Yamungu Athumani
JF-Expert Member
- Apr 23, 2016
- 1,383
- 3,258
Huwezi linganisha mwanza na Arusha
Wacheni utani
Wacheni utani
Ebu fafanua apo kunyakua walinyakua vp hcho chuo?Mie nang'ata kote kote,kuna mtu kanikumbusha jambo limeniuma.Watu wa kaskazini kunyakua chuo cha mandela wakati ilikua kijengwe mbeya kama haitoshi walikwamisha ujenzi wa songwe airport kwa miaka mingi sana hadi leo haijakamilika vizuri but yote haya ni vile wako wengi kwenye system.Back to the topic,ningependa mwanza iendelee kua juu zaidi ya arusha ili kukomesha ego ya watu wa kaskazini but mwanza should do extra efforts otherwise inaweza kua na watu wengi lakini less important economicaly coz maskini wengi kuliko wenye uwezo.mfano mdogo ni mbagala na segerea
Ebu fafanua apo kunyakua walinyakua vp hcho chuo?
Mkuu uwezo wako wa kuchambua haya masuala naukubali sana ila tatizo lako uko na negative attitude towards northern people....mm nafikiri serikali inasababu zake za kuamua kufanya hvo ambazo mm na wewe pengine hatuzifahamu...next year kuna ujenzi wa agakhan university unaanza arusha pia nafikiri kuna sababu wanazozijua wao.Hii ni project ya African Union katika kumuenzi Nelson Mandela,iliamuliwa vijengwe vyuo kama hivyo 5 katika Africa na kigezo kikuu ni pamoja na ushiriki wa nchi katika kusaidia harakati za kudai uhuru kwa waafrica(Pan-Africanism Movement) so Tanzania ikawa moja ya nchi ambako chuo kimojawapo kijengwe na Mbeya pale Iwambi ndio eneo lilitengwa kijengwe lakini figisu za wachaga/waarusha wakahamishia project Usa River kwa sababu za kifigisu.Hata makao makuu ya SADC-Gaborone,Botswana ilikua yawe mbeya tanzania figisu zikahamisha so then songwe airport too.
Ilikuwaje na ni kina nana hao wataje ata majna waliofanya uo uhuniHii ni project ya African Union katika kumuenzi Nelson Mandela,iliamuliwa vijengwe vyuo kama hivyo 5 katika Africa na kigezo kikuu ni pamoja na ushiriki wa nchi katika kusaidia harakati za kudai uhuru kwa waafrica(Pan-Africanism Movement) so Tanzania ikawa moja ya nchi ambako chuo kimojawapo kijengwe na Mbeya pale Iwambi ndio eneo lilitengwa kijengwe lakini figisu za wachaga/waarusha wakahamishia project Usa River kwa sababu za kifigisu.Hata makao makuu ya SADC-Gaborone,Botswana ilikua yawe mbeya tanzania figisu zikahamisha so then songwe airport too.
Hii lazima imuume Mkuu wa chuo
Kuwa na manispaa mbili halafu ndilo jiji pekee lililo kwenye takwimu za umaskini ni aibu, imeshindwa hata na Manispaa moja tu ya Singida?Mwanza ina manispaa mbili Ilemela na Nyamagana Arusha moja, sijui ukubwa wa mji mtoa mada anautofautishaje kwa upande wake, wataalum wa mipango miji walishaona imekuwa kubwa igawanywe mara mbili.
Ni kweli kuna kila kitu mpaka umaskini pia upo Mwanza. Arusha hakuna kila kitu ila kuna hela ambayo Mwanza haipo.Sawa wakuu Mwanza kuna kila kitu lakini na umaskini pia upo, Arusha hakuna kila kitu ila kuna PESA, sasa Mwanza tafuteni pesa.
Kwani wewe utakaa hapo...?! Hiyo ipo wapi Wilaya ya Arusha ( Arumeru) ama...?!Hii lazima imuume Mkuu wa chuo
Hahahaha. ..Ipo Mateves Kisongo. Wilaya ya ArushaKwani wewe utakaa hapo...?! Hiyo ipo wapi Wilaya ya Arusha ( Arumeru) ama...?!
Ha haha haha itakuwa chini ya mamlaka ya mji mdogo Ngaramtoni chini ya wilaya ya Arusha kama Burka na huko Mringa...Hahahaha. ..Ipo Mateves Kisongo. Wilaya ya Arusha