macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,443
- 38,684
Huyu ni zimepungua kichwani tu. Mambo ya ukatili hajui. Upepo unakoelekea na yeye ni huko huko. Inaonekana akipata msosi na bia wala hawazi kingine. Ila mahesabu safari hii yameenda kombo. Unajua alipoteuliwa kuendelea na ukuu wa mkoa akafikiri mizaha yake ya wakati wa mwendazake ndiyo imemfanya mama amkubali. Hivyo akajaribu kuendeleza ili apendwe zaidi. Kumbe alikosea mahesabu.Yaan mm ilikua nikimuona naanza kucheka...ameniuma...ila huyu hajatocha watu kama sabaya na makonda!