Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Techocrats wa Mwanza wajitahidi kuwa wabunifu,kuna eneo kuanzia usagara to kigongo/Busisi bado halijavamiwa na squatters wangelipanga vizuri kuwa mji wa kisasa wa watu wa tabaka la kati na juu,wajenge mahotels,taasisi za elimu etc ingependeza,pia kuanzia ukiriguru hadi usagara round about na along usagara-kisesa bypass.Wakiyapangilia hayo maeneo mapema mji wao utapendeza na kuwa wa kisasa,kushindana na mji wa pili kuwa na viwanda vingi Tzn in terms of kipato sio rahisi
 
Mbna tangu enz za mwalimu arusha inapewa promo sana...but mwanza ina move with in.....kila kilichopo arusha mwanza kipo (japo si kwa usawa) ila si kila kitu kilichopo mwanza na arusha kipo
Mji wowote duniani mala nyingi kama ni City na likawa kando ya maji hua ni kitu ingine huwezi linganisha na mji ulio katikati ya nchi au pembeni pasipo na Ziwa au bahari,Mwanza ni bab kubwa
 
Sawa wakuu Mwanza kuna kila kitu lakini na umaskini pia upo, Arusha hakuna kila kitu ila kuna PESA, sasa Mwanza tafuteni pesa.
Nani alikwambia Mwanza hakuna pesa?ni kwamba,watu wa Mwanza wenye pesa hakuna mwenye majigambo ya kutaka kujulikana bar au kuandikwa gazetini,wala huwezi kuwakuta mitaani eti wanalewa ovyo au wanapokonya wake za watu,Arusha mtu ana ka milion mia1 tu anatembea na gari muungulumo kama radi,anabeba wake za watu na masilaha kiunoni,majigambo yasiyo na faida.
 
Techocrats wa Mwanza wajitahidi kuwa wabunifu,kuna eneo kuanzia usagara to kigongo/Busisi bado halijavamiwa na squatters wangelipanga vizuri kuwa mji wa kisasa wa watu wa tabaka la kati na juu,wajenge mahotels,taasisi za elimu etc ingependeza,pia kuanzia ukiriguru hadi usagara round about na along usagara-kisesa bypass.Wakiyapangilia hayo maeneo mapema mji wao utapendeza na kuwa wa kisasa,kushindana na mji wa pili kuwa na viwanda vingi Tzn in terms of kipato sio rahisi

Hakuna cha kupanga wala nini..mwanza inaenda yenyewe...Arusha imepewa promo sana na serikali tangu zamani hata sasa lakini bado mnasuguana na Mwanza ambayo hakuna project yoyote ya maana kutoka serikalini...!!! Kama Mwanza ingepewa promo kama zilizopo Arusha...Mwanza ingekula sahani moja na dsm
 
Hakuna cha kupanga wala nini..mwanza inaenda yenyewe...Arusha imepewa promo sana na serikali tangu zamani hata sasa lakini bado mnasuguana na Mwanza ambayo hakuna project yoyote ya maana kutoka serikalini...!!! Kama Mwanza ingepewa promo kama zilizopo Arusha...Mwanza ingekula sahani moja na dsm
arusha haipigwi promo bali jiografia yake ndo inaifanya serikali kuikumbatia kwani inaiongezea mapato. mfano ina mbuga kuu za wanyama zinazoitangaza tanzania...nazo ni ngorongoro...serengeti...manyara. pili ndio mji kiungo wa africa mashariki. inaunga kenya uganda na tanzania ndio maana AICC. EAC zimejengwa huko usifikiri walijenga kwa upendeleo kijiografia hio ilikua ni lazima. inaunga majiji makubwa ya kampala dar na narobi. upo hapo?
 
arusha haipigwi promo bali jiografia yake ndo inaifanya serikali kuikumbatia kwani inaiongezea mapato. mfano ina mbuga kuu za wanyama zinazoitangaza tanzania...nazo ni ngorongoro...serengeti...manyara. pili ndio mji kiungo wa africa mashariki. inaunga kenya uganda na tanzania ndio maana AICC. EAC zimejengwa huko usifikiri walijenga kwa upendeleo kijiografia hio ilikua ni lazima. inaunga majiji makubwa ya kampala dar na narobi. upo hapo?

Eti ndo mji kiungo...inashangaza sana...kat ya mwanza na arusha mji upi ulio karibu na nchi tano za africa mshariki? natumaini jibu unalo...hzo mbuga ulizotaja mbuga ya maana ni serengeti...sasa nambie mji ulio karbu na mbuga ya serengeti? natumaini jibu unalo....Arusha mmependelewa tu na serikali isingekuwa hivyo hata Mbeya ingewapiga fimbo...cha kushangaza huge project kama AICC, EAC, SAFARI CITY, Aghakan head quaters(itajengwa soon), mandela university. tourism promo nk...zoote zimelekezwa arusha tangu enzi za nyerere lakini hamjaiacha mwanza step yoyote ya maana...na mpigeni vita sana maghufuli asipeleke miradi mwanza akipeleka tu mtaumia vibaya mno...mana hata issue ya uwanja wa ndege mwanza mliizima kiaina
 
