Arusha
Mpaka kuidharau Mwanza!?
Arusha hakuna lolote mji wenyewe kilometa 1 za mraba
Mwanza level nyingine bwana
Aha, classmate wa bashite..! Hebu tuambie ilikuwaje akapata zero, na wewe ulipata zero ukafoji vyeti??Hehehe haya mkuu
Ila umepanic tu
Mie Mwanza ndio Nyumbani kwasasa
Kigoma ni Nyumbani kwa Asili
Baba na mama yangu walihamia Mwanza mie na miaka 7
Kwa msuka ndio home
Hivyo naijua Mwanza sana
Nimesomea Pamba
Kasi iliokuwapo 2002-2010. Haipo sasa
Mwanza imedoda
Piliton ndio nini?Arusha haihitaji kuisoma jografia kujua ni kamji kadogo kama pilitoni