Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

mwanza
realestate.jpg
 
Haha kumbe watu wanakunya kwe mifuko..bado unasema huduma za kijamii
 
Teh teh teh....wala vumbi bana.

Sasa mnatambiana nini nyie..? Mavumbi na matope?
 
acha wenge jombaa nimemjibu jamaa kutokana alivyoandika sasa kama unakurupuka kuninukuu bila kujua nilianzia wapi kumjibu lazima ujivuruge kama hapo juu...
btw ni juhudi za wazawa kuuendelaza mji ndio umepelekea serikali kuweka hayo majengo ya hayo mashirika labda nikuulize kwanini wasingeweka singida au geita? au hiyo barabara ya arusha to mshi/taveta holili isingeanzia moshi tu,?
 
Located at Sekei.... Nyumba za Arusha lazima ziwe na garden nzuri ya kupumzika sio nyumba inazungukwa na mawe..
SAM_1816.jpg
 
Back
Top Bottom