mchome jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 599
- 748
Km yapi ambayo yapo mwanza halafu arusha hayapo ukiondoa pupulation...Mahotel sio kigezo chakuikuza Arusha
Jiji lina mambo mengi bwana
Km yapi ambayo yapo mwanza halafu arusha hayapo ukiondoa pupulation...Mahotel sio kigezo chakuikuza Arusha
Jiji lina mambo mengi bwana
Kwani kuna lipi Arusha
Mpaka kuidharau Mwanza!?
Arusha hakuna lolote mji wenyewe kilometa 1 za mraba
Mwanza level nyingine bwana
Kwa lipi huyo mlopokaji
Hapa Arusha hamna Mall yoyote..ni visupermarket vya wahindi tu...Bora hata Moshi ina Nakumatt alianzia kule kabla hajaja hapa.
Wewe nawe ni ubuyu nn? Tunaongelea jiji au mbuga za wanyama?Arusha ipi hiyo. Kumbe huijiu arusha karibu nikutembeze hiyo nakummat ya mosh inamilikiwa na wachaga kumbe . Karibu arusha nikutembeze tarangire, manyara, na arusha national park
Wewe utakua mwanza huijui.Hayo madharau waambie wenzo wa mwanza kwa kuwa na mji kmeo wala co jj unathubutu kuilinganisha jj la a town na hicho k mji cha mwanza
Kwenye suala la njiro ni mtaa wa kawaida tu ukilinganisha na buswelu,msiseme Njiro PPF pale ni Olorieni na si Njiro(Engutoto).Acheni kuifananisha Mwanza na upuuzi,Arusha bado ni Manispaa tu...hakuna cha maana japo taasisi kubwa za kiserikali Kama TANAPA,TAEC,AICC zina makao Makuu...ila Mwanza inajengwa na wanamwanza wenyewe...Kutoka Igoma mpaka Buhongwa ni Route ndeefu ila.bado uko ndani ya jiji na hamna uswahili...Mwanza ni kubwa imepanuka na huduma kubwa kubwa za kibiashara na si Arusha...
Niko Arusha mwaka wa Sita sasa ila nikifika Mwanza najisikia raha...hasa nikiwa Kenyatta road kuelekea Airport ukiona mwambao wa Victoria ni Raha hasa...Huku Arusha ni viroba na bangi tu...sehem ambayo iko vzuri ndo inaendelea kwa sasa ni Njiro,tena Mwisho ni hapa Njiro kwa Msola...ila maeneo mangi ni uswahili afu kamji ni kadogo mno.
Mwanza ndo jiji la pili kwa ukubwa,wingi wa watu na kiuchumi...Jamani mnapoandika vitu mfikrie vzuri.MWANZA ipo Top five ya majiji Afrika Mashariki..na si Manispaa ya Arusha
Sasa hizo picha za yamaha,subway,Lamborghini na wazungu za nini?Hiyo ni mall ya kawaida tu.Nilijua tu utakuja kwenye mall maana hicho ndo sasahivi mwanza kimekuwa gumzo...ile mall ni nzuri kwa kweli...ila arusha kuna hii ambayo soon inafunguliwa..View attachment 346939View attachment 346940View attachment 346941View attachment 346942View attachment 346943View attachment 346944View attachment 346945View attachment 346946View attachment 346947
Picha zinaonyesha jinsi mall itakavokua....na sijaziweka ili kuleta comparison na mall ya mwanza nimeweka kuonyesha kuwa arusha kuna mall ya kisasa ambayo ipo kwenye ujenziSasa hizo picha za yamaha,subway,Lamborghini na wazungu za nini?Hiyo ni mall ya kawaida tu.
Mwanza na arusha wapi majengo makubwa yanajengwa kwa kasi at the moment...ukiacha yakiyokuepo?Mwanza unapanuka kwa kasi sana,na majengo marefu yanajengwa
Hizo picha ni wapi mkuu yaani kitongoji gani hapa jijini arusha.Km yapi ambayo yapo mwanza halafu arusha hayapo ukiondoa pupulation...
Majengo.....karibu na cultural heritage upande wa kushotoHizo picha ni wapi mkuu yaani kitongoji gani hapa jijini arusha.
Poa parking ipo manake hapo napo pana hekaheka anyway inavoonekana itakuwa pouwa sana watu wanajiongeza wazee wa mererani,wahindi au?Majengo.....karibu na cultural heritage upande wa kushoto
Bado sijajua mmiliki ni nani ila kuna tetesi kwamba ni watoto wa nyumbani...parking ipo ya kutosha.Poa parking ipo manake hapo napo pana hekaheka anyway inavoonekana itakuwa pouwa sana watu wanajiongeza wazee wa mererani,wahindi au?