FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,337
- 13,656
Fisadikuu hivi arusha kuna raha gani Isiyokuwepo mwanza. Hujatembea wewe unaishi kwa kuambia. Nipo florida hotel hapa Arusha kesho nang'oka, sijaona raha yoyote ila nyie people mnatuzidi ubishi tu si kitu kingine. Mahaba yenu na mji wenu yamezidi mno, muwe mnasikiliza na mawazo ya wenzenu.
Ukija mjini sema uoneshwe mji.. Sasa eti upo hapo Florida ndio unapiga kelele