Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Wewe maskini uiashie milimani pitia huu uzi wote tumeweka fact na maambatanisho yote muhimu yanayoonyesha Arusha kuna maisha bora kuliko Mwanza.. Tumeweka sources kutoka TRA, UN, NBS zote zimeiweka Arusha mbele ya Mwanza... Wewe tuwekee source moja tu inayoonyesha Mwanza ni zaidi ya Arusha..
Mwanza ni zaidi coz ina manispaa mbl ina ziwa victoria ina watu wengi..
 
Arusha inabebwa na middle class population ya watu wa kuja .. East Afica Community, ICTR, watalii, etc. Otherwise sioni tofauti ya hali ya watz wa kawaida wanaoishi Mwanza na Arusha .

Migodi inamilikiwa na watalii au watu wa kuja?? Hotels zote hapa Arusha zinamilikiwa na watu wa hapa.. Kampuni zote kubwa za kitalii zinamilikiwa na watu wa hapa.. Per capita income ya Arusha ni 2.1 M wakati Mwanza ni 1.7 M...
 
Wewe maskini uiashie milimani pitia huu uzi wote tumeweka fact na maambatanisho yote muhimu yanayoonyesha Arusha kuna maisha bora kuliko Mwanza.. Tumeweka sources kutoka TRA, UN, NBS zote zimeiweka Arusha mbele ya Mwanza... Wewe tuwekee source moja tu inayoonyesha Mwanza ni zaidi ya Arusha..
Ebu acha ujinga kijan, Mwanza inaizid arusha Kila kitu, ebu niambie kitu gan mmeizid mwnz kama Ni bangi na mirungi hapo sawa
 
Ur thinking capacity is 2 low, huwez kutukana watz kwasabab unasifia mkoa wako tu, na pia sijui Uwezo wa kipesa wa family yen kama n mkubwa koz watu wanaotamuka upuuz kama huyo asilimia kubwa wanakaa kwa wajomba na mashemeji zao hongera yako mtu msafi unayekula vzr

Sio mimi mkuu ni data zinasema hivyo hahahahaha... Mimi nalala kwa shemeji Njiro wewe unakaa huko milimani hata vyoo hamna
 
Migodi inamilikiwa na watalii au watu wa kuja?? Hotels zote hapa Arusha zinamilikiwa na watu wa hapa.. Kampuni zote kubwa za kitalii zinamilikiwa na watu wa hapa.. Per capita income ya Arusha ni 2.1 M wakati Mwanza ni 1.7 M...
Afu ictr iko mbioni kufungwa watu wengi washarud nchini kwao mkuu i thnk huu ndo mwaka wa mwsho
 
Ebu acha ujinga kijan, Mwanza inaizid arusha Kila kitu, ebu niambie kitu gan mmeizid mwnz kama Ni bangi na mirungi hapo sawa

Pitia uzi wote tumeweka kila kitu... Hatuwezi kurudia ila ukweli ndio huo
 
Afu ictr iko mbioni kufungwa watu wengi washarud nchini kwao mkuu i thnk huu ndo mwaka wa mwsho

Kuanzia mwaka juzi watu walishaanza kurudishwa makwao.. Kwanza hao wafanyakazi wa ICTR walikuwa wanafika hata elfu 20 ndio useme wana impact yoyote kubwa...
 
Kuanzia mwaka juzi watu walishaanza kurudishwa makwao.. Kwanza hao wafanyakazi wa ICTR walikuwa wanafika hata elfu 20 ndio useme wana impact yoyote kubwa...
Daa nakumbuka zaman 2007 kushuka chn ukiskia mtu ana job un n heshma mtaa
 
Ebu Google basi mikoa inayochangia pato kubwa Tanzania ujionee we kama arusha Imo hata top 5, nakufa hapa kwhy sijui unabishi nn

Wewe unaongelea Google?? Unaamini kila kinachoandikwa Google?? Weka verified source kutoka kwenye institution yeyote ya serikali usiniambie mambo ya Google hapa.. Weka data kutoka BOT au TRA au Wizara ya fedha inakoonyesha hayo unayosema
 
Wewe unaongelea Google?? Unaamini kila kinachoandikwa Google?? Weka verified source kutoka kwenye institution yeyote ya serikali usiniambie mambo ya Google hapa.. Weka data kutoka BOT au TRA au Wizara ya fedha inakoonyesha hayo unayosema
nahis naongea na mtu ambaye ana mawazo mgando sina uhakika kama umemaliza hata chuo we, Elim yako ndo inakuponza acha kukariri sawa, subiri supp MweZ wa tisa uende ukasapue zen urudi kubishana hapa
 
nahis naongea na mtu ambaye ana mawazo mgando sina uhakika kama umemaliza hata chuo we, Elim yako ndo inakuponza acha kukariri sawa, subiri supp MweZ wa tisa uende ukasapue zen urudi kubishana hapa

Hahahahahaha wewe kumaliza chuo hapo saut unajiona mjanja sio hahahahaha alafu umesoma sociology hahahahaha... Weka basi link za BOT zinazosema hayo unayosema wewe msomi wa degree
 
Watu wanaishi milimani kama kima alafu wanajifananisha na Arusha

Mi huu Uzi sijauelewa mnaongelea nn.maana mm nilijua kinachozungumziwa ni majiji.ukiongelea mahotel.mahotel meng ya arusha hayapo ndan ya jij.ukiongelea km za mraba za jj la arusha na mwz mwz ni kubwa.mkifananisha mahotel bora tz yapo Serengeti sio arusha.kuongelea mawe mwz n sawa na kusema misitu na mashamba ya kahawa arusha.ss mm sielewi ugomv upo wapi mpaka mnatukanana .
 
Hahahahahaha wewe kumaliza chuo hapo saut unajiona mjanja sio hahahahaha alafu umesoma sociology hahahahaha... Weka basi link za BOT zinazosema hayo unayosema wewe msomi wa degree
Siongei tena,,,,,,,,,,,,, Mt mwenyew anachekacheka tu
 
Mi huu Uzi sijauelewa mnaongelea nn.maana mm nilijua kinachozungumziwa ni majiji.ukiongelea mahotel.mahotel meng ya arusha hayapo ndan ya jij.ukiongelea km za mraba za jj la arusha na mwz mwz ni kubwa.mkifananisha mahotel bora tz yapo Serengeti sio arusha.kuongelea mawe mwz n sawa na kusema misitu na mashamba ya kahawa arusha.ss mm sielewi ugomv upo wapi mpaka mnatukanana .

Kama huelewi nyamaza hujalazimishwa kuchangia..
 
Back
Top Bottom