Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Kuelewa huo upuuzi alioandika?? Mara aseme tuongelee Jiji sasahivi amegeuka anaongelea Meru ambako sio Jiji... Sasa mtu kigeugeu namna hiyo unamwona ana akili sawasawa?? Mwanza is less important maana population yake na ukubwa wake havirandani na kodi inayokusanywa.. Hutaki saga chupa unywe ukabishane na mashetani
Hehehe ktk ubora wakona
Wengi husema Arusha ndio kunako patikana Mafisadi wakubwa na wezi Serikalini
Kuliko mahala popote Tanzania
Vipi hilo
 
Upo Njiro sehemu gani...?! Lemara ama...?! Au Engutoto nitafute nikutoe offer ya kiroba...

Uje uwaambie na wenzako kama naishi barabarani...

Uje uwapatie habari njema na machalii wenzako nitakununulia boksi la viroba...

Machalii wenzako niliwapatia kibarua wamelegea kinyama, nikaingia mwanaume mwenyewe kupiga mzigo...

Dada zako wakawa wananichekea tu, na mimi bila hiyana na show love tu...
Yani hizo ndo sehemu ulizokaririshwa...hahahah...nna mashaka sana na uwezo wako wa kufikiri...ila endelea kuaminisha watu hicho unachojifanya unakifaham wakati hajui chochote.
 
Upo Njiro sehemu gani...?! Lemara ama...?! Au Engutoto nitafute nikutoe offer ya kiroba...

Uje uwaambie na wenzako kama naishi barabarani...

Uje uwapatie habari njema na machalii wenzako nitakununulia boksi la viroba...

Machalii wenzako niliwapatia kibarua wamelegea kinyama, nikaingia mwanaume mwenyewe kupiga mzigo...

Dada zako wakawa wananichekea tu, na mimi bila hiyana na show love tu...

Wewe ng'ombe huna uwezo wa kukaa Arusha.. Kama wewe kweli ni mwanaume na uko Arusha sema wapi nije sasahivi..
 
Hehehe ktk ubora wakona
Wengi husema Arusha ndio kunako patikana Mafisadi wakubwa na wezi Serikalini
Kuliko mahala popote Tanzania
Vipi hilo

Fungua wa mafisadi tutaujadili... Ila huyo msukuma aliyesema yuko Arusha na maneno ya dharau kwa kujiita kidume nitaombe tutafutane leo ili niuone ukidume wake..
 
Yani hizo ndo sehemu ulizokaririshwa...hahahah...nna mashaka sana na uwezo wako wa kufikiri...ila endelea kuaminisha watu hicho unachojifanya unakifaham wakati hajui chochote.
We utakuwa una matatizo wewe, unataka offer ya viroba hutaki...?! Niambie upo Njiro sehemu gani..?!

Kwa sasa nimekuja huku Majengo mara moja...
 
Sijakuelewa!
Hawa Watz Wachagga wafanyabiashara wakubwa, wasomi wakubwa wamatapakaa nchi yote na kona zote!

Wanajua kutafuta pesa!

Wamekukosea nini??

Wewe kaa nao wakufundishe namna ya kutafuta pesa!

Acha kulia lia kwa ubaguzi!

Hawa ni watu wa kilimanjaro na wakiwa na makabila 8 k.v wamachame wasiha wakibosho wamarangu warombo wa old moshi kwa pamoja wakijiita wachaga ndo wanapenda sana haya mambo ya kutaka kujionyesha kuwa wao ni bora na zaidi kuliko watu wengine hapa Tz.

Wana ukabila na wapo tofauti kabisa na makabila mengine ya kitanzania .

Wao ni wa kenya asilia mana ndo tabia zao zinarandana nao.
Mana kenya ukabila ndo kwako na mtu mwiko kuitwa majina yote mawili ya kikristo.
Lazima moja la kikabila ni wanafahamiana kwa muonekano ni kamaa umuonavyo mchaga lazima umtambue.

Hawa jamaaa walikuwa Tanzania bahati mbaya pale Nyerere alipompa Kenyata bandari ya Mombasa na yeye akakubali Mt Kilimanjaro kuwa Tanzania ndo wachaga wakawa hapa kwetu.

Makabila yote Tz yana utu ila wachaga hawana utu kwako ni pesa mbele.

Kama hauna pesa afu upo mbali kwenu kilio kikitokea haupati taarifa.

Ukiwa mkubwa nyumbani hauna hela mdogo wako akija na ndo mwenye hela ww mkubwa utaambiwa ukamate kuku kaka yako achinjiwe
 
Hawezi kuja
Kama akija atumie simu yake nimuonyeshe makazi ya watu walio wengi apige picha halafu atume hata hapa Ngarenaro, na sio kupiga picha za nyumba za wanaume wenzake aje apige picha za wajomba na shangazi na yeye anaishi wapi...

Na sio kuanza kutukana watu ni maskini, sijui hizi slums ninazo ziona huku ni za matajiri...?!
 
Kama akija atumie simu yake nimuonyeshe makazi ya watu walio wengi apige picha halafu atume hata hapa Ngarenaro, na sio kupiga picha za nyumba za wanaume wenzake aje apige picha za wajomba na shangazi na yeye anaishi wapi...

Na sio kuanza kutukana watu ni maskini, sijui hizi slums ninazo ziona huku ni za matajiri...?!
Anawadanganya wasio ijua Arusha
 
Kwani kuna lipi Arusha
Mpaka kuidharau Mwanza!?

Arusha hakuna lolote mji wenyewe kilometa 1 za mraba

Mwanza level nyingine bwana
Hivi Arusha ni jiji la ngapi kwa ukubwa hapa Tanzania?
 
Back
Top Bottom