Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza Mwanza.... hahahahahahaha Airport hapo
12_4.JPG
Arusha Airport
arusha city airport.jpg
 
Jana niliondoka Naona nimepitwa mengi.

kwa kukusaidia tu ndugu yang jiji la mwanza lina watu wasiofika hata million 1. Data za watu million 3 unatoa wapi? nafikiri mtoa hoja ameleta hoja ya jiji la mza Na jiji la arusha.
bajeti ya jiji la arusha ya 2016/2017 Ni billion 109.
mwanza jiji (nyamagana + ilemela) Ni billion 141.2
inakuwaje bajeti ya mza Ni kubwa Na ya arusha Ni ndogo wakati makusanyo ya arusha Ni mengi?
mnijibu kwa lugha nzuri sio Matusi hapa tunaeleweshana.
Deficit Spending or Budget Deficit ndio labda zimetumika.
 
JK aliitosa Mwanza na wakaleta watu waliolifanya jiji la Mwanza kama shamba la bibi.Mkapa aliisaidia sana Mza kusogea mahali fulani.Naamini kwa fairness ya mh Magu Mza itainuka tena.

Huyu jamaa hafai kabisa
 
Sina sababu ya kupitia comments nyingi ila nina cha kusema kua MWANZA MWANZA The RockCity ni kama bustani ya Adam na Hawa hvi
 
Kwanza kabisa ni kutoijua jiografia ndio maana baadhi ya watu wanashabikia bila kutathmin.

1: Ni kweli serikali iliyopita ilipita bila hat a kufanya lolote, mfano, kuna majengo ya Nyamagana council pale mkolani PM Pinda aliweka jiwe la msingi 2008, baada ya hapo hadi leo popo wanaishi mle. Ni la ghorofa moja.
kuna barabara ya usagara kisesa ilikuwa iishe 2008, hadi leo hamna kitu. Mkandarasi Nyanza roads ashafungasha virago maana hawajalipwa

Uwanja was ndege Mwanza miaka mingi umekuwa ukitajwa na tuliskia kuna pesa Ilihamishwa ikaenda jenga kwingine.

Hayo ni kwa uchache, hebu tembeeni Mwanza licha ya kwamba iko juu ya arusha kuna vyuo vingapi vyenye campus ya kueleweka mwanza, chuo gani cha serkali kinatoa degree ukitoka Dodoma hadi kanda ya Ziwa?

Watu mnatia hasira sasa ngoja nirap

Mwanza airport sasa itajengwa na itaisha mwakani 2017, kwa kuwa ni chini ya saamoja kufika Serengeti national park, unapata picha gani kuhusu watalii, mtalii gani unadhani atataka ashukie KIA atembee 8hours kufika Serengeti? Mtaisoma tu nakushaurini msome bajeti ya 2016/7 na ten a itakuwa poa ikaitwa Serengeti int airport

DIKKM hii ni SGR, awamu ya kwanza ni Dar_Isaka_Mwanza. Mwanza itakuwa na logistic hub nendeni fb gongeni "mwanza 2035" mtayaona haya, Eneo la fela litakuwa linapokea mizigo yote ya kanda ya ziwa na kupakuliwa pale. Sina hakika kama TPA na TRA watakuwa na ofisi ndogo kwa clearance.hii fursa nayo itaipa kick Mwanza

Mwanza inazungukwa na Mara,Simiyu,Shinyanga,Geita na Kagera eneo hili lina wakazi kama 17million, na wote wanatamka kuwa Mwanza ni kwao, kwa mtaji huu wa idadi kubwa ya watu jirani haitatokea hata chembe ya siku moja ilingane mji unaozungukwa na watu wa wanapenda kuishi porini kama wafugaji. Mtaimport hadi mtachemsha.

Bomba la mafuta litapitia Kagera Geita Shinyanga vyote hivi vitastimulate uchumi was mwanza maana safari zote za ndege ni mwanza

Mna vijitabia flan vya kibaguzi vinauzi sana, kuanzia kwenye ajira hadi kwenye Miradi

Chuo kama cha Nelson Mandela kudaadek kilikuwa kijengwe Mbeya nacho mmepora.
Hata ktk baadhi maofis hata ya gov unakuta mkurugenzi hadi msaidiz wake wote huko huko unajua napata machungu hata kuandika, pita airport huko pita pita Tanesco, Pita pita crdb mnakera nk
 
Kwakuwa Mwanza bado inaongoza
Ispokuwa kasi ya ukuaji wa mji bado ni ndogo

Kasi ya ukuaji wa mji ni ndogo. Unaijua mwanza wewe ? Arusha Ukitoka nje ya mji kilometer moja unaingia kijijini. Mwanza kutoka katikati ya Jiji unakwenda kilometa kumi na tano bado Uko mjini. Upo hapo ?
 
Kasi ya ukuaji wa mji ni ndogo. Unaijua mwanza wewe ? Arusha Ukitoka nje ya mji kilometer moja unaingia kijijini. Mwanza kutoka katikati ya Jiji unakwenda kilometa kumi na tano bado Uko mjini. Upo hapo ?
Mwanza naijua sana
 
Kwanza kabisa ni kutoijua jiografia ndio maana baadhi ya watu wanashabikia bila kutathmin.

