spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,226
Hujanijibu bado kwamba which is the simplest route kuunganisha majiji ya afrika mashariki kutoka kampala nairobi mpaka dar es salaam?. badala yake umekuja na kilometres wakati mimi sihitaji kilomita nahitaji real facts.
tunaposema centre au kiungo unaelewa mkuu? yani ni kua kati kati na kuweza kulink a b na c. sasa kutoka tu dar kuja mwanza kwa usafiri wa barabara ni zaidi ya kutoka dar kuja nairobi kupitia arusha. so automatically mwanza haiwezi kulink dar na nairobi and kampala.
Kwa mfano basi linalotoka dar asubuhi kwenda nairobi then kampala ni route ipi litapita ili liwahi kufika nairobi then kampala?
ROUTE YA ARUSHA AU ROUTE YA MWANZA? JIBU MIHEMKO HIYO
Dar arusha nairobi kampala ni ndefu kuliko dar mwanza kampala
Route ya mwanza inapunguza usumbufu wa mipakani maana utahtaji border moja moja tu kuliko kupita namanga na malaba