Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Kwani kuna lipi Arusha
Mpaka kuidharau Mwanza!?

Arusha hakuna lolote mji wenyewe kilometa 1 za mraba

Mwanza level nyingine bwana

Hayo madharau waambie wenzo wa mwanza kwa kuwa na mji kmeo wala co jj unathubutu kuilinganisha jj la a town na hicho k mji cha mwanza

Mmeanza kubaguana ndani ya Tanganyika wenyewe kwa wenyewe.
 
Rock city Mwanza
a252447f29ba117fbde0ae0c4c20b9f6.jpg
b0b06aead6805ed32cb681cfcb73f4bb.jpg
35354d8ed367641eb379a2b9e50c9dc3.jpg
f5f9e95bee83200daa7c78209d3dd951.jpg
8c991203e78551d268f0583dcb1c4e97.jpg
5a393ffe2e90419db7cefbf6817450c3.jpg
Mbna,unarudia izo izo
 
Wana JF

Sina lengo laku pambanisha Mwanza Vs Arusha ila kiukweli nashindwa kuelewa nini kimeisibu Mwanza.

Mwaka 2002 Nikiwa shuleni Mwanza nilijiona kama nipo Dar ndogo.Mwanza ilikuwa motoMambo yalikwenda faster mji ulikua unakua kwa kasi sana

Nilikuwa nikiamini kufikia 2015 jiji la Mwanza litakuwa la mfano kwa ukuaji wake cha ajabu na kushangaza Arusha ndio inakuja faster huku Mwanza ikidorola kama mtoto mwenye utapia mlo kulikoni.

Tatizo nini Mwanza?Kama kuongozwa imeongozwa na CDM muda mzuri tu kwanini Haipai kwa kasi ilee!?

Nashindwa hata kulinganisha Mwanza VS Arusha maana Arusha kwasasa ipo moto vibaya kama hali itaendelea kuwa hivi tutegemee Arusha kuwa ndio jiji la pili kwa ukubwa Mwanza inakuja kupitwa na Dodoma itanikera sana.
2002 enzi za RC Ole Njoolai? Aliweka jiji likawa na nidhamu
 
Hapa tunazungumzia Mwanza na Arusha... Researchers hawakusanyi data kama wewe utakavyo au unavyotaka iwe... Ila kama unataka hicho unachosema wewe, basi na wewe leta hapa verified data kutoka any verified organization ambayo inaonyesha Jiji la Mwanza lina maisha bora kuliko Jiji la Arusha.. Hatutaki utuwekee picha na maneno ya vijiweni..

unazungumzia maisha bora! maisha bora ni ya kwako binafsi na familia yako, usije ukajidanganya wale ombaomba dar wana maisha bora zaidi ya karim wa karagwe nayemiliki viwanda vya kahawa na vituo vya mafuta. au wale wanaofanya kazi ngumu kwenye migodi ya makaa ya mawe kule china na india na juzi hapa walikuwa wanalalamika hakuna maji eti wana maisha bora kuliko mie wa wa tz ambaye naoga maji ya kutosha kwenye bomba la mvua, nakula sato fresh, nk. ubora wa maisha yako hauko kwenye makaratasi aisee
wakati mkazi wa arusha tiba ikikosekana hospital ya mkoa itambidi asafiri kutafuta tiba mkoa mwingine, mkazi wa mwanza ikishindikana hospital ya mkoa atapewa rufaa ya bugando ndani jiji.
wakati mkazi wa jiji la arusha akitaka kupanda ndege ya abiria atambidi asafiri hadi nje ya jiji na nje ya mkoa, mkazi wa mwanza anapanda ndege ndani ya jiji.
wakati mkazi wa mwanza yule wa chini kabisa ambaye hana bomba la maji ananinua dumu la lita 20 la maji safi kwa tsh. 50 mkazi wa arusha ananunua maji ya chumvi kwa tsh 1000 meno
machafu kama nini.
wakati mkazi wa kawaida wa jiji la mwanza anaoga maji ya presha ya kutosha kwenye bomba la mvua mkazi wa kawaida wa jiji la arusha anaoga maji ya kwenye kindoo tena nusu.
wakati habari za kimataifa kwa lugha ya kiswahili za bbc watanzania wanazitazama kupitia startv live kutoka mwanza city, jiji la arusha hakuna tv station inayotazamwa hata monduli.
wakati wakaz wa mwanza wanavuka barabara juu kwa juu wanaarusha wanavizia kama panya gari iko mbali ndo wanavuka tena kwa mbio kali mno! ebo mtavunjika miguu.
 
Wewe ndio hauna akili, si umetuambia ya kwamba Mwanza imepitwa hadi na Ruvuma ukatumia hizo dat hapo juu...

Ndio maana nakuuliza kwa hiyo na Ruvuma imeipita na Arusha...?! Sababu hizo data unazozitumia zinaonyesha hivyo...

Nilikupa jedwali la kuonyesha kila mkoa unachangia kiasi gani katika pato la Taifa lakini umekataa unaleta siasa katika Takwimu, lile jedwali la ukurasa wa 45 hata ulielezei umekalia mara oooh mashimo migodi... wananchi maskini...
Akili mzigo, sasa ngoja nikufundishe Ruvuma imeizidi Arusha kwa GDP per capita ila Arusha imeizidi Ruvuma kwa tax collections... Ruvuma imeizidi Mwanza kwa GDP per capita lakini Mwanza imeizidi Ruvuma kwa Tax collection.. Arusha imeizidi Mwanza GDP per capita na Arusha pia imeizidi Mwanza kwa Tax collections...

Lakini bado report ikaendelea kusema mikoa pekee yenye maendeleo hapa Tanzania ni Dar, Arusha na Kilimanjaro...

hdi.png


Hayo waliyasema hapa...
hdi3.png


Lakini pia wakaorodhesha na mikoa mingine yenye maisha yanayoridhishwa kwa ujumla.. hapa
hdi4.png


Huko kote Mwanza mmewekwa mko kwenye mikoa yenye maisha duni... Sio mimi ni researchers wa UN wakishirikiana na Serikali yako... Na bado TRA inasema Arusha inakusanya kodi zaidi ya Mwanza
 
SASA NDUGU ZANGU WA MWANZA KWAKUWA KWA DATA MMESHINDWA NA SASA MNATAKA PICHA BASI BILA HIYANA TUTAENDA KWENYE PICHA AMBAKO SASA NDIO HOPE YENU PEKEE ILIYOBAKI...
Hapa ndipo nilikuwa napasubiri......Kwenye data wamekimbia...hapa kwenye pic itakuwa balaa tupu..
 
Huku ni mitaani tu... Kama kuna mtaa kama huu Mwanza wekeni picha..

14-1.jpg
 
Back
Top Bottom