Onyesha mtaa bob sio maghorofaView attachment 347791 Just to show you how mwanza is..,
hahahahahahahahaaha Mkuu Mwanza wana picha zao tatu wanazipenda kweli kweli.. Kuna hiyo aliyoweka huyo jamaa na nyingine ni hii..Unarudia picha mkuu kama hii imewekwa zaidi ya mara 3.
Alafu wanasema eti mitaa ya Arusha mibaya hahahahaha.. Sasa hapo Capri Point haifikii hata Shanty Town ya MoshiSehemu imejengwa inaonekana vzur sio unajenga nyumba na mimawe inaeka show mbaya
Maana upande wa Mwanza wameisha ama...?! Na hawawezi kuvuka kuja Mwanza kutokea kipande cha Musoma...Oky zimetoka ziwa victoria upande wa musoma nmeconclude mkuu
Daaaaahh matajiri wa Mwanza hata garden hakuna hahahahaha sasa huko milimani mnasemaje barabara za mitaa ya Arusha mbovu?? Hivi Ki vits ukikipandisha huko mwaka mmoja tu si kinakufa..mwanza
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hii ni sehemu tu ya capri point, honestly kwa aliyefika miji yote miwili, atakuwa na elewa dhahiri kuwa Arusha ipo juu kwa kuwa na hotel za kisasa na si miundo mbinu, kupangika kwa mji, wingi wa majengo, upana wa mji, wepesi wa huduma za kijamii, wepesi wa maisha n.khahahahahahaaaa ndio matajiri wanakaa huko?? Wanaishi na mawe
Vipi mitaa ya Sinoni...?!Onyesha mtaa bob sio maghorofa
hahahahahahahahaha utawauaaa... Wanakaa milimani na mawe
Hahahaha...na bado wanaanza kujenga nyingine zaidi ya hiyo.hahahahahahahahaha utawauaaa... Wanakaa milimani na mawe
Wepesi wa huduma za kijamii??? Mna hospital ngapi zenye hadhi hapo zaidi ya Bugando????Hii ni sehemu tu ya capri point, honestly kwa aliyefika miji yote miwili, atakuwa na elewa dhahiri kuwa Arusha ipo juu kwa kuwa na hotel za kisasa na si miundo mbinu, kupangika kwa mji, wingi wa majengo, upana wa mji, wepesi wa huduma za kijamii, wepesi wa maisha n.k
hahahahahaha na bado satellite city...Hahahaha...na bado wanaanza kujenga nyingine zaidi ya hiyo.
Hospitali yenywe ya mkoloni..Wepesi wa huduma za kijamii??? Mna hospital ngapi zenye hadhi hapo zaidi ya Bugando????
Acha kudanganya wewe... Kodi mnapitwa mbali sana na kamji kadogo chenye population ya watu laki 8 tu wakati Mwanza mpo Million 3... Mwanza hamjaizidi Arusha kwa chochote... Huduma za kijamii hakuna huko milimani na wakati 70% ya wakazi wa Mwanza wanaishi huko...Hii ni sehemu tu ya capri point, honestly kwa aliyefika miji yote miwili, atakuwa na elewa dhahiri kuwa Arusha ipo juu kwa kuwa na hotel za kisasa na si miundo mbinu, kupangika kwa mji, wingi wa majengo, upana wa mji, wepesi wa huduma za kijamii, wepesi wa maisha n.k
Saiv mji unahamia usa tengeru ngaramtoni moshono mromboo na kisongo inakuja kwa viwandahahahahahaha na bado satellite city...
Huko milimani watu wanalalamika hakuna huduma yoyote ya kijamii na kama mtu akiumwa ghafla huwa wanapiga filimbi ili watu wakusanyike wamsaidie kumbeba mpaka mjini hahahahaha yaani jamaa bado wanaishi primitive life alafu hapa kelele nyingiiHospitali yenywe ya mkoloni..
Alafu wapo busy kusema Arusha mji mdogo wakati ukidrive Arusha to Moshi sehemu ambayo haijajengwa ni ile hifadhi ya ardhi ya KIA pekee...Saiv mji unahamia usa tengeru ngaramtoni moshono mromboo na kisongo inakuja kwa viwanda