Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Siwez kubishana na ukwel, utakuwa hauitendei haki Mwanza kuifananisha na uchochoro wa arusha, yaan watu waarusha Wana ubishi wa asili kwhy Ni vigum kuwashinda, nimekaa arusha sana Lakin kuifananisha na Mwanza n ujinga mtupu, arusha ilifananishwa na nakuru juzi ikatolewa nockout, halaf wachaga nashangaa sna mbona mnasifia arusha wakat kwen moshi si musifie moshi yenu, et Kuna mchaga juz anabishana et moshi Ni mji kubwa kuliko moro town pumbambavu kabisa we, Mwanza Mwanza Mwanza ndo baba lao uwanja wa kimataifa wa ndege unajengwa east Africa yote itautumia koz ndo karib na miji yote, bado pato la taifa kwa mikoa yote Mwanza n ya pili, achane ufala wachaga tumeechoka mtu ametoka Mwanga anasifia arusha kama kwao si ujinga huo,
 
Siwez kubishana na ukwel, utakuwa hauitendei haki Mwanza kuifananisha na uchochoro wa arusha, yaan watu waarusha Wana ubishi wa asili kwhy Ni vigum kuwashinda, nimekaa arusha sana Lakin kuifananisha na Mwanza n ujinga mtupu, arusha ilifananishwa na nakuru juzi ikatolewa nockout, halaf wachaga nashangaa sna mbona mnasifia arusha wakat kwen moshi si musifie moshi yenu, et Kuna mchaga juz anabishana et moshi Ni mji kubwa kuliko moro town pumbambavu kabisa we, Mwanza Mwanza Mwanza ndo baba lao uwanja wa kimataifa wa ndege unajengwa east Africa yote itautumia koz ndo karib na miji yote, bado pato la taifa kwa mikoa yote Mwanza n ya pili, achane ufala wachaga tumeechoka mtu ametoka Mwanga anasifia arusha kama kwao si ujinga huo,

Mbona unalia lia... Hahahahahaha weka picha za Mwanza hapa.. Watu mnaishi milimani na kunya kunya ovyo ziwani ndio mfananishwe na Arusha?? Weka fact sio porojo
 
Siwez kubishana na ukwel, utakuwa hauitendei haki Mwanza kuifananisha na uchochoro wa arusha, yaan watu waarusha Wana ubishi wa asili kwhy Ni vigum kuwashinda, nimekaa arusha sana Lakin kuifananisha na Mwanza n ujinga mtupu, arusha ilifananishwa na nakuru juzi ikatolewa nockout, halaf wachaga nashangaa sna mbona mnasifia arusha wakat kwen moshi si musifie moshi yenu, et Kuna mchaga juz anabishana et moshi Ni mji kubwa kuliko moro town pumbambavu kabisa we, Mwanza Mwanza Mwanza ndo baba lao uwanja wa kimataifa wa ndege unajengwa east Africa yote itautumia koz ndo karib na miji yote, bado pato la taifa kwa mikoa yote Mwanza n ya pili, achane ufala wachaga tumeechoka mtu ametoka Mwanga anasifia arusha kama kwao si ujinga huo,

Weka data kutoka BOT zinazosema Mwanza ni ya pili mzee sio unaleta porojo hahahahahahaha.. Hiyo kodi yenyewe aibu
 
Siwez kubishana na ukwel, utakuwa hauitendei haki Mwanza kuifananisha na uchochoro wa arusha, yaan watu waarusha Wana ubishi wa asili kwhy Ni vigum kuwashinda, nimekaa arusha sana Lakin kuifananisha na Mwanza n ujinga mtupu, arusha ilifananishwa na nakuru juzi ikatolewa nockout, halaf wachaga nashangaa sna mbona mnasifia arusha wakat kwen moshi si musifie moshi yenu, et Kuna mchaga juz anabishana et moshi Ni mji kubwa kuliko moro town pumbambavu kabisa we, Mwanza Mwanza Mwanza ndo baba lao uwanja wa kimataifa wa ndege unajengwa east Africa yote itautumia koz ndo karib na miji yote, bado pato la taifa kwa mikoa yote Mwanza n ya pili, achane ufala wachaga tumeechoka mtu ametoka Mwanga anasifia arusha kama kwao si ujinga huo,
Huu mchezo hautaji hasira broo
 
Siwez kubishana na ukwel, utakuwa hauitendei haki Mwanza kuifananisha na uchochoro wa arusha, yaan watu waarusha Wana ubishi wa asili kwhy Ni vigum kuwashinda, nimekaa arusha sana Lakin kuifananisha na Mwanza n ujinga mtupu, arusha ilifananishwa na nakuru juzi ikatolewa nockout, halaf wachaga nashangaa sna mbona mnasifia arusha wakat kwen moshi si musifie moshi yenu, et Kuna mchaga juz anabishana et moshi Ni mji kubwa kuliko moro town pumbambavu kabisa we, Mwanza Mwanza Mwanza ndo baba lao uwanja wa kimataifa wa ndege unajengwa east Africa yote itautumia koz ndo karib na miji yote, bado pato la taifa kwa mikoa yote Mwanza n ya pili, achane ufala wachaga tumeechoka mtu ametoka Mwanga anasifia arusha kama kwao si ujinga huo,
Yani wew ndo bure kabisa...moro unaanzia wapi kuilinganisha na moshi...mm nipo SUA campus ya mazimbu moro napafahamu kote usijaribu kulinganisha na moshi hata kidogo nilichogundua na wew huna lolote.
 
