Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

We si ndio umesema wanajenga wazawa wa Arusha, EAC imetokea wapi tena...?!

Hivi ile Barabara ya Sakina-Tengeru ni wazawa wapi wanaojenga...?!

na yale maghorofa ya NSSF na PPF ni wazawa gani wa Arusha walioyajenga...?!

na AICC ni mzawa gani aliyejenga...?!

vile vyuo ni mzawa gani alivijenga...?!
acha wenge jombaa nimemjibu jamaa kutokana alivyoandika sasa kama unakurupuka kuninukuu bila kujua nilianzia wapi kumjibu lazima ujivuruge kama hapo juu...
btw ni juhudi za wazawa kuuendelaza mji ndio umepelekea serikali kuweka hayo majengo ya hayo mashirika labda nikuulize kwanini wasingeweka singida au geita? au hiyo barabara ya arusha to mshi/taveta holili isingeanzia moshi tu,?
 
acha wenge jombaa nimemjibu jamaa kutokana alivyoandika sasa kama unakurupuka kuninukuu bila kujua nilianzia wapi kumjibu lazima ujivuruge kama hapo juu...
btw ni juhudi za wazawa kuuendelaza mji ndio umepelekea serikali kuweka hayo majengo ya hayo mashirika labda nikuulize kwanini wasingeweka singida au geita? au hiyo barabara ya arusha to mshi/taveta holili isingeanzia moshi tu,?
Juhudi za wazawa wapi si ndio uwataje wazawa wa wapi walifanya juhudi vyuo vikajengwa, majengo yakapelekwa huko...?!

halafu na serikali ipi iliona juhudi za wazawa kwamba wakasema tunajenga haya majen go tunapanua na barabara sababu tumeona juhudi za wazawa wamasai na wameru...

Hivi unataka kuniambia Wazawa wa Arusha wana juhudi kuzidi wazawa wa Kilimanjaro...?!
 
Juhudi za wazawa wapi si ndio uwataje wazawa wa wapi walifanya juhudi vyuo vikajengwa, majengo yakapelekwa huko...?!

halafu na serikali ipi iliona juhudi za wazawa kwamba wakasema tunajenga haya majen go tunapanua na barabara sababu tumeona juhudi za wazawa wamasai na wameru...

Hivi unataka kuniambia Wazawa wa Arusha wana juhudi kuzidi wazawa wa Kilimanjaro...?!
inamaana pale mt meru hosipitali wanazaliwa wameru na wamasai tu hivi soko la tengeru wanaofanya biashara pale ni wachaga tu vipi kuhusu kisongo ngaramtoni huko nako ni wachaga tu ndo wanafanya kazi .....
btw unajua kuna utofauti kati wamasai na waarusha japo ni ndogo wamasai wapo mbali na jiji wakati waarusha wapo jirani na jiji mf sekei sanawari ya juu ngulelo moshono nk unadhani hawana mchango katika kukuza jiji au unadhani kwanini wachaga wali toka kilimanjaro wakaja arusha kwanini wasingeenda manyara au singida,?
 
inamaana pale mt meru hosipitali wanazaliwa wameru na wamasai tu hivi soko la tengeru wanaofanya biashara pale ni wachaga tu vipi kuhusu kisongo ngaramtoni huko nako ni wachaga tu ndo wanafanya kazi .....
btw unajua kuna utofauti kati wamasai na waarusha japo ni ndogo wamasai wapo mbali na jiji wakati waarusha wapo jirani na jiji mf sekei sanawari ya juu ngulelo moshono nk unadhani hawana mchango katika kukuza jiji au unadhani kwanini wachaga wali toka kilimanjaro wakaja arusha kwanini wasingeenda manyara au singida,?
Si ndio nakuuliza hao wazawa wa hapo Sekei, Moshono, Sanawari walifanya juhudi gani kuiweka Arusha ilipo hapo...?!

kiasi kwamba wazawa wa mikoa mingine walishindwa, yaani wazawa wa Sekei wameshindwa kupaweka fresh Sekei wameenda kushusha majengo na kujenga barabara kule centre...?!
 
Si ndio nakuuliza hao wazawa wa hapo Sekei, Moshono, Sanawari walifanya juhudi gani kuiweka Arusha ilipo hapo...?!

kiasi kwamba wazawa wa mikoa mingine walishindwa, yaani wazawa wa Sekei wameshindwa kupaweka fresh Sekei wameenda kushusha majengo na kujenga barabara kule centre...?!
kwani wewe sekei unaionaje!...
 
Si ndio nakuuliza hao wazawa wa hapo Sekei, Moshono, Sanawari walifanya juhudi gani kuiweka Arusha ilipo hapo...?!

kiasi kwamba wazawa wa mikoa mingine walishindwa, yaani wazawa wa Sekei wameshindwa kupaweka fresh Sekei wameenda kushusha majengo na kujenga barabara kule centre...?!
Acha ubishi usio na tija mkuu...majengo mengi ya kibiashara arusha,,hotel nyingi na hata mashimo kule mereran yanamilikiwa na wazawa wa hapa hapa...anapoongelea wazawa sio lazima wawe wameru na wamasai,,,ni watanzania waliozaliwa na kukulia arusha,,,mfano kuna wameru wamezaliwa mwanza na kukulia mwanza huyo ana haki ya kujiita ni mzawa wa mwanza hii ndo tz mambo ya kikabila nyerere alishazuia.
 
kwani wewe sekei unaionaje!...
Naona kawaida tu, mvua ikinyesha lile tope si mchezo gari zinateleza ni maeneo mengi tu ukiacha Sekei, kule Olerien ukienda hadi Moshono lile tope wakati wa mvua ni soo...