Mbona unalia lia... Hahahahahaha weka picha za Mwanza hapa.. Watu mnaishi milimani na kunya kunya ovyo ziwani ndio mfananishwe na Arusha?? Weka fact sio porojo

Alafu watu wa Arusha mnapost picha individual, vigorofa vya hoteli vingine vipo country side...mji unatakiwa usound bhana...alafu mwe mnapiga na mswaki aisee...mnajiita internationaly lakini mkiachama mdomoni utadhani chungu cha bibi... ha ha haaa huu mchezo hauhtaji hasira

13418682_111417622617844_4590187416883544935_n.jpg


13428425_111417605951179_1055446248895887287_n.jpg


13418785_111417549284518_3288295889077362407_n.jpg
13419163_111443555948584_2351969185981505341_n.jpg
 
Alafu watu wa Arusha mnapost picha individual, vigorofa vya hoteli vingine vipo country side...mji unatakiwa usound bhana...alafu mwe mnapiga na mswaki aisee...mnajiita internationaly lakini mkiachama mdomoni utadhani chungu cha bibi... ha ha haaa huu mchezo hauhtaji hasira

13418682_111417622617844_4590187416883544935_n.jpg


13428425_111417605951179_1055446248895887287_n.jpg


13418785_111417549284518_3288295889077362407_n.jpg
13419163_111443555948584_2351969185981505341_n.jpg

Huu ubishi aliumaliza Waziri Mpango akiwa anasoma bajeti juzi.. Mwanza ni miongoni mwa mikoa maskini Tanzania.. Ligi yenu ni Kigoma na Singida..
 
Kweli unatakiwa uende milembe ukalambe dozi...kweli wewe na bichwa lako ukaamini mwanza ni maskini kiasi hicho bila kufikiria kuwa kuna kiki inatafutwa...duh kweli hii nchi la saba wengi

Kik ipi inatafutwa kwanza?? Ebu nijibu hilo swali kwanza
 
Huu ubishi aliumaliza Waziri Mpango akiwa anasoma bajeti juzi.. Mwanza ni miongoni mwa mikoa maskini Tanzania.. Ligi yenu ni Kigoma na Singida..
Watoto wa mjini mnashindwa kutofautisha jiji na mkoa. Unaposema mkoa wa mwanza ni jiji pamoja na wilaya zake zote mpaka vijijini.
 
Kweli unatakiwa uende milembe ukalambe dozi...kweli wewe na bichwa lako ukaamini mwanza ni maskini kiasi hicho bila kufikiria kuwa kuna kiki inatafutwa...duh kweli hii nchi la saba wengi
Mkoa wa Mwanza ni miongoni mwa mikoa ambayo watu wake ni maskini.
Si jiji la Mwanza, umeambiwa ni mkoa wa mwanza.
 
Kik ipi inatafutwa kwanza?? Ebu nijibu hilo swali kwanza

siwezi kukujibu ka vip nenda darasani ukajifunze na inaonesha hesabu ulifeli sana...akili yako haina uwezo wa kutegua mitego na mafumbo..unapelekwa tu kama kondoo machinjioni
 
siwezi kukujibu ka vip nenda darasani ukajifunze na inaonesha hesabu ulifeli sana...akili yako haina uwezo wa kutegua mitego na mafumbo..unapelekwa tu kama kondoo machinjioni

Hehehehehe matusi ya nini bwana mdogo.. Jibu hilo swali upewe fact
 
Kuwa na manispaa mbili halafu ndilo jiji pekee lililo kwenye takwimu za umaskini ni aibu, imeshindwa hata na Manispaa moja tu ya Singida?
Zile takwimu ni za mkoa wa Mwanza, si jiji la Mwanza.
Ukichukua mkoa, watu wa mwanza ni maskini kuliko mnavyofikiri. Watu wanashindwa kuelewa
 
siwezi kukujibu...we funguka hzo fact tumove...issue imekaa kipolitical zaidi na hapa sio jukwaa lake hata hvyo tushaijadili kwenye jukwaa la siasa ktambo kama vip pitia hapa Swali Chokonozi: Hivi ni kweli Mwanza ni Maskini kuliko hata Dodoma na Katavi?

Kusiasa au sio?? Hahahaha unajua mnachekesha sana..

Ok, back to the topic, NBS na UN kwenye research zao za mwaka 2012, 2013, 2014 zote wanasema Mwanza ni mkoa maskini.. Hao nao wamebase na hizo siasa mnazosema??
 
Kusiasa au sio?? Hahahaha unajua mnachekesha sana..

Ok, back to the topic, NBS na UN kwenye research zao za mwaka 2012, 2013, 2014 zote wanasema Mwanza ni mkoa maskini.. Hao nao wamebase na hizo siasa mnazosema??

Rekebisha lugha kwanza hapo kwenye bold af twende....af kumbuka hakuna anayekuchekesha hapa..icje kuwa unajitekenya mwenyewe
 
Back
Top Bottom