mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Ni kweli mkuu we angalia vizuri ni Kama anataka kulia, kukosa vieteee roho inauma kweli yaani
Leo ndio amepata jibu kama kafa au yupo hai
Niliposikia Magufuli kafa, nilihisi na mimi nimekufa - RC Chalamila
Yaani nimecheka balaa, kweli kifo kifo tuu hakina mjuzi Wangari Maathai njoo msikie kaka yako hapa
www.jamiiforums.com