Bado kule kwa Morombo, maeneo ya Mbauda yaani ni sehemu nyingi tu jua likiwa kali na penyewe ni shida tu, vumbi kinyama...

Sasa nakuliza kwanini hao wazawa wenye juhudi wasiweke lami kwenye hiyo mitaa, hata kule Njiro kule Lemara ni vumbi tu na hata kule Themi...
 
Acha ubishi usio na tija mkuu...majengo mengi ya kibiashara arusha,,hotel nyingi na hata mashimo kule mereran yanamilikiwa na wazawa wa hapa hapa...anapoongelea wazawa sio lazima wawe wameru na wamasai,,,ni watanzania waliozaliwa na kukulia arusha,,,mfano kuna wameru wamezaliwa mwanza na kukulia mwanza huyo ana haki ya kujiita ni mzawa wa mwanza hii ndo tz mambo ya kikabila nyerere alishazuia.
Maliza kwa kumwambia tunaposema wazawa hapa Arusha tunamaanisha Wamasai, Wameru, Waarusha, Wachagga na Wapare... Hiyo ndio Northern Empire..
 
Acha ubishi usio na tija mkuu...majengo mengi ya kibiashara arusha,,hotel nyingi na hata mashimo kule mereran yanamilikiwa na wazawa wa hapa hapa...anapoongelea wazawa sio lazima wawe wameru na wamasai,,,ni watanzania waliozaliwa na kukulia arusha,,,mfano kuna wameru wamezaliwa mwanza na kukulia mwanza huyo ana haki ya kujiita ni mzawa wa mwanza hii ndo tz mambo ya kikabila nyerere alishazuia.
Hayo maghorofa mengi yaliyojengwa na wazawa ni yapi...?! Kuzidi project za serikali...

Hivi Mererani ni Arusha au ni Simanjiro Manyara...?!
 
Jacaranda Trees in Arusha...
arusha_town_meru.jpg


Walk babe walk.. Town Tour
Arusha-City-Tour-2.jpg
10852259154_4a88af575d_b.jpg
 
Naona kawaida tu, mvua ikinyesha lile tope si mchezo gari zinateleza ni maeneo mengi tu ukiacha Sekei, kule Olerien ukienda hadi Moshono lile tope wakati wa mvua ni soo...

Bado kule kwa Morombo, maeneo ya Mbauda yaani ni sehemu nyingi tu jua likiwa kali na penyewe ni shida tu, vumbi kinyama...

Sasa nakuliza kwanini hao wazawa wenye juhudi wasiweke lami kwenye hiyo mitaa, hata kule Njiro kule Lemara ni vumbi tu na hata kule Themi...
kwani hapo mwanza ni wazawa ndo wamejenga lami
 
Naona kawaida tu, mvua ikinyesha lile tope si mchezo gari zinateleza ni maeneo mengi tu ukiacha Sekei, kule Olerien ukienda hadi Moshono lile tope wakati wa mvua ni soo...

Bado kule kwa Morombo, maeneo ya Mbauda yaani ni sehemu nyingi tu jua likiwa kali na penyewe ni shida tu, vumbi kinyama...

Sasa nakuliza kwanini hao wazawa wenye juhudi wasiweke lami kwenye hiyo mitaa, hata kule Njiro kule Lemara ni vumbi tu na hata kule Themi...
Kwahiyo unataka kusema mwanza mitaani kote kuna lami adi getini kwako go straight to the point nigga
 
Kwahiyo unataka kusema mwanza mitaani kote kuna lami adi getini kwako go straight to the point nigga
Mwambie aweke picha za huko mitaani kama mimi navyomwekea.. Hivi kuna miji yetu huku Africa isiyo na makazi ambayo hayajapangika?? Jiji kuu lenyewe Dar ziko sehemu kibao tu za hovyo
 
Kwahiyo unataka kusema mwanza mitaani kote kuna lami adi getini kwako go straight to the point nigga
Nataka kuwaonyesha sifa mnazojipa ni maneno mengi tu na kuonyesha uwezo wa kupayuka lakini haziendani na uhalisia...

Kuna mwingine naona ana post picha eti makazi ya watu, analeta picha za PPF Olerien na maeneo mengine ya apartment usikute yeye mwenyewe anayepost hizo picha yupo Chekereni au Mwanama Relini, halafu analeta mbwembwe nyingi...
 
Uliwahi kuona wapi mji wowote mkubwa stendi ya mabasi yakwenda mikoani na inch za jiran inakaa ktk ya mji?hiyo tu niashara yakwamba mji bado nimdoja sana yaana haujapanuka bado
 
Back
Top Bottom