Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Arusha haijawahi kuwa maskini.. Tangia miaka ya mkoloni aliwekeza ustaarabu na huduma za kijamii zaidi huku kaskazini.. Connection ya miji muhimu east africa chini muingereza na mjerumani ilikuwa Kilimanjaro, Arusha na Nairobi.. Maskini ni huko Mwanza ambako wenyewe hapa mmekiri mlijengewa mji wenu kwa upendeleo wa Mkapa.. Huko hata rami imefika juzi tu wakati Dar-Moshi-Arusha rami tangia miaka ya 80 huko tayari ilishaunganisha hii mikoa.

Maana ya umaskini ni mji wenye watu Million 3 kukusanya Billion 117 wakati mji wenye watu laki 8 unakusanya Billion 242.. Yaani kama Arusha ingekuwa na hao watu Million 3 basi tungekuwa tunakusanya Billion 907 kwa mwaka... There are bunch of unproductive cunts huko milimani... I did the math, it checks well


Jana niliondoka Naona nimepitwa mengi.

kwa kukusaidia tu ndugu yang jiji la mwanza lina watu wasiofika hata million 1. Data za watu million 3 unatoa wapi? nafikiri mtoa hoja ameleta hoja ya jiji la mza Na jiji la arusha.
bajeti ya jiji la arusha ya 2016/2017 Ni billion 109.
mwanza jiji (nyamagana + ilemela) Ni billion 141.2
inakuwaje bajeti ya mza Ni kubwa Na ya arusha Ni ndogo wakati makusanyo ya arusha Ni mengi?
mnijibu kwa lugha nzuri sio Matusi hapa tunaeleweshana.
 
Jana niliondoka Naona nimepitwa mengi.

kwa kukusaidia tu ndugu yang jiji la mwanza lina watu wasiofika hata million 1. Data za watu million 3 unatoa wapi? nafikiri mtoa hoja ameleta hoja ya jiji la mza Na jiji la arusha.
bajeti ya jiji la arusha ya 2016/2017 Ni billion 109.
mwanza jiji (nyamagana + ilemela) Ni billion 141.2
inakuwaje bajeti ya mza Ni kubwa Na ya arusha Ni ndogo wakati makusanyo ya arusha Ni mengi?
mnijibu kwa lugha nzuri sio Matusi hapa tunaeleweshana.

Makusanyo ya Arusha kuwa mengi hakuhusiani na bajeti maana makusanyo yanaenda Hazina hayabaki halmashauri.. Kama Arusha inakusanya Billion 242 na Bajeti yake ni Billion 109 na Mwanza makusanyo ya kodi ni Billion 117 na Bajeti ni Billion 141 basi kuna pesa ya Arusha inapelekwa kuendeleza Mwanza.. That is to say zaidi ya makusanyo nusu ya Arusha yanaenda kuinua maendeleo ya mikoa mingine.. Nadhani unajua Surplus Budget and Deficit Budget.. Na hii ndio maana serikali ya majimbo ccm waliikataa maana majimbo fulani ndio yangeendelea zaidi ya mengine

Back to the topic.. Bajeti ya Mwanza lazima iwe kubwa kwanza kwasababu ya idadi ya watu ambayo ni mara 3 ya wakazi wa jiji la Arusha, Pili Kilomita za Mraba za Jiji la Mwanza hivyo cost za kufacilitate budget ili kutatua kero mbalimbali za wananchi lazima ziwe juu...

NB: Budget ya Ujenzi wa Barabara nchi kama Norway ni ndogo kuliko Budget yetu ya ujenzi wa barabara... Hivyo ukubwa au udogo wa budget hakuna maana yeyote na maendeleo ya mji na hali ya maisha kwenye jamii husika. Mfano mwingine, ukizaa watoto 10 na mwenzako akazaa wawili wewe mwenye 10 utatumia gharama kubwa za matunzo kuliko yule mwenye wawili under ceteris paribus
 
bajeti ya serikali kuu inatokana Na tra - Tanzania revenue authority.

bajeti ya halmashauri inatokana Na vyanzo vya Mapato vya halmashauri.

tumia hizo hints zitakusaidia,
 
Ni rahisi kuongea kwa hisia na mapenzi binafsi kuliko uhalisia.Ili tufanye uchambuzi sahihi wa bajeti ni vyema tufahamu makusanyo ya kila jiji sio mkoa kama takwimu mnazoleta,hata hivyo kuna vyanzo vya mapato vya kitaifa na vyanzo vya miji husika.
 
