Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Kunawatu humu wanajifanya wanajua data sana. Tena hwa unakuta wamo humu wanajifanya wanajua mikoa wakati hta hwajawai toka nje ya mikoa yao.
 
Mi huu Uzi sijauelewa mnaongelea nn.maana mm nilijua kinachozungumziwa ni majiji.ukiongelea mahotel.mahotel meng ya arusha hayapo ndan ya jij.ukiongelea km za mraba za jj la arusha na mwz mwz ni kubwa.mkifananisha mahotel bora tz yapo Serengeti sio arusha.kuongelea mawe mwz n sawa na kusema misitu na mashamba ya kahawa arusha.ss mm sielewi ugomv upo wapi mpaka mnatukanana .
Kapanic huyo
 
Wewe binti nilikupa link ya TRA umeshaenda huko kujiangalizia Mwanza ilipo???
Ndyo wale wale unaojua kujifanya mnajua data. Swala kodi haliwezi kuwa kigezo kikubwa kujudge development ya mkoa flani. Ingekuwa ni kweli basi Arusha ingekuwa mara 2 ya mkoa wa mwanza kimaendeleo kutkana na izo data "zoko" lakini bado hya haijafikia mwanza.
 
Vipi huko milimani una choo au na wewe unakunya ziwani???
Hivi unakumbuka ile muvi ya yule mtasha alifanya research mwnz yan watu hawali samaki wanakula mapanki samaki zinaenda mbele mwanza oyee
 
Hivi unakumbuka ile muvi ya yule mtasha alifanya research mwnz yan watu hawali samaki wanakula mapanki samaki zinaenda mbele mwanza oyee

Sasa mkuu maskini atapata wapi pesa ya kununua samaki... Mpaka leo bado wanakula mapanki.. Alafu wanasema wana maendeleo hahahahaha ajabu sana
 
Ndyo wale wale unaojua kujifanya mnajua data. Swala kodi haliwezi kuwa kigezo kikubwa kujudge development ya mkoa flani. Ingekuwa ni kweli basi Arusha ingekuwa mara 2 ya mkoa wa mwanza kimaendeleo kutkana na izo data "zoko" lakini bado hya haijafikia mwanza.
Mwanza lazma iwe kubwa coz ina manispaa mbl na watu wengi but chakushangaza arusha inakusanya kodi nyng na gdp iko high mamy
 
Ata ukiulza arusha vs newyork me ntasema arusha kila mtu asifie kwao bhna aaaargh
 
Ata mkatae arusha is best than kwenu tuangalie ata mvuto tu cliton alikuja arusha obama nae kaja kwann hawakuja mwanza? wote apo hamna ata hotel ya maana dat y...
 
Hivi mkuu @mchomejr unajua AICC wanaanza ujenzi wa Ukumbi mkubwa Africa Mashari na kati wa mikutano utakaoitwa The Kilimanjaro International Conference Centre....?? Utagharimu karibu billion 210 za Kitanzania maeneo ya Njiro..??
Utakuja kuwauwa hawa waskuma mku!
 
Kijenge
78869.jpg
Tuma picha za unapoishi wewe au za nyumba yako sio kupigapiga pics apa za nyumba za watu.
 
Chaga ukandalization ata work, hii vita ya maneno hutawashinda wakina Mangi na manka, maana tabia ya umimi na usisi wamezaliwa nayo
 
Back
Top Bottom