Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Inawezekana kwa sasa wanapiga picha lakini tayari ni kichocheo kikubwa cha biashara/uchumi
Kichocheo gani..? PSPF wameingia hasara kubwa kupeleka mradi mkubwa wa Mall Mwanza...Mwanza hamna Shoppers...Watu hawajui maana ya kufanya Shopping.....

Nimetoka juzi hapo nikakuta jengo zima ni wapangaji wa tatu tu...Ilikuwa jimamosi lakini hakuna watu ndani ya mall...Kumebaki pakiwa na sehemu ambayo watu wanaenda kupiga picha tuu...

Hivi unaweza fananisha Nakumatt ya Arusha na upuuzi wa hiyo Mall.
?
 
Kichocheo gani..? PSPF wameingia hasara kubwa kupeleka mradi mkubwa wa Mall Mwanza...Mwanza hamna Shoppers...Watu hawajui maana ya kufanya Shopping.....

Nimetoka juzi hapo nikakuta jengo zima ni wapangaji wa tatu tu...Ilikuwa jimamosi lakini hakuna watu ndani ya mall...Kumebaki pakiwa na sehemu ambayo watu wanaenda kupiga picha tuu...

Hivi unaweza fananisha Nakumatt ya Arusha na upuuzi wa hiyo Mall.
?
Mosi, siwezi kufananisha Nakumat ya Arusha/TFA na Mall ya Mwanza kwa kuwa zina hadhi tofauti. Moja ni mall na kubwa nyingine ni supermarket na ndogo.
Pili, Huo mradi wa mall Mwanza tayari ni faida kwa mji wa kibiashara kama Mwanza, utaendelea kuwepo na wafanyabiashara wengi tu ndani na nje ya nchi watahamasika kufungua biashara zao pale.
Ni mapema mno kuzungumzia hasara kwa Pspf kwani jengo lenyewe halina muda mrefu.
Wafanyabiashara kuingia pale ni suala la muda tu.
Tatu, matajiri wa Mwanza ni wengi tofauti na Arusha ambako mtu mmoja anaweza akawa anamiliki maghorofa yote ya mji
 
Hii thread umeidandia kwa mbele...Kaangalie mangosha wenzako tulivyowakimbiza..

Anza page ya kwanza uone Arusha kuna nini..
Kwani arusha kuna nini, tatizo mnatumia nguvu nyingi sana kuinadi arusha mpaka mnajamba ila ukweli unabaki pale pale kuwa mwanza is ahead of arusha.
 
Usitoe hongera leo mkuu. Arusha kuna malls 3 zinafanya kazi. TFA Mall ndo kubwa na ya zamani sn tangu 2002. Kisha kuna Njiro Mall tangu 2007 na kuna Sable Square Mall tangu 2013.

Hiyo uloona video ni ya 4 na ni kubwa usawa wa TFA Mall au pungufu kidogo.

Mwanza ndo kwanza mwaka jana wamepata moja na inasuasua. Labda its too big for them na maushambaushamba yao. Jiji kubwa ila washamba hadi aibu
Bora wewe umesema jiji kubwa ila hizo pumba zingine haziendani na theories of economy.
 
images(5).jpg
 
Back
Top Bottom