Kuiga si tatizo ndugu. Maendeleo yanakuja kwa kujifunza toka kwa walioendelea sio walioshindwa. Unajua watu wengi waishio Arusha wapo very competitive ukilinganisha na sehemu kama Mwanza. Hii imesaidia sana machalii kujua kutumia fursa. Hii ni attitude nzuri kuhusu maisha, watu wa Mwanza mjifunze pia. Arusha ndio sehemu bora zaidi kuishi Tanzania, takwimu inathibitisha hili. Mwanza hata changamoto ya matumizi ya vyoo bora bado ni tatizo kubwa. Naipenda Mwanza nimesoma Mwanza ila uhalisia ndio huo rafiki.