Mwanza: Chalamila akabidhi ofisi kwa RC mteule

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,005
9,872
1623414630543.png

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Robert Gabriel leo Ijumaa Juni 11, 2021 amewasili jijini Mwanza kwa ajili ya makabidhiano ya ofisi na mtangulizi wake, Albart Chalamila ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Amefika katika ofisi za mkuu wa mkoa leo saa 4:50 asubuhi na kupokelewa na wajumbe wa kamati ya amani ya mkoa huo.

Kwa mujibu wa katibu mieka wa mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Matia Levi amesema makabidhiano baina ya wawili hao yanatarajiwa kufanyika wakati wowote leo.

Katika mabadiliko ya wakuu wa mikoa yaliyofanywa na Rais Samia leo, aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ally Hapi amehamishiwa mkoani Mara kuchukua nafasi ya Gabriel huku aliyekuwa katibu tawala wa Mkoa wa Shinyanga, Dk Batilda Buriani akiteuliwa kuchukua nafasi ya Hapi.

1623414618303.png

1623414642321.png
 
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Robert Gabriel leo Ijumaa Juni 11, 2021 amewasili jijini Mwanza kwa ajili ya makabidhiano ya ofisi na mtangulizi wake, Albart Chalamila ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Amefika katika ofisi za mkuu wa mkoa leo saa 4:50 asubuhi na kupokelewa na wajumbe wa kamati ya amani ya mkoa huo.

Kwa mujibu wa katibu mieka wa mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Matia Levi amesema makabidhiano baina ya wawili hao yanatarajiwa kufanyika wakati wowote leo.

Katika mabadiliko ya wakuu wa mikoa yaliyofanywa na Rais Samia leo, aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ally Hapi amehamishiwa mkoani Mara kuchukua nafasi ya Gabriel huku aliyekuwa katibu tawala wa Mkoa wa Shinyanga, Dk Batilda Buriani akiteuliwa kuchukua nafasi ya Hapi.

Huyu clown leo atalewa kinyama 😃 ogopa kitu inaitwa stress. Gari la mizigo yake lilikuwa Tabora kutoka Mbeya nadhani watageuza leo wairudishe mizigo yake iende kijijini kwao. Ajipange na ubunge kama atatoboa.
 
Huyu clown leo atalewa kinyama 😃 ogopa kitu inaitwa stress. Gari la mizigo yake lilikuwa Tabora kutoka Mbeya nadhani watageuza leo wairudishe mizigo yake iende kijijini kwao. Ajipange na ubunge kama atatoboa.
Hv ni kweli lile lory jamani hahahahaa watz hatuna kazi za kufanya jaman..tunafatilia petty issues balaaa🤣🤣
 
Huyu clown leo atalewa kinyama 😃 ogopa kitu inaitwa stress. Gari la mizigo yake lilikuwa Tabora kutoka Mbeya nadhani watageuza leo wairudishe mizigo yake iende kijijini kwao. Ajipange na ubunge kama atatoboa.
Mzee huko kwenye ubunge ndio kabisaa 2025 ni vichwa tupu vinaingia
 
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Robert Gabriel leo Ijumaa Juni 11, 2021 amewasili jijini Mwanza kwa ajili ya makabidhiano ya ofisi na mtangulizi wake, Albart Chalamila ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Amefika katika ofisi za mkuu wa mkoa leo saa 4:50 asubuhi na kupokelewa na wajumbe wa kamati ya amani ya mkoa huo.

Kwa mujibu wa katibu mieka wa mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Matia Levi amesema makabidhiano baina ya wawili hao yanatarajiwa kufanyika wakati wowote leo.

Katika mabadiliko ya wakuu wa mikoa yaliyofanywa na Rais Samia leo, aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ally Hapi amehamishiwa mkoani Mara kuchukua nafasi ya Gabriel huku aliyekuwa katibu tawala wa Mkoa wa Shinyanga, Dk Batilda Buriani akiteuliwa kuchukua nafasi ya Hapi.

JPM,alitamba sana,akadharau korona,ikamuondoa,
Makonda,akatamba sana,akaonea sana,alipoenda kugombea ubunge,mwisho wake ukafika,
Huyu chalamila,alionywa sana,akavimbisha kichwa,leo matamshi yake tu,yamemuondoa,
 
Huenda ukawa ndio mwisho wa hadithi kumuhusu Chalamaila kwenye vyeo vya uteuzi...

Kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho
 
Back
Top Bottom