1: Ni kweli serikali iliyopita ilipita bila hat a kufanya lolote, mfano, kuna majengo ya Nyamagana council pale mkolani PM Pinda aliweka jiwe la msingi 2008, baada ya hapo hadi leo popo wanaishi mle. Ni la ghorofa moja.
kuna barabara ya usagara kisesa ilikuwa iishe 2008, hadi leo hamna kitu. Mkandarasi Nyanza roads ashafungasha virago maana hawajalipwa

Uwanja was ndege Mwanza miaka mingi umekuwa ukitajwa na tuliskia kuna pesa Ilihamishwa ikaenda jenga kwingine.

Hayo ni kwa uchache, hebu tembeeni Mwanza licha ya kwamba iko juu ya arusha kuna vyuo vingapi vyenye campus ya kueleweka mwanza, chuo gani cha serkali kinatoa degree ukitoka Dodoma hadi kanda ya Ziwa?

Watu mnatia hasira sasa ngoja nirap

Mwanza airport sasa itajengwa na itaisha mwakani 2017, kwa kuwa ni chini ya saamoja kufika Serengeti national park, unapata picha gani kuhusu watalii, mtalii gani unadhani atataka ashukie KIA atembee 8hours kufika Serengeti? Mtaisoma tu nakushaurini msome bajeti ya 2016/7 na ten a itakuwa poa ikaitwa Serengeti int airport

DIKKM hii ni SGR, awamu ya kwanza ni Dar_Isaka_Mwanza. Mwanza itakuwa na logistic hub nendeni fb gongeni "mwanza 2035" mtayaona haya, Eneo la fela litakuwa linapokea mizigo yote ya kanda ya ziwa na kupakuliwa pale. Sina hakika kama TPA na TRA watakuwa na ofisi ndogo kwa clearance.hii fursa nayo itaipa kick Mwanza

Mwanza inazungukwa na Mara,Simiyu,Shinyanga,Geita na Kagera eneo hili lina wakazi kama 17million, na wote wanatamka kuwa Mwanza ni kwao, kwa mtaji huu wa idadi kubwa ya watu jirani haitatokea hata chembe ya siku moja ilingane mji unaozungukwa na watu wa wanapenda kuishi porini kama wafugaji. Mtaimport hadi mtachemsha.

Bomba la mafuta litapitia Kagera Geita Shinyanga vyote hivi vitastimulate uchumi was mwanza maana safari zote za ndege ni mwanza

Mna vijitabia flan vya kibaguzi vinauzi sana, kuanzia kwenye ajira hadi kwenye Miradi

Chuo kama cha Nelson Mandela kudaadek kilikuwa kijengwe Mbeya nacho mmepora.
Hata ktk baadhi maofis hata ya gov unakuta mkurugenzi hadi msaidiz wake wote huko huko unajua napata machungu hata kuandika, pita airport huko pita pita Tanesco, Pita pita crdb mnakera nk
Jombaa umepanic wakati mwanza mnafanya hayo yote arusha itakua imelala usingz wa pono ee..naona umeleta na tribalism tena haha watz bhn
 
Kasi ya ukuaji wa mji ni ndogo. Unaijua mwanza wewe ? Arusha Ukitoka nje ya mji kilometer moja unaingia kijijini. Mwanza kutoka katikati ya Jiji unakwenda kilometa kumi na tano bado Uko mjini. Upo hapo ?
Mwanza hamna vijij ?uko kwenye mawe hata huduma hazfki mkuu nashangaa unajisfia dar yenywe tu kuna vjj sembuse apo mwnz..
 
Jamii forum Wakati mwingine inafurahisha sana. Umu Kuna watu kibao wanajifanya wapo Mwanza, Arusha, kilimanjaro na Kenya kumbe yapo apa apa Dar es salaam Tanzania. Punguzeni drama,
 
Jamii forum Wakati mwingine inafurahisha sana. Umu Kuna watu kibao wanajifanya wapo Mwanza, Arusha, kilimanjaro na Kenya kumbe yapo apa apa Dar es salaam Tanzania. Punguzeni drama,
Kwanza hao kama wapo dar
Niwakupewa pongezi kuliko kuwa Arusha au mwanza

Huko ni kijijini
 
Ila vita ya panzi. Furaha kwa kunguru. Awo matajiri wote uko mikoani awakai tumejazana apa Dar es salaam na wabunge na viongozi kibao wapo apa Dar es salaam. Mikoani Kuna changamoto nyingi sana, hata awo matajiri wenyewe ukiambiwa utajiri wake eti ana Ng'ombe wa maziwa 50. Sasa wanavyojisifia na Wakati apa Dar es salaam kujenga nyumba yenye azi unakuta kwy Milioni 50 na kuendelea. Na sio tajiri ni kawaida sana
 
[QUOTE="Kamu-Ubungo Msewe, post: 16230080, member: 111355"vita ya panzi. Furaha kwa kunguru. Awo matajiri wote uko mikoani awakai tumejazana apa Dar es salaam na wabunge na viongozi kibao wapo apa Dar es salaam. Mikoani Kuna changamoto nyingi sana, hata awo matajiri wenyewe ukiambiwa utajiri wake eti ana Ng'ombe wa maziwa 50. Sasa wanavyojisifia na Wakati apa Dar es salaam kujenga nyumba yenye azi unakuta kwy Milioni 50 na kuendelea. Na sio tajiri ni kawaida sana[/QUOTE]

Ebo unahoji engaruka? Hii inatoka nchi gani
 
Back
Top Bottom