Yani wew ndo bure kabisa...moro unaanzia wapi kuilinganisha na moshi...mm nipo SUA campus ya mazimbu moro napafahamu kote usijaribu kulinganisha na moshi hata kidogo nilichogundua na wew huna lolote.

Hahahahahahaha wameanza kushambulia wachagga mara Moshi.. Hehehehehehe Moshi inakusanya kodi Billion 100, huko moro vipi?? Hawezi kukujibu hilo swali milele
 
Yani wew ndo bure kabisa...moro unaanzia wapi kuilinganisha na moshi...mm nipo SUA campus ya mazimbu moro napafahamu kote usijaribu kulinganisha na moshi hata kidogo nilichogundua na wew huna lolote.
Me sitaki kubishana na we, koz hujui unachobisha, nitakuwa mjinga wa mwisho nikiifananisha moshi na moro, moshi Kuna nn cha kufananisha na moro?
 
Me sitaki kubishana na we, koz hujui unachobisha, nitakuwa mjinga wa mwisho nikiifananisha moshi na moro, moshi Kuna nn cha kufananisha na moro?

Moshi inakusanya kodi Billion 100 vipi Moro?? Tuanzie hapo kwanza
 
Hahahahahahaha wameanza kushambulia wachagga mara Moshi.. Hehehehehehe Moshi inakusanya kodi Billion 100, huko moro vipi?? Hawezi kukujibu hilo swali milele
Hawa jamaa arusha hawapajui wala moshi wanapiga kelele tu sasa km mtu anafikia hatua ya kulinganisha Moro na moshi si utani kabisa
 
Hawa jamaa arusha hawapajui wala moshi wanapiga kelele tu sasa km mtu anafikia hatua ya kulinganisha Moro na moshi si utani kabisa

Hahahahahahaha UN wamesema watu wanaoishi kama watu Tanzania ni Arusha, Kilimanjaro na Dar pekee... Wengine wanaishi kama ngedere tu hahahahaha ni ngumu kusema ila ndio ukweli
 
Me sitaki kubishana na we, koz hujui unachobisha, nitakuwa mjinga wa mwisho nikiifananisha moshi na moro, moshi Kuna nn cha kufananisha na moro?
We hiyo moro umewahi kufika au kwasababu umesikia mji kasoro bahari ndo unachanganyikiwa...sasa mm nipo Moro na kila corner naifahamu utanidanganya nn tafuta ambao hawajawah kufika moshi na Moro ndo uwadanganye.
 
Mwanza 70% ni maskini wa kutupa hiyo ni fact na sio mimi nimesema niliweka link ya yalikosemwa hayo... Alafu ulivyo na akili za kimaskini bado Unaendelea kusema Arusha tujitahidi ili tuikute Mwanza... Kweli nyie maskini jeuri


Nimekuelewa lakini mwanza ndio jiji la pili baada ya dar na kama una link inayokuonesha kuwa arusha ipo mbele ya mwanza iweke hapa ili uthibitishe madai yako

Hivi unadhani walioliamua hili hawakuziona hizo "world class hotels " za arusha !!!!!!....
Sipingi arusha ni kitovu cha utalii Africa mashariki yote na hili ndilo limevutia uwekezaji wa mahotel hayo

Weka hisia pembeni ili uongee kama mwanaume anayetumia akili........ Hivi unadhani kuwajta wanamwanza kima ndo imeuondoa ubinadamu wao.....
 
Wasukuma waishio Mwanza Million 3.. 70% ni maskini wa kutupa

Arusha inabebwa na middle class population ya watu wa kuja .. East Afica Community, ICTR, watalii, etc. Otherwise sioni tofauti ya hali ya watz wa kawaida wanaoishi Mwanza na Arusha .
 
Hahahahahahaha UN wamesema watu wanaoishi kama watu Tanzania ni Arusha, Kilimanjaro na Dar pekee... Wengine wanaishi kama ngedere tu hahahahaha ni ngumu kusema ila ndio ukweli
Ur thinking capacity is 2 low, huwez kutukana watz kwasabab unasifia mkoa wako tu, na pia sijui Uwezo wa kipesa wa family yen kama n mkubwa koz watu wanaotamuka upuuz kama huyo asilimia kubwa wanakaa kwa wajomba na mashemeji zao hongera yako mtu msafi unayekula vzr
 
Nimekuelewa lakini mwanza ndio jiji la pili baada ya dar na kama una link inayokuonesha kuwa arusha ipo mbele ya mwanza iweke hapa ili uthibitishe madai yako

Hivi unadhani walioliamua hili hawakuziona hizo "world class hotels " za arusha !!!!!!....
Sipingi arusha ni kitovu cha utalii Africa mashariki yote na hili ndilo limevutia uwekezaji wa mahotel hayo

Weka hisia pembeni ili uongee kama mwanaume anayetumia akili........ Hivi unadhani kuwajta wanamwanza kima ndo imeuondoa ubinadamu wao.....

Wewe maskini uiashie milimani pitia huu uzi wote tumeweka fact na maambatanisho yote muhimu yanayoonyesha Arusha kuna maisha bora kuliko Mwanza.. Tumeweka sources kutoka TRA, UN, NBS zote zimeiweka Arusha mbele ya Mwanza... Wewe tuwekee source moja tu inayoonyesha Mwanza ni zaidi ya Arusha..
 
Back
Top Bottom