win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 10,242
- 34,876
safi na haujamaliza kunieleza kunanini ๐ hebu funguka MENEMENE TEKERI NA PERESISafi
safi na haujamaliza kunieleza kunanini ๐ hebu funguka MENEMENE TEKERI NA PERESISafi
Nitaacha pombe na nimependa nikupe hii siri wewe tusafi na haujamaliza kunieleza kunanini ๐ hebu funguka MENEMENE TEKERI NA PERESI
oooh siri iko sehem salama,, hongera pia kwa kuacha pombeNitaacha pombe na nimependa nikupe hii siri wewe tu
eh mbona jana imepita na haujanitajia yale majina mawili yalobaki whyRIP ndugu yangu katika bia.
Yeye ameshaenda. Waliobaki kesi wanayo. Yaan watataabika kwa 8k.
Mara nyingne hatua tunazochukua kusort tatizo ni muhimu kufikiria matokeo yake.
Hata kama wasingemuua. Ile kumpiga tu na kumuumiza. Angeenda chukua PF3 alaf akaenda tibiwa hosp. Akalipa hela na akarud kudai hela zake za matibabu pamoja na gharama za usafiri. Ambayo still ingekuwa gharama kwa Wenye Bar zaid ya hiyo 8k aliyokuwa anadaiwa.
Hapo wangechukua simu. Au wangemvua viatu na shat. Au chochote tu.
Aisee hata mimi nimeumia sanaRIP ndugu yangu katika bia.
Yeye ameshaenda. Waliobaki kesi wanayo. Yaan watataabika kwa 8k.
Mara nyingne hatua tunazochukua kusort tatizo ni muhimu kufikiria matokeo yake.
Hata kama wasingemuua. Ile kumpiga tu na kumuumiza. Angeenda chukua PF3 alaf akaenda tibiwa hosp. Akalipa hela na akarud kudai hela zake za matibabu pamoja na gharama za usafiri. Ambayo still ingekuwa gharama kwa Wenye Bar zaid ya hiyo 8k aliyokuwa anadaiwa.
Hapo wangechukua simu. Au wangemvua viatu na shat. Au chochote tu.
Kuna moja lipo kitambaa cheupe tabata linatabia ya kufosi kulipa tipu au kufosi kinywaji..Kaka usiwe unayaambia hayo majamaa ,ni mabishi sana alafu yanaringa .
Siku ukijaa kwenye hamsni zao ,yanapiga kweli kweli alafu yanapiga sehemu sensitive kabisa
Si unaona kabisa niko kwenye maombolezo ya msiba wa ndugu yangu. Hebu subiria basi tumalize msiba๐๐๐๐.eh mbona jana imepita na haujanitajia yale majina mawili yalobaki why
Amina Amina.Aisee hata mimi nimeumia sana
Ila siku ukidakwa huko bar
Nishtue nitasongesha wasije wakakuumiza๐ข
Castle_Lite ndugu katika ๐ป
Hilo ni lindugu na matimla na pia linatokea keko ,lilikuwa likabaji ,siku nastuka eti limeibukia kwenye ubaunsa .Kuna moja lipo kitambaa cheupe tabata linatabia ya kufosi kulipa tipu au kufosi kinywaji..
Sasa mimi huwa simpi hadi kaniwekea kinyongo
huyo wa kunaindikia waraka atakua anajiingiza matatizoni tu maana nishaeleza mara kibao kwangu hakuna kila kitu labda kama ni wale wa "kikubwa awe anapumua",,๐๐๐ ndo naweza kumpa nafasiSi unaona kabisa niko kwenye maombolezo ya msiba wa ndugu yangu. Hebu subiria basi tumalize msiba๐๐๐๐.
By the way wanawake wa JF mmewakatisha tamaa majamaa wa waraka.
Mngezubaa tu kidogo waraka zingekuwa nying kama agano jipya ๐๐๐๐
Waraka wa Win-one sijui utakuwa na sura ngap.
Ahsante Win ,kwaherioooh siri iko sehem salama,, hongera pia kwa kuacha pombe
Astghafirullah nani kawachamba ๐คฃSi unaona kabisa niko kwenye maombolezo ya msiba wa ndugu yangu. Hebu subiria basi tumalize msiba๐๐๐๐.
By the way wanawake wa JF mmewakatisha tamaa majamaa wa waraka. Mmewachamba sana.
Mngezubaa tu kidogo waraka zingekuwa nying kama agano jipya ๐๐๐๐
Waraka wa Win-one sijui ungekuwa na sura ngap.
Aione rafiki yangu Associate profSi unaona kabisa niko kwenye maombolezo ya msiba wa ndugu yangu. Hebu subiria basi tumalize msiba๐๐๐๐.
By the way wanawake wa JF mmewakatisha tamaa majamaa wa waraka. Mmewachamba sana.
Mngezubaa tu kidogo waraka zingekuwa nying kama agano jipya ๐๐๐๐
Waraka wa Win-one sijui ungekuwa na sura ngap.
AiseeView attachment 3587608
#HABARI Kijana mmoja mfanyabiashara mkazi wa Mbugani Jijini Mwanza, anayejulikana kwa jina la Mzafaru Yunus (26), amefariki dunia baada ya kudaiwa kushambuliwa kikatili ndani ya Baa iliyopo Kona ya Bwiru, Kata ya Nyamanoro wilayani Ilemela, kufuatia kushindwa kulipa bili ya vinywaji yenye thamani ya Sh 8,000.
Tukio hilo limeibua taharuki miongoni mwa wakazi huku Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza likiwashikilia watu tisa wanaodaiwa kuhusika, wakiwemo walinzi wawili maarufu kama mabaunsa.
Akizungumza kuhusu tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema marehemu alishambuliwa kwa ngumi, mateke, vipande vya mbao pamoja na bomba la chuma sehemu mbalimbali za mwili wake hadi kupoteza maisha.
Soma Pia: Arusha: Polisi auawa na wananchi akidhaniwa kuwa mwizi, Sita wakamatwa kwa tuhuma za mauaji
Amesema miongoni mwa waliokamatwa ni meneja wa baa hiyo, wafanyakazi wa usafi na walinzi wawili, huku watuhumiwa wengine wakidaiwa kutoroka kabla ya kukamatwa na polisi wanaoendelea na uchunguzi wa tukio hilo. #EastAfricaTV
Hakika !Kuna haja ya kulipa kwanza pesa ndio mtu apewe huduma bar ili kuepusha tafrani kama hizi.
huyo wa kunaindikia waraka atakua anajiingiza matatizoni tu maana nishaeleza mara kibao kwangu hakuna kila kitu labda kama ni wale wa "kikubwa awe anapumua",,๐๐๐ ndo naweza kumpa nafasi
๐๐๐๐ tena ww umeujibu waraka kwa kuandika waraka.Astghafirullah nani kawachamba ๐คฃ
nilisema wapi? ๐๐๐ mi huwa nabadilika kulingana na uzi,, hebu jifunze kusahau basi khaaaa๐๐๐๐ jaman ww si ulisema ni black beauty na una uzur wa asili kama wale wanawake wa kisabato wa Kinyarwanda.