Kiukweli future ya jiji la mwanza as compared to Arusha ni ndogo,miradi ya serikali kuu,mashirika na taasisi binafsi ni mingi sana kwenye sekta zote,ukweli huu unauma watu wa Mwanza hawapendi kusikia.Jiji la mwanza lina kazi ya ziada lazima litumie sehemu ya bajeti yake kujenga na kupatner na sekta binafsi kwenye investments,wakati arusha viwanda ni vingi na vinajengwa kwa wingi huko mwanza kunasuasua kwa hali hii mwanza lazima watumie maarifa na ubunifu wa ziada.Unaweza kua wa pili kwa ukubwa lakini less important
 
bajeti ya serikali kuu inatokana Na tra - Tanzania revenue authority.

bajeti ya halmashauri inatokana Na vyanzo vya Mapato vya halmashauri.

tumia hizo hints zitakusaidia,
nashangaa mtu anaposema Mwanza haikui kimsingi nafahamu projects zilizopo katika miji hii mikubwa mitatu ya Tanzania, sasa sijui mtu anapima vipi kwa namna gani...?!

nikija kwa Mwanza kuna miradi na majengo ambayo yapo U/C na zingine bado... sasa hapo itakuwaje inarudi nyuma...?!

kuna mtu pia anadai wananchi wa Mwanza ni maskini sana, anaweka picha za wananchi wa Arusha wakiwa wanaishi nyumba kama wapo Scandinavia...

Kimsingi mtu wa namna hiyo nabaki kumuangalia tu haina haja ya kufanya mjadala nae, labda twende mjadala wa hoja kwa hoja...

Huku Arusha kuna maeneo makubwa yanamilikiwa na mwekezaji, sasa hao wananchi anaodai ni matajiri sijui ni kwanini waende wakavamie mashamba ya muwekezaji na kudai hawana sehemu za kulima, wapo wanajigawia maeneo kwa mapanga na majembe, ndio maana mjadala wa namna hiyo naangalia tu... mfano ni Meru

Kuna hoja nyingine nimeona mtu anasema Mwanza ni less important, labda nimwambie tu hakuna sehemu less important...

Eneo lina idadi kubwa ya watu itakuwaje less important...?! Ingekuwa ni less important kusingekuwa na haja ya ujenzi wa hotel za nyota tano na upanuzi wa uwanja wa ndege kuujenga wa kisasa kama Terminal III Dar...

Tukirudi kwenye viwanda pia vipo na sio kama jamaa anavyosema hiyo takwimu zake sijui zimeekaje...?!
 
Kiukweli future ya jiji la mwanza as compared to Arusha ni ndogo,miradi ya serikali kuu,mashirika na taasisi binafsi ni mingi sana kwenye sekta zote,ukweli huu unauma watu wa Mwanza hawapendi kusikia.Jiji la mwanza lina kazi ya ziada lazima litumie sehemu ya bajeti yake kujenga na kupatner na sekta binafsi kwenye investments,wakati arusha viwanda ni vingi na vinajengwa kwa wingi huko mwanza kunasuasua kwa hali hii mwanza lazima watumie maarifa na ubunifu wa ziada.Unaweza kua wa pili kwa ukubwa lakini less important
Maoni mazuri haya
 
Mwanza kwanza kusanyeni kodi TRA!

Haiwezekani Ar ikusanye kodi mara 2 ya Mwanza 234 bilioni wakati Mwanza 117!

Halafu Mwanza mnajisifu!

Lipeni kodi kwanza TRA
 
nashangaa mtu anaposema Mwanza haikui kimsingi nafahamu projects zilizopo katika miji hii mikubwa mitatu ya Tanzania, sasa sijui mtu anapima vipi kwa namna gani...?!

nikija kwa Mwanza kuna miradi na majengo ambayo yapo U/C na zingine bado... sasa hapo itakuwaje inarudi nyuma...?!

kuna mtu pia anadai wananchi wa Mwanza ni maskini sana, anaweka picha za wananchi wa Arusha wakiwa wanaishi nyumba kama wapo Scandinavia...

