Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mkuu sijui kama una uelewa wowote kwenye masuala ya ukusanyaji mapato..

Local Government vyanzo vyake vya mapato ni tofauti tofauti na ni vigumu kucompare vyanzo vya local government then useme sehemu fulani hali ya uchumi/biashara iko juu..

Nikupe mfano mdogo tu, population ya Mwanza ni kubwa kuliko Arusha na malipo mfano ya leseni za biashara ni fixed kwa kila manispaa/jiji. Kwahiyo Arusha yaweza kuwa na biashara 3 zinazolipa 150,000/- kwa Jiji jumla ya kiasi cha 450,000/- na Mwanza ikawa na biashara 10 zinazolipa 150,000/- kwa Jiji jumla ya 1,500,000/- lakini biashara hizo 3 za Arusha zikalipa kodi TRA kiasi cha Billion 1 wakati biashara 10 za Mwanza zikalipa Million 500. Hiyo ndiyo tofauti iliyopo..

Mwanza kwa population yake kuwa kubwa sishangai kama inaizidi Arusha kwenye makusanyo ya Local Government..
Ila wewe mtu ki ng'ang'anizi
 
KW vigezo VIP ulivyotumia? Mwanza ni jiji LA tatu kW ukuaji Africa sasa sjui wewe unazungumzia ukuaj upi
 
Nikiiangalia Mwanza ya mwaka 2001 na sasa 2017 jiji hili limekuwa kwa kiasi kikubwa mno na hauwezi kufananisha na Arusha hata kidogo... mtoa mada waliokuzingua ni watalii wazungu tu hakuna kingine, pole sana na karibu ROCK CITY...
 
Ebu nieletee basi wewe data sio maneno maneno...

Mwanza imekusanya kiasi gani na Arusha wamekusanya kiasi gani?

Yaani huu ujinga mnaoshabikia na sawa na timu kujitangazia ushindi wakati ndio kwanza wako dakika za 60.. Tena ushindi wenyewe ni kamisaa anayeipenda timu mojawapo kuamuru refa apulize filimbi na atangaze mshindi..
Ebu nieletee basi wewe data sio maneno maneno...

Mwanza imekusanya kiasi gani na Arusha wamekusanya kiasi gani?

Yaani huu ujinga mnaoshabikia na sawa na timu kujitangazia ushindi wakati ndio kwanza wako dakika za 60.. Tena ushindi wenyewe ni kamisaa anayeipenda timu mojawapo kuamuru refa apulize filimbi na atangaze mshindi..

Mbna mkuu kama unataka kulia..okey let us wait for da stopage time..Mwisho wa msimu huo unakarbia, mi sina haja ya kuleta data cse aliyeropoka kule mwanza yatosha make yupo huko TRA...kama vip wewe kavute tena hayo makabrasha ya kichaga mnayodesign ili muonekane mko juu...huko TRA si ndo nyie mlikuwa mmerundikana
 
17191404_1370905792960846_3388946099668754369_n.jpg


17191353_1370769022974523_3734690908964012342_n.jpg


Naona safari city imebuma....NHC wametilia shaka uwezo wa watu wa Arusha kuparchase nyumba, sasa ni mwendo wa nyumba za bei nafuu Otorong'ong'o uko wapi
Satellite cities consume homes for each class and economy kuanzia higher to lower income wanapata satisfaction.
 
View attachment 496896
Chanzo: Ripoti ya TRA 2016/17 kwa robo mbili za mwanzo.

The wonders of Mtwara ni kwamba mwezi Novemba na Desemba 2016 idara ya forodha imekusanya sana, nadhani ni kupitia bandari maana Dangote alishusha magari 600 mwezi Desemba, na kabla ya hapo alipitisha pia makaa ya mawe. Upelekaji wa korosho ghafi nje ya nchi umechangia kwa kuwa shughuli huwa inaanza Oktoba. Kama utakumbuka kuwa Waziri Mkuu aliamrisha korosho kusafirishwa kwa bandari ya Mtwara pekee. Kwa miezi miwili tu wamekusanya milioni 68,208.69. Pia kuna idara ya Walipakodi Wakubwa (LTD) imekusanya milioni 2,756,417. Wengi wao wapo DSM, kwa hiyo ukipenda hiyo figure ijumlishe kwa DSM.

NB: Ni muhimu kuangalia na mapato mengine zaidi ya kodi.
Aibuuu Aibuuu uwii
 
Dah mkuu hali ya mwanza kimapato ni ngumu sana Arusha tumewapita mara 3 alafu bado wanajilinganisha na sisi
me nilishawaambia washindane na arusha kwa issue ya population tu mambo mengine waache maana wanajitia aibu tu.
 
Back
Top Bottom