FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,337
- 13,656
Mkuu unaongelea 2010 kushuka chini?? Mbona hutaki kuongelea 2010 kupanda juu??Angalia hizo figure za Tanga 2007, 2008, 2009, 2010
Halafu kitu kingine kwa vigezo vyako basi Arusha ni ya nne inazidiwa na hiyo mikoa mitatu hapo juu...
Arusha kuzidiwa per capita na Iringa na Kilimanjaro hilo silibishii.. Kilimanjaro mpaka vijijini wanaishi vizuri sana.. Mimi binafsi kijijini kwangu sasahivi mpaka gesi inauzwa na watu walishaachana na kupikia kuni.. Kwahiyo ukiniambia Kilimanjaro inaizidi Arusha kwa kipato cha mmoja mmoja sina cha kubisha sababu vijiji vya wachagga huwezi kuvilinganisha na vya umasaini..