Kimsingi mtu wa namna hiyo nabaki kumuangalia tu haina haja ya kufanya mjadala nae, labda twende mjadala wa hoja kwa hoja...

Huku Arusha kuna maeneo makubwa yanamilikiwa na mwekezaji, sasa hao wananchi anaodai ni matajiri sijui ni kwanini waende wakavamie mashamba ya muwekezaji na kudai hawana sehemu za kulima, wapo wanajigawia maeneo kwa mapanga na majembe, ndio maana mjadala wa namna hiyo naangalia tu... mfano ni Meru

Kuna hoja nyingine nimeona mtu anasema Mwanza ni less important, labda nimwambie tu hakuna sehemu less important...

Eneo lina idadi kubwa ya watu itakuwaje less important...?! Ingekuwa ni less important kusingekuwa na haja ya ujenzi wa hotel za nyota tano na upanuzi wa uwanja wa ndege kuujenga wa kisasa kama Terminal III Dar...

Tukirudi kwenye viwanda pia vipo na sio kama jamaa anavyosema hiyo takwimu zake sijui zimeekaje...?!
Safi mkuu nadhani FisadiKuu kakuelewa
 
Kiukweli future ya jiji la mwanza as compared to Arusha ni ndogo,miradi ya serikali kuu,mashirika na taasisi binafsi ni mingi sana kwenye sekta zote,ukweli huu unauma watu wa Mwanza hawapendi kusikia.Jiji la mwanza lina kazi ya ziada lazima litumie sehemu ya bajeti yake kujenga na kupatner na sekta binafsi kwenye investments,wakati arusha viwanda ni vingi na vinajengwa kwa wingi huko mwanza kunasuasua kwa hali hii mwanza lazima watumie maarifa na ubunifu wa ziada.Unaweza kua wa pili kwa ukubwa lakini less important

Well said.. And u are not from Arusha anyway sasa sijui watakujibu kitu gani hapa..
 
Safi mkuu nadhani FisadiKuu kakuelewa

Kuelewa huo upuuzi alioandika?? Mara aseme tuongelee Jiji sasahivi amegeuka anaongelea Meru ambako sio Jiji... Sasa mtu kigeugeu namna hiyo unamwona ana akili sawasawa?? Mwanza is less important maana population yake na ukubwa wake havirandani na kodi inayokusanywa.. Hutaki saga chupa unywe ukabishane na mashetani
 
bajeti ya serikali kuu inatokana Na tra - Tanzania revenue authority.

bajeti ya halmashauri inatokana Na vyanzo vya Mapato vya halmashauri.

tumia hizo hints zitakusaidia,

Nilifikiri unaongelea makusanyo ya halmashauri kumbe unaongelea Bajeti...
 
Huyo muache aendelee kupiga picha za wanaume wenzake na ku post na kudai ni makazi yao...
Si mlitaka muoneshwe makazi ya watu mmeonyeshwa mnalalamika tena nn....mmekuja arusha mnaishia barabarani alafu mnaenda kujitamba kwamba mnajua kila corner ya mji mm mwenyewe naishi njiro miaka mingi lakini sizifahamu sehemu zote na kila siku mazingira yanabadilika sasa iweje wewe wakuja uanze kujitamba unaifahamu njiro kiasi hicho.
 
Si mlitaka muoneshwe makazi ya watu mmeonyeshwa mnalalamika tena nn....mmekuja arusha mnaishia barabarani alafu mnaenda kujitamba kwamba mnajua kila corner ya mji mm mwenyewe naishi njiro miaka mingi lakini sizifahamu sehemu zote na kila siku mazingira yanabadilika sasa iweje wewe wakuja uanze kujitamba unaifahamu njiro kiasi hicho.
Upo Njiro sehemu gani...?! Lemara ama...?! Au Engutoto nitafute nikutoe offer ya kiroba...

Uje uwaambie na wenzako kama naishi barabarani...

Uje uwapatie habari njema na machalii wenzako nitakununulia boksi la viroba...

Machalii wenzako niliwapatia kibarua wamelegea kinyama, nikaingia mwanaume mwenyewe kupiga mzigo...

Dada zako wakawa wananichekea tu, na mimi bila hiyana na show love tu...
 
Back
Top Bottom