Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Kuna kitu mnachanganya kuhusu uchangiaji wa pato la taifa Na Kodi zile za tra.
uchangiaji pato la taifa Ni uhalisia wa kile ambacho mkoa unazalisha ns kuchangia kwenye
pato la taifa bila kujali Kodi zinalipiwa mkoa gani. mfano serikali inaangalia Mapato ya Samaki
wa mwanza yalikuwa kiasi gani bila kujali Kodi zililipwa wapi, Samaki wa mwanza wakati mwingine wanasafirishiwa Kilimanjaro, Kodi zitalipwa Kia, kwa tra Mapato yatakuwa Kia, lakini Sasaki wametoka mza. Ni mfano tu.
uchangiaji pato la taifa Ni uhalisia wa kile ambacho mkoa unazalisha ns kuchangia kwenye
pato la taifa bila kujali Kodi zinalipiwa mkoa gani. mfano serikali inaangalia Mapato ya Samaki
wa mwanza yalikuwa kiasi gani bila kujali Kodi zililipwa wapi, Samaki wa mwanza wakati mwingine wanasafirishiwa Kilimanjaro, Kodi zitalipwa Kia, kwa tra Mapato yatakuwa Kia, lakini Sasaki wametoka mza. Ni mfano tu.