Mwandosya: Makinda anafaa kuwa rais 2015!

Mwandosya: Makinda anafaa kuwa rais 2015!

Kinachonisikitisha ni kuona msomi mkubwa kabisa anayebeba PhD kichwani mwake ameshindwa kuyachambua matatizo mengi makubwamakubwa kabisa yanayolikabili Taifa hili la Tanzania kwa miaka hii, akaoanisha na shughuli anazopaswa kuzifanya Rais wa wa Tanzania ya sasa kwa wingi wa matatizo yake, na hata akaamua kumpendekeza huyo mama, huu ni utani mbaya sana, na ni aibu ya wanaojiita wasomi wa Tanzania kwa kujirundikia umaarufu ambao ki msingi hawastahili kuwa nao!
 
Uwezo wa makinda kiuongozi ni mkubwa sana. Unaweza kulinganishwa viongozi kumi wa upinzani wakiunganishwa kwa pamoja, ie 1 makinda = 10 opposition men leaders tena wa huku bara.

Watu kama hawa baadae tunakuja kuambiwa eti wana posts nyingi jukwaani so wana mchango mkubwa hapa JF!
Mwenye akili timamu hawezi kumfananisha huyu mama hata na shyrose bhanji
 
Kinachonisikitisha ni kuona msomi mkubwa kabisa anayebeba PhD kichwani mwake ameshindwa kuyachambua matatizo mengi makubwamakubwa kabisa yanayolikabili Taifa hili la Tanzania kwa miaka hii, akaoanisha na shughuli anazopaswa kuzifanya Rais wa wa Tanzania ya sasa kwa wingi wa matatizo yake, na hata akaamua kumpendekeza huyo mama, huu ni utani mbaya sana, na ni aibu ya wanaojiita wasomi wa Tanzania kwa kujirundikia umaarufu ambao ki msingi hawastahili kuwa nao!

Ni waziri asiye na wizara maalumu so inawezekana nayo hiyo ipo kwenye majukumu yake
 
Ninasikiliza vichwa vya habari magazeti ya LEO eti Mzee Mwandosya amempendekeza Anna Makinda kwa urais 2015.

----------------------


My Take:
Uraisi sasa imekuwa ni JOKE na inaonekana kila mtu anaweza kuwa rais wa Tanzania. Inaelekea nchi hii haina hata JOB DESCRIPTION YA URAIS
Duh,profesa sasa naona anazeeka vibaya,labda alimaanisha kwamba makinda angekuwa class rep wa prof.Ni mtazamo tu jamani.....
 
mkuu nadhani mwandosya zile dawa anazotumia, moja ya side effects zake inasababisha aseme maneno kama hayo. kukaa india miezi kadhaa chini ya uangalizi wa madaktari si mchezo.

kama ni hivyo, basi tumsamehe!

Inawezekana waTz wengi hata wanaoonekana ni wasomi wakubwa hawatumii akili katika maamuzi yao, bali huendeshwa na hisia kitu ambacho ni hatari sana! Msomi mkubwa kama huyu tulitumaini anatafiti kila anachozungumza kwa jamii, kumbe!
 
mwanamke ni yule yule 2 milele yote, hata km angepewa uongoz wa ulimwengu mzima, zile chembechembe za umwanamke hazitajificha milele, ipo siku atazitumia, km tunavyoshuhudia bunge letu. ''makinda z nothing able 2 lead the state''
 
hivi, Mbowe, Mnyika, Rose Kamili, Halima Mdee, Sugu, Msigwa, Ndesamburo na wengine ndani ya CHADEMA, wana uwezo wa kumzidi Mama Makinda? acheni dharau jamani


We chalii angu ndo hujielewi kabixa aani...coz uwezo wa makinda ulikoishia ndo wa makamanda wetu ulikoanzia na ndo maana hoja za msingi bungeni huwa wanawatafutia sababu ili wawatoe nje ndo wawe na uwezo wa kupitisha hoja zao.....maana makamanda wakiwepo hakipiti kitu chaliii ara.....
 
Huyu mzee anamkejeli Makinda kwani yeye mwenyewe bado ana mpango wa kuchukua fomu ya urais.
 
Last edited by a moderator:
Makinda ni mwanamke wa shoka, we utabaki na wivu wako hapo

Ni shoka kwako wewe. Huyu mama amefanya wanawake wakaonekana hawawei uongozi kabisa. Kwa hiyo Mwandosya yuko kambi ya Makinda. Labda atakuwa kampeni manager wake akisaidiwa na Nape.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Yani makinda hana uwezo hata kidogo. Ah ila ana haki ya kugombea na kwa hali ilivo asilimia kubwa ya wapiga kura wapo vijijini ambapo wanampigia yeyote wa CCM anaeza kutuongoza. Ila huyu mama ni zero
 
Ni shoka kwako wewe. Huyu mama amefanya wanawake wakaonekana hawawei uongozi kabisa. Kwa hiyo Mwandosya yuko kambi ya Makinda. Labda atakuwa kampeni manager wake akisaidiwa na Nape.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Na utakuta walio msifia wote ni wabunge wa CCM
 
Makinda anaweza kuwa mwanamke mwenye matiti mawili, lakini suala la urais wa nchi nadhani ni zaidi ya hapo!!!!!!!!!!!!!
 
Mwandosya anajidhakilisha sana...au ugonjwa uke umeathiri akili ..maana kaugua sana huyu
 
Mkataa kwao ni mtumwa lakini siku Makinda akiwa Rais wa nchi hii najing'oa uraia , potelea mbali !
 
Ninasikiliza vichwa vya habari magazeti ya LEO eti Mzee Mwandosya amempendekeza Anna Makinda kwa urais 2015.

----------------------


My Take:
Uraisi sasa imekuwa ni JOKE na inaonekana kila mtu anaweza kuwa rais wa Tanzania. Inaelekea nchi hii haina hata JOB DESCRIPTION YA URAIS

Katika Nyanja zenye mashindano, mchezaji anayefuata lazima awe na uwezo kuliko anayetoka. Hivyo kupanga Makinda baada ya Kikwete inamaanisha kwamba ajaye atakuwa bora kuliko atayetoka.
majanga.
 
Back
Top Bottom