MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 9,314
- 25,456
Haya bwana sema hi kwa dada win-oneOk ok sasa nimeelewa sawa 🤣🤣
Mambo ya taa🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Mwambie nimemkumbuka hata kwa salamu ya emoji tu
Haya bwana sema hi kwa dada win-oneOk ok sasa nimeelewa sawa 🤣🤣
Mambo ya taa🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Labda hata simu hakuwa nayo, ni yeye tu na kende zake.Starehe gharama
Ila wangemnyang'anya hata simu basi sio kumuua
Shida hiyo sasa ,hatutakiwi kuwapa nafasi ya kutudunda si unaona mpaka mwamba ameaga dunia wakati anadundwa alidhani walau atapata nafasi ya kuwashitaki au kuwazingua pakikucha ila ndiyo imeisha hiyoWAtanidunda wakati huo ila kesho yake na mimi nawajua ntawafikisha wapi lazima waniheshimu
Vijana wanataka Starehe bila kufanya kazi, hayo ndio matunda, na hapo Mpaka anapigwa kipigo hicho alileta jeuriR.i.P Classmate...🥲
Gambe imekatisha uhai lizembe sana, yaani inasikitisha sana kupoteza nguvu ya taifa kizembe sana..😮💨
salam zimepokelewa kwa mikono yote
Haha kweli aiseHakuna haja ya kumlaumu marehemu wala pombe. Kila kifo lazima kiwe na sababu, wengine wataumwa, wengine ajali. Lazima kuwe na sababu. Pumzika kwa Amani Dogo
Aloo kama ni hivyo basiLabda hata simu hakuwa nayo, ni yeye tu na kende zake.
Sawa maasalam zimepokelewa kwa mikono yote
Dr - nisidhalilike ✔Uwa napenda nikienda bar nibebe cash ,nijaze hela kwenye laini zangu za simu ila niwe na chawa incase of anything nisidharirike japo na miguu yangu uwa iko upande wangu daima ikiwa mambo yataharibika kabisa .
Ahsante ,mkuu alafu na wewe Dr nimekusamehe kwa msamaha ulituomba janaDr - nisidhalilike ✔
Nafurahi kusikia hivyo sema hi ,pande hizo .dada win-one yu mzima kabisa, kakukumbuka pia🤗
Labda hata simu hakuwa nayo, ni yeye tu na kende zake.
wapi? pasimame kwa sababu gani,,Nafurahi kusikia hivyo sema hi ,pande hizo .
Usisahau kupata chochote kitu usiku huu maana kesho sidhani kama kutakuwa na haja ya kula maana hapa patasimqma
Safiwapi? pasimame kwa sababu gani,,
tuishi leo yakesho hatuyajui