Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Njiroo

Modern-Apartments-Njiro-Flats-apartments-For-sale-at-All-Tanzania.jpg
Modern-Apartments-Njiro-Flats-apartments-For-sale-at-All-Tanzania_1.jpg
 
Ni wa musoma mkuu
Kwa hiyo Ziwa Victoria la Mwanza na Musoma yanatofautiana...?!

Unataka kutuambia kuna ka mpaka samaki wa Bukoba, Mara na Mwanza hawaingiliani wala hawaruhusu kusafiri sehemu nyingine...?!

kwa hiyo ziwa Victoria la Mwanza limeishiwa Samaki...?! Wamebaki ziwa victoria la Musoma...?!
 
Kwa hiyo Ziwa Victoria la Mwanza na Musoma yanatofautiana...?!

Unataka kutuambia kuna ka mpaka samaki wa Bukoba, Mara na Mwanza hawaingiliani wala hawaruhusu kusafiri sehemu nyingine...?!

kwa hiyo ziwa Victoria la Mwanza limeishiwa Samaki...?! Wamebaki ziwa victoria la Musoma...?!
Kwahyo kama wametoka musoma unataka niseme ni mwnza unaforce mambo asee..au ziwa ni mali ya mwanza tu
 
Kwahyo kama wametoka musoma unataka niseme ni mwnza unaforce mambo asee..au ziwa ni mali ya mwanza tu
Msome yule mwenzako aliyedai samaki wameisha ziwa Victoria, halafu kumbe huwa wana nembo kwamba hawa samaki ni wa Musoma...

Wewe huwa unauza samaki...?!
 
Msome yule mwenzako aliyedai samaki wameisha ziwa Victoria, halafu kumbe huwa wana nembo kwamba hawa samaki ni wa Musoma...

Wewe huwa unauza samaki...?!
We unataka kusema izi samaki zote ni za mwanza zipo za musoma man
 
Back
Top Bottom