Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

90%Ya wamasai ni waruraji mikoani. Kiuhalisia arusha inajengwa na wachagga kwa asilimia kubwa. Mwanza huijui. Hahahahaha wala sitokwi na povu jiamini.
Asilimia nyingi ya watu wa arusha ni waarusha, wa meru, wa chaga, wa rangi, wa iraq, wa nyaturu na wanyiramba. Wa masai wengi wao sio wazawa wa arusha kuna tofauti kati ya masai na mwarusha, arusha kuwa na wazawa wa kichaga ni rahisi kutokana na geographical location ya miji hii......

Waskuma hamuendelei kwa sababu ya muingiliano hafifu
Asilimia zaidi ya 80 ya watu wanao ishi mwanza ni waskuma maendeleo yanatoka wapi!!!

NB. Mandeleo sio majengo tu hata elimu nayo ni kati yanja muihimu kwenye mendeleo.

Tatizo La mwanza hata kam kuna mapambano ya maendeleo wana rudishwa nyuma na provincialism
 
Tuma picha za unapoishi wewe au za nyumba yako sio kupigapiga pics apa za nyumba za watu.

Wewe kenge siko hapa kusifia maisha yangu... Ila kila wiki nashuka hapo airport yenu mbovu Mwanza kwenda Geita na Shinyanga kubeba dhahabu... Ukihitaji Tanzanite pia nitafute.. Usione tunakaa hapa kuchangamsha jukwaa ukajua tunafanana maisha
 

Attachments

  • 1463336864399.jpg
    1463336864399.jpg
    39.3 KB · Views: 54
Wewe kenge siko hapa kusifia maisha yangu... Ila kila wiki nashuka hapo airport yenu mbovu Mwanza kwenda Geita na Shinyanga kubeba dhahabu... Ukihitaji Tanzanite pia nitafute.. Usione tunakaa hapa kuchangamsha jukwaa ukajua tunafanana maisha
Utakuwa mpare wewe jamaa kwa kujisifia nakupa A. Ila ni kubwa jinga 2.
 
Fisadi kuu inatosha watoto wadogo hao walikuwa wanachezea sharubu.

Arusha ni kitu kingine kabisa waache mboyoyo
 
Asilimia nyingi ya watu wa arusha ni waarusha, wa meru, wa chaga, wa rangi, wa iraq, wa nyaturu na wanyiramba. Wa masai wengi wao sio wazawa wa arusha kuna tofauti kati ya masai na mwarusha, arusha kuwa na wazawa wa kichaga ni rahisi kutokana na geographical location ya miji hii......

Waskuma hamuendelei kwa sababu ya muingiliano hafifu
Asilimia zaidi ya 80 ya watu wanao ishi mwanza ni waskuma maendeleo yanatoka wapi!!!

NB. Mandeleo sio majengo tu hata elimu nayo ni kati yanja muihimu kwenye mendeleo.

Tatizo La mwanza hata kam kuna mapambano ya maendeleo wana rudishwa nyuma na provincialism


Haupo sawa nazani huijui mwanza vyema kuhusu muingiliano, mwanza kuna wasukuma, wakurya wengi tu, wahaya wengi tu, na kabila ndogo ndogo nyingi tu; na kwa taarifa yako watu wa mwanza hawana ubaguzi wa aina yoyote kwa mgeni kuinvest kama huo mkoa mnaoulinganisha na mwanza....
 
Haupo sawa nazani huijui mwanza vyema kuhusu muingiliano, mwanza kuna wasukuma, wakurya wengi tu, wahaya wengi tu, na kabila ndogo ndogo nyingi tu; na kwa taarifa yako watu wa mwanza hawana ubaguzi wa aina yoyote kwa mgeni kuinvest kama huo mkoa mnaoulinganisha na mwanza....
Haha yote uliyo ya taja ni jipu kaka [emoji13] [emoji13]
 
Ata mkatae arusha is best than kwenu tuangalie ata mvuto tu cliton alikuja arusha obama nae kaja kwann hawakuja mwanza? wote apo hamna ata hotel ya maana dat y...
Pointless who is bush in Tanzania?.
 
Ata ukiulza arusha vs newyork me ntasema arusha kila mtu asifie kwao bhna aaaargh
Wengine tushajua toka kwamba u don't stand on reality mna mapenzi na jiji lenu. Mahaba yamewazidi hata kueleweshwa hamtaki. Kaeni hivyo hivyo.
 
Fisadikuu hivi arusha kuna raha gani Isiyokuwepo mwanza. Hujatembea wewe unaishi kwa kuambia. Nipo florida hotel hapa Arusha kesho nang'oka, sijaona raha yoyote ila nyie people mnatuzidi ubishi tu si kitu kingine. Mahaba yenu na mji wenu yamezidi mno, muwe mnasikiliza na mawazo ya wenzenu.
 
Hahaha fisadi nitafutie mlinzi wa geti. Nasikia arusha wapo kibao. Na mlio zamu mwende mtuachie kijiwe.
Uyo ni kubwa jinga hta uwezo wake wa kufikr ni mdogo. Anajisifia et anajua stareheee. Ndyo maana nkasema atakuwa ni mpare katokea kule vijijini moshi sasa kufika arusha anajiona kma vle kafka NY. Naona hta ubongo wake umeexpire. Kesho ukiletwa uzi kat ya Dar na Arusha mtamuona tu lazma atetee ujinga.

Nimemsoma muda mref anajifanya anajua kutoa data ila kaulizwa atoe data ibayoonyesha mjimkubwa wa 2 TZ ni arusha kaanza kutililika povu.
 
Haupo sawa nazani huijui mwanza vyema kuhusu muingiliano, mwanza kuna wasukuma, wakurya wengi tu, wahaya wengi tu, na kabila ndogo ndogo nyingi tu; na kwa taarifa yako watu wa mwanza hawana ubaguzi wa aina yoyote kwa mgeni kuinvest kama huo mkoa mnaoulinganisha na mwanza....
Unajua masikini akipata matako hulia....... ndo ninachokiona hapa, these people wanaona vighorofa vichache na ukumbi wa mikutano wa EAC vinawavimbisha vichwa wakati mji wao ni mdogo tu, congested still most areas are slums. Sanawari pale kwenda juu ni uswazi, ukipita m.meru hotel hakuna ishu tena hadi USA, leganga, sabato na maji ya chai. Na kuna mtu anaitamka usa utafikiri sisi hatupajui, tunawaangalia muonyeshe mapenzi yenu, wanadipromasia tunawachora tu.
 
Bado Ar wanakusanya kodi 234 bilioni wakati Mz wanakusanya 117 bilioni kwa mwaka!

Leteni facts achene porojo!!
 
Unajua masikini akipata matako hulia....... ndo ninachokiona hapa, these people wanaona vighorofa vichache na ukumbi wa mikutano wa EAC vinawavimbisha vichwa wakati mji wao ni mdogo tu, congested still most areas are slums. Sanawari pale kwenda juu ni uswazi, ukipita m.meru hotel hakuna ishu tena hadi USA, leganga, sabato na maji ya chai. Na kuna mtu anaitamka usa utafikiri sisi hatupajui, tunawaangalia muonyeshe mapenzi yenu, wanadipromasia tunawachora tu.
Mwanza hamna slums? tena afadhal za arusha zinapitika ata janga likitikea watu mnakaa juu ya mawe utasema magoromondo yanaota jua..apo hamna ata huduma za jamii uko juu..
 
Back
Top Bottom